MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,280
WANABODI, Nawasalimu nyote nilikuwa ngerenanyuki kwa ajili ya ziara za kichama za ccm tumekutana na matatizo mengi ya wananchi wa maeno yale kubwa haswa ni ahadi aliyotoa mbunge wao wa chadema kipindi cha kampeni kwa kuwajengea kisima lakini mpaka sasa hakuna kilichofanyika