Josephine akanusha madai ya Mbunge

Josephine akanusha madai ya Mbunge

Status
Not open for further replies.
Hakuna unafik hapo, hii nyuzi inaongelea nini na yeye analeta habari za mafuta ya taa na majibu yameshatolewa bungeni. Unafik uko wapi hapo?
Watanzania wengi ni maskini wakati wenye nchi akiwemo Eng.Stella Manyanya hawalitambui hilo PERIOD... SO WEWE UACHE UNAFIKI!
 
Wacha uwongo, wewe sio teja la JF, wewe unalipwa POSHA YA KUANDIKA BLA BLA ZAKO HUKU, details zako tunazijua

Hili swali nilishalijibu zamani sana,tafuta kwenye nyuzi humu JF utalikuta.

Achana na FaizaFoxy, jibu hoja za FaizaFoxy, kwa kifupi mimi ni addict au teja la JF. Unalo?
 
Wacha uwongo, wewe sio teja la JF, wewe unalipwa POSHA YA KUANDIKA BLA BLA ZAKO HUKU, details zako tunazijua

Si ingekuwa kheri kwangu ningekuwa nalipwa, tena ngoja nim pm Nape, si yumo humu, waanze kunilipa, InshaAllah dua yako iwe ya kheri, mie natumia muda wangu wote bure tu.

Nape, naku pm sasa hivi, muanze kunilipa. Nawatetea sana humu, usiku na mchana na mkikataa ntaongea na Slaa nihamie cdm. Na cdm wakikataa kunipa posho bila kodi, namfuata Mzee wa Kiraracha au Bwana Mapesa. Mpaka kieleweke!
 
faiza foxy ,unasema josephine anamakosa ,wewe unaupeo kiasi gani katika sheria acha chuki ya kike

Hivi mie nakuuliza, siasa ni kutumiana vi meseji vya kushambuliana? siasa zina majukwaa yake na njia zake na sheria zake. Mie sijasikia kuwa Stella Manyanya katoa namba zake na watu wapeleke hoja zao, au wewe uliwahi kusikia?
 
Unkle tom faiza fox unaisha kwa matunda ya magamba , majuha na mzee wa Giningi mnaoguza uongo kuwa kweli na ukweli kuwa uongo cku zenu ziko ukingoni.
 
Mtimbaru,

Usihangaike naye/wao. Waache wapoteze muda wao sisi tunakata mbuga vijijini. Uzuri Watanzania wa vijijini wanatuelewa sana, pengine kuliko hata wa mijini. Kero kubwa ziko vijijini na kwa muda mrefu sana wamedanganywa. Hao wenye kutaka ku divert attention yetu kutoka kwenye "real and pertinent issues" waache tu usiaamshe.

Ukatoliki na uislamu is not an issue kwa mtanzania ambaye hana uhakika wa mlo wa siku, ambaye hana umeme, bei ya mkaa haishikiki, na bado "serikali yake" inapandisha bei ya masfuta ya taa toka shs 50 kwenda 400. Hawa wanatelewa sana, na tuko kwa ajili yao. Wenye muda wa kuchezea waacheni wauchezee wataujutia.
Dr mimi huwa nakukubali sana mchango wako katika kuwaamsha waTanzania katika mapungufu ya Chama Twawala, hii ni licha ya matatizo yako ya kibinadamu, ndivyo Mungu alivyo tuumba.
Ila simkubali sana Josephine na staili yake.
Naomba muwowane na naomba kadi ya mualiko.
Nitatembea toka niliko hadi ukumbini!!!
 
Dr mimi huwa nakukubali sana mchango wako katika kuwaamsha waTanzania katika mapungufu ya Chama Twawala, hii ni licha ya matatizo yako ya kibinadamu, ndivyo Mungu alivyo tuumba.Ila simkubali sana Josephine na staili yake.Naomba muwowane na naomba kadi ya mualiko.Nitatembea toka niliko hadi ukumbini!!!
Haa!kumbe we ni mzee wa minuso?ulipaswa uzingatie hoja nzito alizozijadili Dr. Kama vile umeme,mafuta,n.k siyo masuala ya ndoa za watu!Dr. is for real mpaka kieleweke!
 
Isimu yako uliyosoma nina wasi wasi nayo. uhalisia si adjective. Uhalisia ni abstract noun. Kiingereza chake ni the state of being exact, accurate... na ukiangalia neno nadharia ni nomino pia. Wewe ndo umechemsha kabisa? Angalia kitu cha kukosoa. Wamagamba kawaida yenu wote vilaza!
Halafu hapa ndio josephine kalikoroga kabisaa, naona kiswahili kinampiga chenga, hii ni contradiction ya hali ya juu: "aongelee uhalisia na nadharia",

halisi adjective
1 exact, accurate, definite, precise, literal
2 genuine, true, positive



nadharia , pl nadharia { English: theory }
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom