Josephine akanusha madai ya Mbunge

Josephine akanusha madai ya Mbunge

Status
Not open for further replies.
huyu mama ni mpiganaji mzuri sana ilikuwaje akakosa viti maalumu? maana anajituma sana kuliko hata wale wabunge wa viti maalumu. hivi hakuna nafasi ilibaki apewe huyu?
Mkuu sijakuelewa nani mpiganaji?
 
viti maalum vya akina joyce mukya na akina regia na akina rose kamili na grace kiwelu.... ni hasara tupu.
 
Mods tunataka maoni yenu katika thread hii, mmefuta posti zangu tatu!!
 
first lady kumbe ni kimeo anapelekea wapinzani wake mipasho.

mwambieni huyu mwanamke aache kufungua mdomo wake kuficha upumbavu wake.

baba daktari wa wakatoliki una kazi na huyu mke wa kuiba.
 
first lady kumbe ni kimeo anapelekea wapinzani wake mipasho.mwambieni huyu mwanamke aache kufungua mdomo wake kuficha upumbavu wake.baba daktari wa wakatoliki una kazi na huyu mke wa kuiba.
Ukiona bata ameacha kuhara ujue ni mgonjwa!
 
first lady kumbe ni kimeo anapelekea wapinzani wake mipasho.mwambieni huyu mwanamke aache kufungua mdomo wake kuficha upumbavu wake.baba daktari wa wakatoliki una kazi na huyu mke wa kuiba.
We fikra zako zitakua zimegandishwa na Super-glue original,Mtu anamwambia mwenzie awatetee watu wa kijijini kwake, asilete ushabiki bungeni eti unasema analeta mipasho,Mipasho ni hiyo uliyoiandika,na nina uhakika ukienda Five Star taarabu ukawaonyesha hiyo comment hapo juu unapata usajili bila hata usaili
 
We fikra zako zitakua zimegandishwa na Super-glue original,Mtu anamwambia mwenzie awatetee watu wa kijijini kwake, asilete ushabiki bungeni eti unasema analeta mipasho,Mipasho ni hiyo uliyoiandika,na nina uhakika ukienda Five Star taarabu ukawaonyesha hiyo comment hapo juu unapata usajili bila hata usaili

Bwana Papa-Shark, wewe ndo una fikra mgando, alichofanya Josephine ni mipasho na kama ana hamu ya mipasho full nondo aipeleke kunakohusika ili tuone kama alivyosema Lole hapo chini,janja yake ya Nyani kula mahindi mabichi.
Amtumie sms the Real First Lady tuone umipasho alionao, kama hajashughulikiwa.

Ushauri wa bure kwa Dr.
Reign in your better-half before she gets out of hand.
Stella Manyanya ni mbunge na mheshimiwa whether unamheshimu or not.
Aidha nampa chngamoto Josephine ambaye ni member humu , amuandikie na Mama Salma , naye anatoka sehemu si mbali na huko.Kwa vile Mumewe ni Rais, wanavijiji wote Tanzania ni watu wake , masikini na tajiri.
Na hapo ndo anaweza kushangaa nyani kula mahindi bichi.
 
Huyu Mchumba wa Mzee Slaa sasa anavuka mipaka, nadhani hapa ndipo CDM wanakosea busara na kutokujuwa jinsi ambavyo viongozi wanatakiwa kuji-behave au anatumiwa na CCM? kuna wakati alikuwa anajibishana na watu humu JF kama si Mke Slaa! nadhani ange achana na tabia za mitaani sijui ni kabila gani huyu dada?!

Mara Lema naye na tamko lake binafsi sijui kama tutafika kwa stahili kwa kweli, Mama Maria Nyerere hatutapata kama wewe tena huko mbele tuendako itabidi uanzishe chuo cha wake za viongozi tusije tukampata Lucy Kibaki mwingine hapa Bongo.
 
I dnt knw, hata kama nimatusi kweli nadhani manyanya alitakiwa kuwa na mchango wa maana zaidi kuliko msg anazotumiwa na watu. Sikuweza pata picha toka mwanzo ya kile alichotaka changia, nahisi yuko under alot of pressure mana ukiona viti maalumu anaogopa alichosema dr.slaa jimboni kwake wakati ye si mbunge wa ku 'act' pale, knw thrs smthng wich was said n had a truth on it. Kama wananchi wanampenda kweli basi agombee aachane na viti maalumu
 
Eng. Manyanya Engineers wenzako tunasikitika sana, na the way unavyotuaibisha bungeni, yu dont act as Engineer "Engineers professional Ethics " Huzifuati, ni bora ukaacha kujiita Engnneer, U deserve tukudelete kwenye list of Engineers, sisi kama ERB ,we are on the way kukutoa kwenye list!Act as Engineer, Claim as Engineer(acha umbea).
 
Eng. Manyanya Engineers wenzako tunasikitika sana, na the way unavyotuaibisha bungeni; yu dont act as Engineer "Engineers professional Ethics " Huzifuati, ni bora ukaacha kujiita Engnneer, U deserve tukudelete kwenye list of Engineers, sisi kama ERB ,we are on the way kukutoa kwenye list!Act as Engineer, Claim as Engineer(acha umbea).
 
Ushauri wa bure kwa Dr.
Reign in your better-half before she gets out of hand.
Stella Manyanya ni mbunge na mheshimiwa whether unamheshimu or not.
Aidha nampa chngamoto Josephine ambaye ni member humu , amuandikie na Mama Salma , naye anatoka sehemu si mbali na huko.Kwa vile Mumewe ni Rais, wanavijiji wote Tanzania ni watu wake , masikini na tajiri.
Na hapo ndo anaweza kushangaa nyani kula mahindi bichi.

Huyo Josephine ana asili ya kusahau itakuwa manake alikuja hapa JF na kusema amemtumia Manyanya SMS inayomwambia "aache ushabiki na unafiki....."
Naona kwenye gazeti neno unafiki amelisahau kulisema
 
Eng Manyanya vs Josephine.
Huyu Eng hana maana na alikurupuka sana kuongea upupu kama ule mjengoni, kama alitumiwa sms si angejibu kwa sms? Watu wengine bana magumashi matupu. ni sawa na humu jamvini nimtumie mtu PM halafu aje anianike kwenye jamvi hadharani sidhani kama itakuwa imekaa vizuri hii. Josephine na yeye hatuelewi hiyo sms aliandika ktk mazingira yapi na ktk hhali gani so me nanyamaza! lakini huyo Eng ni kimeo kachemka live.
 
Na Flora Amon

MCHUMBA wa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Dkt. Willibrod Slaa, Bi. Josephine Mushumbusi, amekiri kumtumia ujumbe mfupi wa simu (SMS) Mbunge wa viti Maalumu Mkoa wa Ruvuma Mhandisi Stella Manyanya, huku akikanusha kumtukana.

Kwa hiyo ina maana hawa watu bado wako kwenye Uchumba hadi leo??
 
Kwa hiyo ina maana hawa watu bado wako kwenye Uchumba hadi leo??
Nimeanika historia ya matatizo ya huyu mama kwa habari zilizo katika internet, na mara zote tatu(au nne) mods(wenye mwelekeo wa CDM) wamezifuta. Hili jopo linageuka kuwa gazeti la Uhuru.
 
daktari wa wakatoliki bora tu angebaki na mke wake wa ujana. yule mama ametulia pamoja na kuibiwa mume. si huyu shangingi la mitaani anayejua namna ya kukamua wanaume wapenda chini.

Posho ya slaa ya milioni 7.5 huyu mama anaitafuna ikiisha atapata buzi lingine la kulikamua.
 
josephine ,mchumba wa dr wa ukweli,usitishwe na Engineer manyanya huyu ni mweupe. Endelea kutoa challenge kwa wabunge ambao hawawajibiki katika kuwatumikia wananchi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom