Joseph Mungai -WAZIRI aliyeua elimu TZ?

Mkuu nakupa tano, wapo wengi sana wa namna hiyo, angalia vyema safu ya mafisadi ndio hao hao tu. Watanzania utafikiri hatuna wana Usalama bwana ama huenda nao ni wageni pia..??


Tena idara ya usalama wa taifa ndo kuna wageni kibao, wengi ni kutoka kenya lakini wanajifanya ni wajaluo wa musoma.
 
Wewe bana huna unalolijua!hakika huna.Nilibahatika kuwa mwalimu wa sekondari mwaka 2003 walau naelewa!

Wewe naomba nikupe summary tu kwamba katika hali ya kawaida kabisa ki-utendaji MUNGAI COULD NEVER NEVER DECIDE ON HIS OWN!that is one

Pili biashara ya kuvunja mitaala ilikuja na SECONDARY EDUCATION DEVELOPMENT PROGRAM(S.E.D.P),ambayo ilikuwa ni moja ya conditions za msingi kabisa za metropolitan countries katika kumwaga hela zao pale.HAIKUWA RAHISI KWA NCHI NYINGI MASIKINI KAMA TANZANIA(hasa ukizingatia zile hela wao walikuwa wanazihitaji)KUIKWEPA HIYO CONDITION!

BRO!SO SORRY,lakin blame it on BEN!am telling you,put all the blames on ben ambae alikubali

Huo ndo uzembe wa kupenda vya bure, kama waziri unauwezo wa kukataa na ukamshauri rais!!

Nawewe hujui kitu!!
 
Rais wa nchi,PM, baraza la mawaziri n.k walikuwa wapi KUMZUIA? au unataka kusema umeona wewe hili na viongozi wa nchi hawakuliona hili?

Je ni kweli elimu yetu inahitaji kubadilishwa mitaala?

kusema MKENYA ALIKUJA KUUA ELIMU YETU, UNATUVUA NGUO SISI WOTE , KUWA HATUNA AKILI, ukiwemo wewe uliyegundua wakati yeye si waziri tena!
 
Una uhakika na uliyoyaandika?

Ushauri: Pata data zote ndipo uandike kitu kinachoeleweka!

Maswali kwako:
1. Hivi unadhani mtu anaweza kuwa mbunge na waziri hivi hivi tu kama angekuwa kweli "mzaliwa na raia wa KENYA"?? Wapiga kura na marais wote wanne wa Tanzania hii ni mbumbumbu?
2.Hizo "....jitihada zake na mafanikio yake katika kuvuruga mitaala ya elimu Tanzania!" ni zipi? Hebu nikumbushe na ziweke wazi kwani ulichoandika ni kama msemo wa blangeti kwani naona kama upo too general.
3. Utafiti uliofanywa na waliobobea kwenye fani ya elimu ni quite overwhelming........in his favor.

Vilevile, sio kukandia bali inaonekana ni mgeni katika mambo haya ya forum na blogging na newsgroups etc - topic kama hii zimeshazungumziwa sana tu na kwa watu kama sisi wa old skul tunazijua vema. Eniwei, ni vizuri young bucks get to know stuff like this.

Baadhi ya jitihada za mungai kuharibu elimu ya TZ ni kufuta sekondari za ufundi, kuunganisha chemistry na physics kuwa somo moja, n.k.

Inaonekana wewe unaishi nje ya TZ kwa hiyo hujui yaliyokuwa yakiendelea wakati huo.
 
Huyu Oskar Mukassa katika pitapita zangu nilishafanya naye kazi (nikiwa kama Consultant eneo fulani) na nawahakikishia ni Mganda!!!! Na anajivunia kuwa ni Mganda openly!!! Nilishangaa sana siku ile wanatoa rulling yule msimamizi wa uchaguzi kuwa eti ni Mtanzania. Kweli sijui kwa nini tunakosa uzalendo kiasi hicho.


Mkuu haka ka -nchi hakana mwenyewe ndo maana hakuna mwenye uzalendo isipokuwa wale machinga.
 
Aliyekuwa mkurugenzi wa PCCB AU TAKUKURU mtoto wake wa kike anafanya kazi IKULU ya Rwanda kama ofisa wa juu wa usalama.mtoto huyo alikuwa Tz kabla ya hapo.

Joka kuu.

usisahau shule binafsi ya MUNGAI iliyopo Mufindi inaitwa Southern High school ambayo inamuingizia pesa nyingi. Mungai alishiriki kuua kiwanda cha Mgololo na pia kiwanda cha Chai ambacho alikiuza kwa wazungu na yeye ana share kubwa kwenye kiwanda kipya kilicho chini ya wazungu.
 
watu hawa waliuawa kwa risasi hadharani but kwa tz bado ni watukufu na kuishauri govt
 
Huyu Oskar Mukassa katika pitapita zangu nilishafanya naye kazi (nikiwa kama Consultant eneo fulani) na nawahakikishia ni Mganda!!!! Na anajivunia kuwa ni Mganda openly!!! Nilishangaa sana siku ile wanatoa rulling yule msimamizi wa uchaguzi kuwa eti ni Mtanzania. Kweli sijui kwa nini tunakosa uzalendo kiasi hicho.

mwenye data zaidi za Oskar Mukassa na azimwage hapa ili tumuweke wazi ili naye asije kuwa mwiba kwetu kama huyu fisadi wa kigeni ( Mungai)
 
Jambo FORUMS ilibadilishwa jina 2007 kuwa jamii FORUMS.mwanzisha mada alikuwa member wa Jambo Forums.
Mungai kafanya utumbo mwingi tu nadhani UKENYA wake ndio unamsukuma kufanya haya.

Some pipo bwana! You seem entrenched on Jamii/Jambo Forum - what about the others I mentioned? You have no clue about them, huh? Thought so.

Sawa bwana, no big deal, wewe endelea kumfikiria ni mKenya. Me? I beg to differ.
 
...........
...........

Joka kuu.

usisahau shule binafsi ya MUNGAI iliyopo Mufindi inaitwa Southern High school ambayo inamuingizia pesa nyingi. Mungai alishiriki kuua kiwanda cha Mgololo na pia kiwanda cha Chai ambacho alikiuza kwa wazungu na yeye ana share kubwa kwenye kiwanda kipya kilicho chini ya wazungu.

Ndio haya mambo ninayosema! Mna data za kweli nyie au mnaropoka tu?!! Kwani kuwa na shule inayomuingizia pesa nyingi ni kosa? Mama Rwakatare ana shule tena nyingi tu. So does Filbert Bayi. Does that make them Kenyan? (au hii sio topic tena?) Besides, I seriously doubt if Mufindi has a school by that name - I hear there is a Southern Highland Secondary School in Mbeya.

Alishiriki vipi kukiua kiwanda cha karatasi Mgololo huku akishiriki kukileta na wananchi wa wilaya hiyo kupata ajira? Yeye alikuwa Mbunge wa huko sasa anikiuaje kiwanda? Tafadhali nieleweshe.

Kiwanda cha chai kipi kilichouzwa? Ninachoelewa mimi ni kwamba kuna kiwanda cha kusindika chai ambacho yeye ni mmoja wa waanzilishi kinaitwa Chai Bora ambacho kimenunuliwa na, guess who, waKenya!(ha ha haa najua utaipenda hii) Hakuna mzungu hata mmoja huko! (Information hii niliipata kwenye AGM ya TATEPA recently pale Kilimanjaro Kempinski) (By the way, waKenya hao pia wamenunua East African Cables Company pale Pugu road and are known to be solid investors) TATEPA is publicly traded company in the Dar Stock Exchange of which he is the chairman(of TATEPA) and a shareholder.

Ongea point wewe acha kuropoka vitu usivyovijua!
 
1. Hivi unadhani mtu anaweza kuwa mbunge na waziri hivi hivi tu kama angekuwa kweli "mzaliwa na raia wa KENYA"?? Wapiga kura na marais wote wanne wa Tanzania hii ni mbumbumbu?
Kwa Tanzania inawezekana-wewe uko wapi????
 
Baadhi ya jitihada za mungai kuharibu elimu ya TZ ni kufuta sekondari za ufundi, kuunganisha chemistry na physics kuwa somo moja, n.k.

Inaonekana wewe unaishi nje ya TZ kwa hiyo hujui yaliyokuwa yakiendelea wakati huo.

Shule za sekondari za ufundi nazozikumbuka mimi ni Moshi Tech, Mtwara Tech, Ifunda Tech - hizi zimefungwa? Nauliza tu nielewe manake kwa kweli sina taarifa kwamba zimefungwa.

Kuhusu kuunganisha hayo masomo I am sure kulikuwa na valid reason - kuna aliyesema anamshukuru JK kuyarudisha masomo yaliyofutwa. Anaelewa kwamba yamerudishwa but as an OPTION na wanafunzi wengi wanachukua option ya kutoyachukua? Go figure!
 
1. Hivi unadhani mtu anaweza kuwa mbunge na waziri hivi hivi tu kama angekuwa kweli "mzaliwa na raia wa KENYA"?? Wapiga kura na marais wote wanne wa Tanzania hii ni mbumbumbu?
Kwa Tanzania inawezekana-wewe uko wapi????

Hujaeleweka hapa, kama unamjibu mtu basi quote message/mchango wake na siyo kuandika vitu visivyo eleweka.
 
Shule za sekondari za ufundi nazozikumbuka mimi ni Moshi Tech, Mtwara Tech, Ifunda Tech - hizi zimefungwa? Nauliza tu nielewe manake kwa kweli sina taarifa kwamba zimefungwa.

Kuhusu kuunganisha hayo masomo I am sure kulikuwa na valid reason - kuna aliyesema anamshukuru JK kuyarudisha masomo yaliyofutwa. Anaelewa kwamba yamerudishwa but as an OPTION na wanafunzi wengi wanachukua option ya kutoyachukua? Go figure!

mbona unadandia gari kwa mbele? Raisi kikwete baada ya kuingia madarakani ndo aliagiza maamuzi yote yaliyofanywa na Mungai yawe cancelled. Au wewe unaongelea pumba tu??

Mungai alichosema kifutwe siyo majengo ya shule ndugu yangu bali ni kinachofundishwa pale. Nadhani ndugu yangu huelewi kabisa tunaongelea nini hapa. Katika shule za ufundi naona huzijui zote nikusaidie tu, kuna Tanga, Mazengo, n.k.
 
Viongozi wengi si WaTanzania ,hivi Mkapa ni Mtanzania ,Nyerere ni Mtanzania ? Wote hao nasikia hawakuzaliwa Tanzania na hawakuwahi kuomba uraia ,walikuja nasikia katika wakulima wa mashamba makubwa ,huwezi kujua mpaka wenyewe wajieleze lakini Wakuria asili yao ni Kenya akina Ben wao ndio huko wanakochanja chanja matatuu ,ila historia inasema wengi wa Tanganyika ni watu wa kuja au uwongo ?
 
Ndio haya mambo ninayosema! Mna data za kweli nyie au mnaropoka tu?!! Kwani kuwa na shule inayomuingizia pesa nyingi ni kosa? Mama Rwakatare ana shule tena nyingi tu. So does Filbert Bayi. Does that make them Kenyan? (au hii sio topic tena?) Besides, I seriously doubt if Mufindi has a school by that name - I hear there is a Southern Highland Secondary School in Mbeya.

Alishiriki vipi kukiua kiwanda cha karatasi Mgololo huku akishiriki kukileta na wananchi wa wilaya hiyo kupata ajira? Yeye alikuwa Mbunge wa huko sasa anikiuaje kiwanda? Tafadhali nieleweshe.

Kiwanda cha chai kipi kilichouzwa? Ninachoelewa mimi ni kwamba kuna kiwanda cha kusindika chai ambacho yeye ni mmoja wa waanzilishi kinaitwa Chai Bora ambacho kimenunuliwa na, guess who, waKenya!(ha ha haa najua utaipenda hii) Hakuna mzungu hata mmoja huko! (Information hii niliipata kwenye AGM ya TATEPA recently pale Kilimanjaro Kempinski) (By the way, waKenya hao pia wamenunua East African Cables Company pale Pugu road and are known to be solid investors) TATEPA is publicly traded company in the Dar Stock Exchange of which he is the chairman(of TATEPA) and a shareholder.

Ongea point wewe acha kuropoka vitu usivyovijua!
Naona wewe ndio unaropoka bila kujua kitu au unafanya makusudi kuficha Ukweli au ni ndugu yako huyu FAILURE MUNGAI. ingawa anajifanya kasoma harvard na Colorado universities.ukweli alienda kwenye short courses.

Mungai ameshindwa kuziendesha shule za Mufindi chini ya MUFINDI EDUCATION TRUST ambayo yeye alikuwa Chairman na sasa shule hizo kama kumi anazikabidhi serikalini kwa kushindwa kuziendesha.toka awe mbunge wa mufindi kw mara ya kwanza mwaka 1970 amejenga shule kumi tu?

shule yake ya Southern School iko Mafinga-Mufindi sasa sijui Mafinga iko Mbeya au Kenya?

shule hii aliianzisha mwaka 1995 akiwa na mke wake iko Mufindi HADI LEO HII.watoto wake walioko Marekani wamekuwa wakiiombea misaada kwenye taasisi mbali mbali.
 
Back
Top Bottom