Crucial Man
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 3,404
- 1,312
Ni kijana ambae kukosa Elimu hakujamkatisha tamaa katika kufanikiwa kimaisha,Ana akili sana kwa kweli la saba lakini mafanikio yake kaajiri wenye degree.Safi sana Joseph
Ni kijana ambae kukosa Elimu hakujamkatisha tamaa katika kufanikiwa kimaisha,Ana akili sana kwa kweli la saba lakini mafanikio yake kaajiri wenye degree.Safi sana Joseph
Yeye Anakodi Helicopter Je Wewe Umeshawahi Hata Kukodi Tu Baiskeli Achilia Mbali Guta?
Wewe ndio lofaWaulize Hao Wote Wanaomdhihaki Na Kumdharau MsukumaHumu Kuwa Pamoja Na Hizo B.A, M.A Na PhD Zao Mbona Wengi Wao Wanabeba Makreti Ya Soda Jiji La Texas Nchini Marekani Na Wanawachambisha Wazungu Wazee Nchini Canada Na Sweden Huku Wengine Tukibanana Nao Hapa Hapa Bongo Kwa Mishahara Yetu Ya Tsh Laki 7 Hadi 9 Kwa Mwezi Huku Damu Zetu Zikiwa Zimekomaa Kwa Kukopakopa Benki Na Vicoba? Sasa Kati Yetu Tunaojiita Wasomi Na Msukuma Asiyesoma Nani Mjanja Na Nani Lofa?
Simjui nasikia tu Msukuma, na wanasema anayo pesa chafu, anayo Elikopta, ni kijana mdogo.
Naombeni WanaJF niambieni kuhusu huyu mtu anafanya nini, anabishara gani??? Na je kama anayo biashara kodi zake analipa???
Nitafutie Matajiri Wote Wa Dunia Hii Unaowajua Wewe Ambao Ni WANENE. Ukishindwa Kuwatambua au Kuwajua Niambie Nikupe Mifano Yao au Nikutajie.
Kijana mdogo lakini tayari ana makesi ya kijinga kabisa, hana muda huyu... what a miscalculation from him
angalia link hiyo
IN THE HIGH COURT OF TANZANIA
Kwani huyo tajiri?
Tanzania kila anaemiliki million 50 mnamuita tajiri !!
Wewe Unamiliki Tsh Elfu Ngapi Mkuu?
Kwa mara ya kwanza nilimuona Bwn.Joseph Kasheku (Msukuma) akiwa kwenye kipindi cha siasa Star TV, akatambulishwa kama Mwenyekiti wa CCM Geita.
Sikumtilia maanani sana kwa kuwa alijaa majigambo kuliko hoja, tofauti na makamanda wa SAUT ambao walijenga hoja nzito. Alionekana bwana mdogo tu hivi!
Ghafla nikasikia Mh. Mwigulu anakata mawimbi na "Chopa la Msukuma". Na leo pale kwenye Safari isiyo na Matumaini kafanya taiz kutua na Chopa.
Sasa wanaomjua vizuri watupe details, huyu ni nani hasa, katoa wapi mapesa haya yote, halafu kama vile kwa umri mdogo!!
Kama Lowassa alivuruga itifaki kumpokea Msukuma Arusha na akamruhusu aongee kabla ya waliomtangulia na huku CCM ndio usiseme wanavyomheshimu kumbe anafaa kugombea hata urais wa Tanzania.
Inasemekana katika ukoo wao yeye ndiye maskini kuliko wote ingawa chopa aliyonayo kainunua sh trilion 215 kutoka kampuni inayounda madege ya kijeshi ya kimarekani ya Texas.
Msukuma oyee ....
Nikishakutajia uanze kuniita tajiri wakati sistahili kuitwa tajiri .
Huyu msukuma amechoka matajiri hawapo hivi ,matajiri ni wembamba lakini wamenawili tofauti na msukuma hajanawili yupo tu kama fukara.[/QUOTEmumeanza kumsakama kiss katoa uozo wa el alioufanya geita,huyu ndo rafiki YAKE lowasa wa damu