Joseph Mbilinyi (Sugu), ni noma

Joseph Mbilinyi (Sugu), ni noma

Maccm wanajua hayo ni mikoa yenye upinzani kwa hiyo wanawakwamisha ili wote wasiandikishwe kweli magamba wanaharahara mwaka huu

Magamba mwaka huu lawama zote wazipeleke kwa Samuel 6, kwa kuwaburuza wapinzani kwenye bunge maalum la katiba hadi wakaamua kuunda ukawa.
 
CHADEMA na UKAWA kupitia Prof.Lipumba walikuwa wanashinikiza uandikishaji usitishwe kwa sababu una kasoro nyingi sana(kwa mujibu wao) pia wakasema uchaguzi mwaka huu hautakuwepo kwa sababu muda wa kuandikishwa watu wote hautoshi.

Dr.Slaa akiongea siku alipotua uwanja wa ndege wa Mwl.Nyerere akitokea Marekani alisema BVR ni ufisadi mtupu. Huku akisisitiza kuwa mfumo huo haujawahi kufaulu sehemu yeyote ile duniani.

Sasa huu mpango wa CHADEMA na washirika wake kujidai wao ndio vinara wa kushawishi watu wajiandikishe umetoka wapi? Ina maana wameshasahau mapingamizi yao ya awali serikali ilipoanza mchakato huu?

Ni Lini BVR imekuwa sio mpango wa kifisadi kama alivyotuambia Mzee Slaa? Ni lini Lipumba na Mbowe wamegeuka na kuiunga Mkono serikali kuhusu uandikishaji huu?

CHADEMA na UKAWA acheni kuwa vigeugeu!

....we nae kichwa cha panzi kweli, pamoja na kasoro zooote chadema na ukawa hawata bweteka. Na hii ndo maana ya kamanda. Ulidhani chadema wanasusa kama jamaa yuenu aliuekimbia uwaziri mkuu na leo anataka urais, wakimbana mbavu ajiudhuru atakubali pia.....
 
....we nae kichwa cha panzi kweli, pamoja na kasoro zooote chadema na ukiwa hawata bweteka. Na hii ndo maana ya kamanda. Ulidhani chadema wanasusa kama jamaa yuenu aliuekimbia uwaziri mkuu na leo anataka urais, wakimbana mbavu ajiudhuru atakubali pia.....

Asante ..
 
mnaompinga sugu tunajua idadi yenu hata hamko wengi hamtaweza kufanikiwa
 
mjinga ni wewe uliyesoma na kuweka comment ya kijinga!!!! unamuitaje mtu aliyeweza kuwashawishi watu wakampigia kura na kuingia bungeni kuwawakilisha watu wa mbeya kuwa ni mjinga ilihali wewe hata kuwa kiongozi kwenye familia yenu hujawahi!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom