Joseph Mbilinyi (Sugu), ni noma

Joseph Mbilinyi (Sugu), ni noma

sugu awe mpole maana awakawii wale mawakala wa ccm waitwao wakurugenzi kuzuia watu wasijiandikishe kisa wanashabikia upinzani. kama ilivyotokea huko kiwira.
 
mbeya ndo home hatujamchoka sugu ikumbukwe mbeya ilikua jiji kisiasaila sasa ni jiji kweli chini ya usimamizi wa sugu wapi mpesya wapi bara bara za rami kila kona ya mbeya sugu sugu suuuuuu
 
hata kama mkileta magari ya kuwasha mia saba mbeya tunajua tutayafanya nini,na vijana wa mbeya wakichachamaa msiniite nkuu mh:sugu
 
mnaompinga sugu tunajua idadi yenu hata hamko wengi hamtaweza kufanikiwa

Ni wale walioambiwa na tibaijuka kuwa ni wanaccm waliokunywa viroba vya bure
 
Back
Top Bottom