johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,139
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema mh Joseph Mbilinyi aka Sugu asema Nchi imevimba inasubiri kupasuka hivyo Waziri Masauni ni Heri akanyamaza tu
Sugu ametoa angalizo kupitia ukurasa wake wa twitter
Nawatakia Dominica njema!
Sugu ametoa angalizo kupitia ukurasa wake wa twitter
Nawatakia Dominica njema!