mwanapolo
Senior Member
- Mar 29, 2011
- 193
- 56
Serikali haiwezi kuingilia hata watu mia tano wakifa kwa sababu yenyewe ilishamkubali huyu babu tangu alipoanza kutoa huduma yake, kwa wao kukubali kushindwa sasa hivi ni aibu kubwa. Hata wananchi wenyewe wanaoenda huko kupewa hiyo dawa hawawezi kuacha kwenda hata wakiambiwa watu 1000 wamekufa, maana wao wanang'ang'ana na imani yao tu bila hata kifikiria.
Huna imani hiyo na huumwi ndo maana wasema hivyo. Acha watu wapone, kufa kupo tu