alitokomea kusikojulikana na hazina ya kutosha
Mwakyembe ni MNAFIKI namba moja duniani. Go to hell Mwaky....Mtu kama Stivin Biko, Chak ovala, Martin Rutha Kingi, Nyerere, Chacha Wangwe, Prf Chachage, Karume, Nkuruma na Haire Selase. Hao ni baadhi ya Wanaharakati walioondoka au kuondolewa duniani gafla. Hawakupata muda wa kutoa neno la mwisho ambalo labda lingebaki, likaishi lingeokoa wengi. Na walitamani sana wafe ila mawazoyao yaishi milele.
"YAPO NA MENGINE MENGI TUMEYAACHA KWAAJILI KWAAJILI YA KUISTAI SELIKALI" Hii ni kauli aliyoitoa Mwakyembe bungeni baada ya kutaka kuonekana "Richmond sababu ni uwaziri mkuu".
Mungu bado amekuachia kauli zungumza. Sema yote na mungu atakurehemu utapona haraka. Kuwa mwongo si kudanganya tu BALI ATA KUUFICHA UKWELI UNAOUJUA. Ulipofika wanahabari walifika kwa wingi ili kujua maendeleo ya Afya yako na nini unachoamini wewe mwenyewe juu ya Afya yako.
Walichoambulia ni tofauti kabisa. Ulijikakamua na kuonesha uko fiti kabisa. Najua lengo ni kututoa wasiwasi sisi tunaofatilia maendeleo yako. Je unaamini nini kuhusu afya yako?
Ni uchafu gani mliuficha kwa manufaa ya selikali na si wananchi?
Je kukaa kimya ndio tibayako??
Au unaogopa kustakiwa kama alivyotishiwa Sitta?
WATU WANAUGUA MAFUA WANAENDA KUTIBIWA ULAYA NA WANARUDI WANASEMA "NIPO FITI TAYARI KWA MAPAMBANO" kwanini wewe uwe bubu?
Na kama ugonjwawako ni hujuma hawatakusamehe wanavisasi hao.
Kama mimi bora sasa kufa mwili ila jina likabaki sababu naamini kunamaisha zaidi ya haya baada ya kifo kwani kinachofata sasa litakufa jina na mwili utabaki.
UNANIKUMBUSHA WAFUASI WA KABWETERE WALIJUA SIKU YA KIFO CHAO ILA HAWAKUAGA MTU WALIFUNGIWA "KANISANI' wakachomwa moto na walikufa bila ata kupiga kelele. ILA NAKUOMBEA KWA MUNGU Aimarishe afya yako si ya mwili pekee bali roho na akili. Akujarie hekima. Akupe ujasiri na umtegemee yeye pekee. Amina
Ni vema kama ungemsaidia kuliandika hilo jina la mwanamapinduzi wa Cuba kuliko kujifanya nawe haumfahamu!Nimesoma sana habari za wanamapinduzi katika dunia hii ila sijakutana na jina Chak Ovala. Ni nani huyu mkuu ili nifuatilie kujua habari zake kwa kuwa huwa sipendi kupitwa na habari za wanamapinduzi wa aina ya uliowataja.
Mtu kama Stivin Biko, Chak ovala, Martin Rutha Kingi, Nyerere, Chacha Wangwe, Prf Chachage, Karume, Nkuruma na Haire Selase. Hao ni baadhi ya Wanaharakati walioondoka au kuondolewa duniani gafla. Hawakupata muda wa kutoa neno la mwisho ambalo labda lingebaki, likaishi lingeokoa wengi. Na walitamani sana wafe ila mawazoyao yaishi milele.
"YAPO NA MENGINE MENGI TUMEYAACHA KWAAJILI KWAAJILI YA KUISTAI SELIKALI" Hii ni kauli aliyoitoa Mwakyembe bungeni baada ya kutaka kuonekana "Richmond sababu ni uwaziri mkuu".
Mungu bado amekuachia kauli zungumza. Sema yote na mungu atakurehemu utapona haraka. Kuwa mwongo si kudanganya tu BALI ATA KUUFICHA UKWELI UNAOUJUA. Ulipofika wanahabari walifika kwa wingi ili kujua maendeleo ya Afya yako na nini unachoamini wewe mwenyewe juu ya Afya yako.
Walichoambulia ni tofauti kabisa. Ulijikakamua na kuonesha uko fiti kabisa. Najua lengo ni kututoa wasiwasi sisi tunaofatilia maendeleo yako. Je unaamini nini kuhusu afya yako?
Ni uchafu gani mliuficha kwa manufaa ya selikali na si wananchi?
Je kukaa kimya ndio tibayako??
Au unaogopa kustakiwa kama alivyotishiwa Sitta?
WATU WANAUGUA MAFUA WANAENDA KUTIBIWA ULAYA NA WANARUDI WANASEMA "NIPO FITI TAYARI KWA MAPAMBANO" kwanini wewe uwe bubu?
Na kama ugonjwawako ni hujuma hawatakusamehe wanavisasi hao.
Kama mimi bora sasa kufa mwili ila jina likabaki sababu naamini kunamaisha zaidi ya haya baada ya kifo kwani kinachofata sasa litakufa jina na mwili utabaki.
UNANIKUMBUSHA WAFUASI WA KABWETERE WALIJUA SIKU YA KIFO CHAO ILA HAWAKUAGA MTU WALIFUNGIWA "KANISANI' wakachomwa moto na walikufa bila ata kupiga kelele. ILA NAKUOMBEA KWA MUNGU Aimarishe afya yako si ya mwili pekee bali roho na akili. Akujarie hekima. Akupe ujasiri na umtegemee yeye pekee. Amina
Mkuu huwezi kuwa unafahamu kila kitu dunia hii ni kubwa mno! Kwa hiyo una maana alimaanisha Che Guevara. Na kama ni Che siyo wa Cuba mkuu japo alishiriki mapinduzi ya CubaNi vema kama ungemsaidia kuliandika hilo jina la mwanamapinduzi wa Cuba kuliko kujifanya nawe haumfahamu!
Ni Che Guevara exactly mkuu. JF ni darasa pia.Mkuu huwezi kuwa unafahamu kila kitu dunia hii ni kubwa mno! Kwa hiyo una maana alimaanisha Che Guevara. Na kama ni Che siyo wa Cuba mkuu japo alishiriki mapinduzi ya Cuba
Mkuu huwezi kuwa unafahamu kila kitu dunia hii ni kubwa mno! Kwa hiyo una maana alimaanisha Che Guevara. Na kama ni Che siyo wa Cuba mkuu japo alishiriki mapinduzi ya Cuba
Mkuu shule zetu za kata zinakabiliwa na uhaba wa vitabu na hiyo ufundishaji unategemea sana nukuu(notes) za walimu ambazo nazo zimejaa makosa kibao ya maandishi na taarifa. wape mchango huu;Mkuu, huwezi kuwa unafahamu kila kitu dunia hii ni kubwa mno! Kwa hiyo una maana alimaanisha Che Guevara. Na kama ni Che siyo wa Cuba mkuu japo alishiriki mapinduzi ya Cuba
Mtu kama Stivin Biko, Chak ovala, Martin Rutha Kingi, Nyerere, Chacha Wangwe, Prf Chachage, Karume, Nkuruma na Haire Selase. Hao ni baadhi ya Wanaharakati walioondoka au kuondolewa duniani gafla. Hawakupata muda wa kutoa neno la mwisho ambalo labda lingebaki, likaishi lingeokoa wengi. Na walitamani sana wafe ila mawazoyao yaishi milele.
"YAPO NA MENGINE MENGI TUMEYAACHA KWAAJILI KWAAJILI YA KUISTAI SELIKALI" Hii ni kauli aliyoitoa Mwakyembe bungeni baada ya kutaka kuonekana "Richmond sababu ni uwaziri mkuu".
Mungu bado amekuachia kauli zungumza. Sema yote na mungu atakurehemu utapona haraka. Kuwa mwongo si kudanganya tu BALI ATA KUUFICHA UKWELI UNAOUJUA. Ulipofika wanahabari walifika kwa wingi ili kujua maendeleo ya Afya yako na nini unachoamini wewe mwenyewe juu ya Afya yako.
Walichoambulia ni tofauti kabisa. Ulijikakamua na kuonesha uko fiti kabisa. Najua lengo ni kututoa wasiwasi sisi tunaofatilia maendeleo yako. Je unaamini nini kuhusu afya yako?
Ni uchafu gani mliuficha kwa manufaa ya selikali na si wananchi?
Je kukaa kimya ndio tiba yako??
Au unaogopa kustakiwa kama alivyotishiwa Sitta?
WATU WANAUGUA MAFUA WANAENDA KUTIBIWA ULAYA NA WANARUDI WANASEMA "NIPO FITI TAYARI KWA MAPAMBANO" kwanini wewe uwe bubu?
Na kama ugonjwawako ni hujuma hawatakusamehe wanavisasi hao.
Kama mimi bora sasa kufa mwili ila jina likabaki sababu naamini kunamaisha zaidi ya haya baada ya kifo kwani kinachofata sasa litakufa jina na mwili utabaki.
UNANIKUMBUSHA WAFUASI WA KIBWETERE WALIJUA SIKU YA KIFO CHAO ILA HAWAKUAGA MTU WALIFUNGIWA "KANISANI' wakachomwa moto na walikufa bila ata kupiga kelele. ILA NAKUOMBEA KWA MUNGU aimarishe afya yako si ya mwili pekee bali roho na akili. Akujalie hekima. Akupe ujasiri na umtegemee yeye pekee.
Amina
tatizo hujui unachokisifia kama ungetumia akili kufikri usingesifia haya,kwa kuwa unafkri kama wabuge wa dar basi si na tatizo na wewe lakini nakuomba utumie akili kufikilia na si makaliosafi sana mkuu ila nagalia majina ya watu usiyaharibu
The disasters of this world are not only caused by the bad words and bad actions of the bad people but also by the great silence of the good people!Mtu kama Stivin Biko, Chak ovala, Martin Rutha Kingi, Nyerere, Chacha Wangwe, Prf Chachage, Karume, Nkuruma na Haire Selase. Hao ni baadhi ya Wanaharakati walioondoka au kuondolewa duniani gafla. Hawakupata muda wa kutoa neno la mwisho ambalo labda lingebaki, likaishi lingeokoa wengi. Na walitamani sana wafe ila mawazoyao yaishi milele.
"YAPO NA MENGINE MENGI TUMEYAACHA KWAAJILI KWAAJILI YA KUISTAI SELIKALI" Hii ni kauli aliyoitoa Mwakyembe bungeni baada ya kutaka kuonekana "Richmond sababu ni uwaziri mkuu".
Mungu bado amekuachia kauli zungumza. Sema yote na mungu atakurehemu utapona haraka. Kuwa mwongo si kudanganya tu BALI ATA KUUFICHA UKWELI UNAOUJUA. Ulipofika wanahabari walifika kwa wingi ili kujua maendeleo ya Afya yako na nini unachoamini wewe mwenyewe juu ya Afya yako.
Walichoambulia ni tofauti kabisa. Ulijikakamua na kuonesha uko fiti kabisa. Najua lengo ni kututoa wasiwasi sisi tunaofatilia maendeleo yako. Je unaamini nini kuhusu afya yako?
Ni uchafu gani mliuficha kwa manufaa ya selikali na si wananchi?
Je kukaa kimya ndio tiba yako??
Au unaogopa kustakiwa kama alivyotishiwa Sitta?
WATU WANAUGUA MAFUA WANAENDA KUTIBIWA ULAYA NA WANARUDI WANASEMA "NIPO FITI TAYARI KWA MAPAMBANO" kwanini wewe uwe bubu?
Na kama ugonjwawako ni hujuma hawatakusamehe wanavisasi hao.
Kama mimi bora sasa kufa mwili ila jina likabaki sababu naamini kunamaisha zaidi ya haya baada ya kifo kwani kinachofata sasa litakufa jina na mwili utabaki.
UNANIKUMBUSHA WAFUASI WA KIBWETERE WALIJUA SIKU YA KIFO CHAO ILA HAWAKUAGA MTU WALIFUNGIWA "KANISANI' wakachomwa moto na walikufa bila ata kupiga kelele. ILA NAKUOMBEA KWA MUNGU aimarishe afya yako si ya mwili pekee bali roho na akili. Akujalie hekima. Akupe ujasiri na umtegemee yeye pekee.
Amina