Joseph Kibwetere and Ugandan Cult Mass Murder/Suicide

huyu jamaa bado yupo alikuwa anatekeleza maagizo ya museven kwa jamii inayomtii mfalme wa buganda
 
Haha haha acha uhuni wewe mbona wenzake wengine wanakula bata hapa hapa na kusomesha watoto na kujenga shule na kununua maeneo bmoyo...


Yani ewe mungu tunusuru waja wako na utuonyeshe KWELI
 
Mtu kama Stivin Biko, Chak ovala, Martin Rutha Kingi, Nyerere, Chacha Wangwe, Prf Chachage, Karume, Nkuruma na Haire Selase. Hao ni baadhi ya Wanaharakati walioondoka au kuondolewa duniani gafla. Hawakupata muda wa kutoa neno la mwisho ambalo labda lingebaki, likaishi lingeokoa wengi. Na walitamani sana wafe ila mawazoyao yaishi milele.

"YAPO NA MENGINE MENGI TUMEYAACHA KWAAJILI KWAAJILI YA KUISTAI SELIKALI" Hii ni kauli aliyoitoa Mwakyembe bungeni baada ya kutaka kuonekana "Richmond sababu ni uwaziri mkuu".
Mungu bado amekuachia kauli zungumza. Sema yote na mungu atakurehemu utapona haraka. Kuwa mwongo si kudanganya tu BALI ATA KUUFICHA UKWELI UNAOUJUA. Ulipofika wanahabari walifika kwa wingi ili kujua maendeleo ya Afya yako na nini unachoamini wewe mwenyewe juu ya Afya yako.

Walichoambulia ni tofauti kabisa. Ulijikakamua na kuonesha uko fiti kabisa. Najua lengo ni kututoa wasiwasi sisi tunaofatilia maendeleo yako. Je unaamini nini kuhusu afya yako?
Ni uchafu gani mliuficha kwa manufaa ya selikali na si wananchi?
Je kukaa kimya ndio tiba yako??

Au unaogopa kustakiwa kama alivyotishiwa Sitta?
WATU WANAUGUA MAFUA WANAENDA KUTIBIWA ULAYA NA WANARUDI WANASEMA "NIPO FITI TAYARI KWA MAPAMBANO" kwanini wewe uwe bubu?
Na kama ugonjwawako ni hujuma hawatakusamehe wanavisasi hao.
Kama mimi bora sasa kufa mwili ila jina likabaki sababu naamini kunamaisha zaidi ya haya baada ya kifo kwani kinachofata sasa litakufa jina na mwili utabaki.

UNANIKUMBUSHA WAFUASI WA KIBWETERE WALIJUA SIKU YA KIFO CHAO ILA HAWAKUAGA MTU WALIFUNGIWA "KANISANI' wakachomwa moto na walikufa bila ata kupiga kelele. ILA NAKUOMBEA KWA MUNGU aimarishe afya yako si ya mwili pekee bali roho na akili. Akujalie hekima. Akupe ujasiri na umtegemee yeye pekee.

Amina
 
Nimesoma sana habari za wanamapinduzi katika dunia hii ila sijakutana na jina Chak Ovala. Ni nani huyu mkuu ili nifuatilie kujua habari zake kwa kuwa huwa sipendi kupitwa na habari za wanamapinduzi wa aina ya uliowataja.
 
Mtu kama Stivin Biko, Chak ovala, Martin Rutha Kingi, Nyerere, Chacha Wangwe, Prf Chachage, Karume, Nkuruma na Haire Selase. Hao ni baadhi ya Wanaharakati walioondoka au kuondolewa duniani gafla. Hawakupata muda wa kutoa neno la mwisho ambalo labda lingebaki, likaishi lingeokoa wengi. Na walitamani sana wafe ila mawazoyao yaishi milele.
"YAPO NA MENGINE MENGI TUMEYAACHA KWAAJILI KWAAJILI YA KUISTAI SELIKALI" Hii ni kauli aliyoitoa Mwakyembe bungeni baada ya kutaka kuonekana "Richmond sababu ni uwaziri mkuu".
Mungu bado amekuachia kauli zungumza. Sema yote na mungu atakurehemu utapona haraka. Kuwa mwongo si kudanganya tu BALI ATA KUUFICHA UKWELI UNAOUJUA. Ulipofika wanahabari walifika kwa wingi ili kujua maendeleo ya Afya yako na nini unachoamini wewe mwenyewe juu ya Afya yako.
Walichoambulia ni tofauti kabisa. Ulijikakamua na kuonesha uko fiti kabisa. Najua lengo ni kututoa wasiwasi sisi tunaofatilia maendeleo yako. Je unaamini nini kuhusu afya yako?
Ni uchafu gani mliuficha kwa manufaa ya selikali na si wananchi?
Je kukaa kimya ndio tibayako??
Au unaogopa kustakiwa kama alivyotishiwa Sitta?
WATU WANAUGUA MAFUA WANAENDA KUTIBIWA ULAYA NA WANARUDI WANASEMA "NIPO FITI TAYARI KWA MAPAMBANO" kwanini wewe uwe bubu?
Na kama ugonjwawako ni hujuma hawatakusamehe wanavisasi hao.
Kama mimi bora sasa kufa mwili ila jina likabaki sababu naamini kunamaisha zaidi ya haya baada ya kifo kwani kinachofata sasa litakufa jina na mwili utabaki.
UNANIKUMBUSHA WAFUASI WA KABWETERE WALIJUA SIKU YA KIFO CHAO ILA HAWAKUAGA MTU WALIFUNGIWA "KANISANI' wakachomwa moto na walikufa bila ata kupiga kelele. ILA NAKUOMBEA KWA MUNGU Aimarishe afya yako si ya mwili pekee bali roho na akili. Akujarie hekima. Akupe ujasiri na umtegemee yeye pekee. Amina
Mwakyembe ni MNAFIKI namba moja duniani. Go to hell Mwaky....
 
Nimesoma sana habari za wanamapinduzi katika dunia hii ila sijakutana na jina Chak Ovala. Ni nani huyu mkuu ili nifuatilie kujua habari zake kwa kuwa huwa sipendi kupitwa na habari za wanamapinduzi wa aina ya uliowataja.
Ni vema kama ungemsaidia kuliandika hilo jina la mwanamapinduzi wa Cuba kuliko kujifanya nawe haumfahamu!
 
Mtu kama Stivin Biko, Chak ovala, Martin Rutha Kingi, Nyerere, Chacha Wangwe, Prf Chachage, Karume, Nkuruma na Haire Selase. Hao ni baadhi ya Wanaharakati walioondoka au kuondolewa duniani gafla. Hawakupata muda wa kutoa neno la mwisho ambalo labda lingebaki, likaishi lingeokoa wengi. Na walitamani sana wafe ila mawazoyao yaishi milele.
"YAPO NA MENGINE MENGI TUMEYAACHA KWAAJILI KWAAJILI YA KUISTAI SELIKALI" Hii ni kauli aliyoitoa Mwakyembe bungeni baada ya kutaka kuonekana "Richmond sababu ni uwaziri mkuu".
Mungu bado amekuachia kauli zungumza. Sema yote na mungu atakurehemu utapona haraka. Kuwa mwongo si kudanganya tu BALI ATA KUUFICHA UKWELI UNAOUJUA. Ulipofika wanahabari walifika kwa wingi ili kujua maendeleo ya Afya yako na nini unachoamini wewe mwenyewe juu ya Afya yako.
Walichoambulia ni tofauti kabisa. Ulijikakamua na kuonesha uko fiti kabisa. Najua lengo ni kututoa wasiwasi sisi tunaofatilia maendeleo yako. Je unaamini nini kuhusu afya yako?
Ni uchafu gani mliuficha kwa manufaa ya selikali na si wananchi?
Je kukaa kimya ndio tibayako??
Au unaogopa kustakiwa kama alivyotishiwa Sitta?
WATU WANAUGUA MAFUA WANAENDA KUTIBIWA ULAYA NA WANARUDI WANASEMA "NIPO FITI TAYARI KWA MAPAMBANO" kwanini wewe uwe bubu?
Na kama ugonjwawako ni hujuma hawatakusamehe wanavisasi hao.
Kama mimi bora sasa kufa mwili ila jina likabaki sababu naamini kunamaisha zaidi ya haya baada ya kifo kwani kinachofata sasa litakufa jina na mwili utabaki.
UNANIKUMBUSHA WAFUASI WA KABWETERE WALIJUA SIKU YA KIFO CHAO ILA HAWAKUAGA MTU WALIFUNGIWA "KANISANI' wakachomwa moto na walikufa bila ata kupiga kelele. ILA NAKUOMBEA KWA MUNGU Aimarishe afya yako si ya mwili pekee bali roho na akili. Akujarie hekima. Akupe ujasiri na umtegemee yeye pekee. Amina

Bandugu hapo tu hakusema yote amefikishwa ktk hali hiyo.je angesema yote angeendelea kuwa hai hata muda huu?kwani kuna watu ambao wamegeuka Miungu wenye uwezo wa kutoa Roho za watu hapa Duniani.Ila kila kitu kuna gharama yake
 
Ni vema kama ungemsaidia kuliandika hilo jina la mwanamapinduzi wa Cuba kuliko kujifanya nawe haumfahamu!
Mkuu huwezi kuwa unafahamu kila kitu dunia hii ni kubwa mno! Kwa hiyo una maana alimaanisha Che Guevara. Na kama ni Che siyo wa Cuba mkuu japo alishiriki mapinduzi ya Cuba
 
Mkuu huwezi kuwa unafahamu kila kitu dunia hii ni kubwa mno! Kwa hiyo una maana alimaanisha Che Guevara. Na kama ni Che siyo wa Cuba mkuu japo alishiriki mapinduzi ya Cuba
Ni Che Guevara exactly mkuu. JF ni darasa pia.
 
Mkuu huwezi kuwa unafahamu kila kitu dunia hii ni kubwa mno! Kwa hiyo una maana alimaanisha Che Guevara. Na kama ni Che siyo wa Cuba mkuu japo alishiriki mapinduzi ya Cuba

Unafaa kuwa mwalimu wa pale Muhimbili kwani ungewapata wengi wa kurudia Mwaka, mwanafunzi akikosea kumalizia jina la mdudu na spell ya S tu tayari huyo kakosa swali
 
Mkuu, huwezi kuwa unafahamu kila kitu dunia hii ni kubwa mno! Kwa hiyo una maana alimaanisha Che Guevara. Na kama ni Che siyo wa Cuba mkuu japo alishiriki mapinduzi ya Cuba
Mkuu shule zetu za kata zinakabiliwa na uhaba wa vitabu na hiyo ufundishaji unategemea sana nukuu(notes) za walimu ambazo nazo zimejaa makosa kibao ya maandishi na taarifa. wape mchango huu;


Che Guevara
Born in Argentina and trained as a physician, Che Guevara became a military commander for Fidel Castro from 1956 to 1959, during the Cuban revolution. Guevara opposed United States intervention in Latin American affairs and believed that only violent revolution could remedy the poverty of the masses. Guevara wrote two books about guerrilla warfare and led guerrilla forces in South American countries. He was captured and killed in 1967 while leading a guerrilla band trying to overthrow the Bolivian government.
Archive Photos
Microsoft ® Encarta ® 2007. © 1993-2006 Microsoft Corporation. All rights reserved.
 
Mtu kama Stivin Biko, Chak ovala, Martin Rutha Kingi, Nyerere, Chacha Wangwe, Prf Chachage, Karume, Nkuruma na Haire Selase. Hao ni baadhi ya Wanaharakati walioondoka au kuondolewa duniani gafla. Hawakupata muda wa kutoa neno la mwisho ambalo labda lingebaki, likaishi lingeokoa wengi. Na walitamani sana wafe ila mawazoyao yaishi milele.

"YAPO NA MENGINE MENGI TUMEYAACHA KWAAJILI KWAAJILI YA KUISTAI SELIKALI" Hii ni kauli aliyoitoa Mwakyembe bungeni baada ya kutaka kuonekana "Richmond sababu ni uwaziri mkuu".
Mungu bado amekuachia kauli zungumza. Sema yote na mungu atakurehemu utapona haraka. Kuwa mwongo si kudanganya tu BALI ATA KUUFICHA UKWELI UNAOUJUA. Ulipofika wanahabari walifika kwa wingi ili kujua maendeleo ya Afya yako na nini unachoamini wewe mwenyewe juu ya Afya yako.

Walichoambulia ni tofauti kabisa. Ulijikakamua na kuonesha uko fiti kabisa. Najua lengo ni kututoa wasiwasi sisi tunaofatilia maendeleo yako. Je unaamini nini kuhusu afya yako?
Ni uchafu gani mliuficha kwa manufaa ya selikali na si wananchi?
Je kukaa kimya ndio tiba yako??

Au unaogopa kustakiwa kama alivyotishiwa Sitta?
WATU WANAUGUA MAFUA WANAENDA KUTIBIWA ULAYA NA WANARUDI WANASEMA "NIPO FITI TAYARI KWA MAPAMBANO" kwanini wewe uwe bubu?
Na kama ugonjwawako ni hujuma hawatakusamehe wanavisasi hao.
Kama mimi bora sasa kufa mwili ila jina likabaki sababu naamini kunamaisha zaidi ya haya baada ya kifo kwani kinachofata sasa litakufa jina na mwili utabaki.

UNANIKUMBUSHA WAFUASI WA KIBWETERE WALIJUA SIKU YA KIFO CHAO ILA HAWAKUAGA MTU WALIFUNGIWA "KANISANI' wakachomwa moto na walikufa bila ata kupiga kelele. ILA NAKUOMBEA KWA MUNGU aimarishe afya yako si ya mwili pekee bali roho na akili. Akujalie hekima. Akupe ujasiri na umtegemee yeye pekee.

Amina

safi sana mkuu ila nagalia majina ya watu usiyaharibu
 
Mwakyembe,hawezi pote kwenye fikra na historia ya nchi hii mpaka vizazi kumi vijavyo,kwani leo ni nyumba ipi ya mtanzania watoto wadogo hawaongelei ufisadi,amini nakuambia hata watoto waliomo matumboni mwa mama zao wajiua kazi waliyonayo ya kupambana na adui ufisadi.

hata kwa hili huwezi kuyaona na kuyasikia na kujua kwamba mwakyembe ataishi milele kwenye fikra za Watanzania!
 
safi sana mkuu ila nagalia majina ya watu usiyaharibu
tatizo hujui unachokisifia kama ungetumia akili kufikri usingesifia haya,kwa kuwa unafkri kama wabuge wa dar basi si na tatizo na wewe lakini nakuomba utumie akili kufikilia na si makalio
 
Mtu kama Stivin Biko, Chak ovala, Martin Rutha Kingi, Nyerere, Chacha Wangwe, Prf Chachage, Karume, Nkuruma na Haire Selase. Hao ni baadhi ya Wanaharakati walioondoka au kuondolewa duniani gafla. Hawakupata muda wa kutoa neno la mwisho ambalo labda lingebaki, likaishi lingeokoa wengi. Na walitamani sana wafe ila mawazoyao yaishi milele.

"YAPO NA MENGINE MENGI TUMEYAACHA KWAAJILI KWAAJILI YA KUISTAI SELIKALI" Hii ni kauli aliyoitoa Mwakyembe bungeni baada ya kutaka kuonekana "Richmond sababu ni uwaziri mkuu".
Mungu bado amekuachia kauli zungumza. Sema yote na mungu atakurehemu utapona haraka. Kuwa mwongo si kudanganya tu BALI ATA KUUFICHA UKWELI UNAOUJUA. Ulipofika wanahabari walifika kwa wingi ili kujua maendeleo ya Afya yako na nini unachoamini wewe mwenyewe juu ya Afya yako.

Walichoambulia ni tofauti kabisa. Ulijikakamua na kuonesha uko fiti kabisa. Najua lengo ni kututoa wasiwasi sisi tunaofatilia maendeleo yako. Je unaamini nini kuhusu afya yako?
Ni uchafu gani mliuficha kwa manufaa ya selikali na si wananchi?
Je kukaa kimya ndio tiba yako??

Au unaogopa kustakiwa kama alivyotishiwa Sitta?
WATU WANAUGUA MAFUA WANAENDA KUTIBIWA ULAYA NA WANARUDI WANASEMA "NIPO FITI TAYARI KWA MAPAMBANO" kwanini wewe uwe bubu?
Na kama ugonjwawako ni hujuma hawatakusamehe wanavisasi hao.
Kama mimi bora sasa kufa mwili ila jina likabaki sababu naamini kunamaisha zaidi ya haya baada ya kifo kwani kinachofata sasa litakufa jina na mwili utabaki.

UNANIKUMBUSHA WAFUASI WA KIBWETERE WALIJUA SIKU YA KIFO CHAO ILA HAWAKUAGA MTU WALIFUNGIWA "KANISANI' wakachomwa moto na walikufa bila ata kupiga kelele. ILA NAKUOMBEA KWA MUNGU aimarishe afya yako si ya mwili pekee bali roho na akili. Akujalie hekima. Akupe ujasiri na umtegemee yeye pekee.

Amina
The disasters of this world are not only caused by the bad words and bad actions of the bad people but also by the great silence of the good people!
 
Nawashangaa sana mnaojisumbua na hawa walozi, huyu Mwakyembe na Lowasa hawaishi kwenda Nigeria kwa mjinga mmoja anaitwa Nabii Joshua kwenda kupiga ramli, hana msaada wowote ule.
 
Huyu jamaa naona ugonjwa umemharibu mpaka ubongo. Hivi wana bodi mtu ambaye amepata tatizo la akili na alikuwa DR kabla ya ugonjwa kuna haja ya kulitumia jina hilo kwasababu akili ndio zilimfanya aitwe hivyo naomba ufafanuzi
 
Back
Top Bottom