ukiishi kwa upanga lazima ufe kwa upangaAmbaye naye(Laurent Kabila) alimuua baba mzazi wa Joseph na kumtwaa mama yake na yeye Joseph mwenyewe
lakini mchicha kamwe hautakuwa mbuyu.mbuyu huanza kama mchicha..so do we.
yah mshkaji katoka mbali,sa hivi anakula bata ingawa wacongo hawammind hata kidogo wanadai ni mnyarwanda
yeah kuna chakujifunza hapa, kama kweli alimuuma baba yake wa kambo basi dunia ni mbaya sana Mungu ni rafiki yako wa pekee. laurent alimpenda sana huyu kijana lakin ndo ivo tena laurent inasemekana alimuua baba yake joseph wakiwa vitani, hawa waliwahi kuwa marafiki baada ya vita kuwa mbaya na kushindwa kwa kiasi kikubwa laurent akahisi christoper (baba halis wa joseph) anamsalito akaaamua kumuua na kila alipoulizwa alikua anatoa sababu kibao so naona msemo ulitimia kwamba malipo ni hapa hapa dunianiMkuu si unacheki hiyo pua yake.
usijilaumu sana huo ulikua mwisho wa fikira zako, wenzio tuna goo deepDu pamoja na ufukunyungu wangu hii habari ya joseph kuwa adopted ndo naisikia leo,licha ya kuanza kumfuatilia kabila tangu niko primary
ha ha ha,hata CIA wenyewe saa ingine infor zinawapita kushoto,itakuwa mimi bana?usijilaumu sana huo ulikua mwisho wa fikira zako, wenzio tuna goo deep
Nani kawadanganya Baba wa kabial alikuwa bongo? Kabila ni mnyaruanda by origin. Huyo mnaefikiri ni baba yake sio.alikuwa na oneten nyeupe hivi
Ambaye naye(Laurent Kabila) alimuua baba mzazi wa Joseph na kumtwaa mama yake na yeye Joseph mwenyewe
umetisha mkuu, ulikochimba hizo pichaView attachment 385768View attachment 385769huyu jamaa ametoka mbali. Mwaka 1996 alikua dereva wa General James Kabarebe
na imani huyu dogo alifanya njama za kuumuua baba yake wa kambo, the late laurent!! pia malipo ni hapa hapa duniani tuu maana laurent pia alimuua baba mzaz wa huyo joseph sababu alihisi anamsaliti halaf kama haitoshi akamchukua na mkewe akammiliki, na akawachukua jose na dada yake ambaye ni pacha kisha akawalea kama wanae, kilichokuja kutokea anafahamu huko mbinguni/motoni.View attachment 385768View attachment 385769huyu jamaa ametoka mbali. Mwaka 1996 alikua dereva wa General James Kabarebe
saba bwana cheusiha ha ha,hata CIA wenyewe saa ingine infor zinawapita kushoto,itakuwa mimi bana?
Ana umri gani hadi useme katoka mbaliView attachment 385768View attachment 385769huyu jamaa ametoka mbali. Mwaka 1996 alikua dereva wa General James Kabarebe
Duu hataree..Ambaye naye(Laurent Kabila) alimuua baba mzazi wa Joseph na kumtwaa mama yake na yeye Joseph mwenyewe