Wivu wao tu. Maneno ya mkosaji. Acheni ale nchi. Neema imemfungukia.Wahuni wa vijiweni hawana maana hata kidogo, si niliwasikia wanamsema huyo kwenye hiyo picha kuwa eti beki hazikabi, ndo niko kutafuta maana ya huo msemo!
Wivu kwa wahuni sidhani, itakuwa ni ganja zao tu; hawakuishia hapo yaani, wanasema kwa elimu aliyonayo, umaarufu na hadhi, eti anamiliki Yutong moja na Coaster moja.Wivu wao tu. Maneno ya mkosaji. Acheni ale nchi. Neema imemfungukia
Hasa hasa akiwa nje ya ligi yako.Mkuu, uzuri wa mtu upo kwenye macho ya mtazamaji. Hongera kwa kumuona mzuri, wengine tunamuona wa kawaida sana
Hayo ni maneno ya kumfariji mwanamke mwenye sura personal wakati upo horny ili asikunyime papuchi.Mkuu, uzuri wa mtu upo kwenye macho ya mtazamaji. Hongera kwa kumuona mzuri, wengine tunamuona wa kawaida sana
Mabazazi utawajua tuAnafaa Kwa Matumizi Ya Siku.
What are u talking aboutIla kusema la ukweli Tanzania na africa kwa ujumla tunaishi kwa kukariri mno yaani sijui tatizo liko wapi mfano huyo jokate ni pozi kali ila hata kama ana miaka mingi hajaolewa tatizo liko wapo kama mnaamini kila kitu ni mpango wa mungu...