Mbona kasi mkuu kulipia kuko pale pale.Majina ya waliochaguliwa kujiunga vyuo vya kati yameshatoka lakini Joining Instructiins bado ili wazazi tuone tunajipangaje. Zinapatikanaje hizi?
Kachaguliwa fani gani nikupe fununu.Najua ndugu. Shida yangu nijue mapema nitaweza huu muziki au la!
Butimba ni TTC almost bure wanalipa kdgo 70k au 100kStashahada Maalum ya Masomo ya Kemia na Biolojia. Butimba TC
TIA ni mwezi huu?TIA ni tarehe 26 mwezi huu. Nina binti yangu kachaguliwa hapo kusomea uhasibu. Ninashauri kwa sasa tukusanye tu pesa kwanza. Usipoteze kuwaza instructions. Weka kama 1.5m standby
Kama ndo hivo kwa Butimba itakua slightly juu ya hapo ada 600k70k ni Advanced Level. Nimesikia Kasulu TC ni 450k, sijui kama TC zote nchini zina ada inayofanana. Ndio nasubiri specifically ya Butimba
Joining instructions ni mwezi huuTIA ni mwezi huu?
Ingia katika website ya chuo husika utakuta io joining instruction na mchanganuo wa ada kwa kozi husika,kwasasa utaikuta ya mwakajana na tofauti kwenye ada iliyoandikwa kwenye yale majina ya selection na ada ya chuo hapo unaweza kuta zitapishana kidogo.Majina ya waliochaguliwa kujiunga vyuo vya kati yameshatoka lakini Joining Instructiins bado ili wazazi tuone tunajipangaje.
Zinapatikanaje hizi?
Sanaa... Madogo wanaona bora kwenda chuo kuliko advance..aisee daah mambo ya chuo yamezidi nowadays
Asante nduguIngia katika website ya chuo husika utakuta io joining instruction na mchanganuo wa ada kwa kozi husika,kwasasa utaikuta ya mwakajana na tofauti kwenye ada iliyoandikwa kwenye yale majina ya selection na ada ya chuo hapo unaweza kuta zitapishana kidogo.
Mara nyingi joining instructions wanaziupdate izo izo labda na mabadiliko kidogo sana tarehe za kukaribia kufungua vyuo zikifika.