Join the Chain yaendelea kushika kasi, sasa ni One Million Challenge

Join the Chain yaendelea kushika kasi, sasa ni One Million Challenge

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
141,511
Reaction score
283,969
Utaratibu huu mpya wa " kuwezesha mambo " ndani ya chama ama waweza kuita kusongesha ni MPANGO MAHSUSI wa kuchangia CHADEMA kwa lengo la kuharakisha ukombozi.

Sasa Kuanzia tarehe 1/03/2022 imeanzishwa jambo linaloitwa ONE MILLION CHALLENGE , huu ni mkakati mdogo ndani ya mkakati mkubwa wa kuhakikisha angalau watu milioni 1 wanachangia angalau Tshs elfu 1 tu , yaani ni hivyo tu .

Zaidi angalia bango hili hapa .


Watanzania_na_Wanachadema_tunahitaji_kufikia_hii_target..jpg
 
Wakati CDM ikichanja mbuga kwa ubunifu wa kutafuta vyanzo vipya na vya uhakika vya mapato, Chama Cha Madeni (CCM) kimebaki na njia moja ya kuiendesha nchi, nayo ni kutembeza bakuli na kuzidi kukopa tu basi.
 
Chamaa cha kijani na vibaraka wao watakuja kupinga..mana wao ubunifu ni zero..kazi kuimba mapambio kusifu na kuabudu wapate teuzi.

#MaendeleoHayanaChama

Ukosefu wa miradi au vyanzo vinavyoingiza pesa katika Chama ndio sababu chama kila siku kije na mbinu ya kupata pesa.

So, huu so-called ubunifu unatokana na kushindwa kuwa na miradi endelevu ya kuingizia chama mapato|Pesa.

Ila, Ukiangalia kwa umakini hawa CCM au So Called Kijani wana Miradi Mikubwa sana na vyanzo vya kutosha vya kuingiza pesa katika chama(wamejijenga vizuri kiuchumi) Ndio maana hawalii njaa kama CHADEMA.
 
Ukosefu wa miradi au vyanzo vinavyoingiza pesa katika Chama ndio sababu chama kila siku kije na mbinu ya kupata pesa.

So, huu so-called ubunifu unatokana na kushindwa kuwa na miradi endelevu ya kuingizia chama mapato|Pesa.

Ila, Ukiangalia kwa umakini hawa CCM au So Called Kijani wana Miradi Mikubwa sana na vyanzo vya kutosha vya kuingiza pesa katika chama(wamejijenga vizuri kiuchumi) Ndio maana hawalii njaa kama CHADEMA.
Chama si kikundi Cha Kijasiliamali

Mkuu,

CCM haina mikakati au mbinu yoyote ya kupata Fedha zaidi ya kuchukua kutoka

Ikulu na kuyatumia Yale majengo ya TANU ambayo yalikuwa chini ya mfumo wa chama kimoja, kimsingi yalitakiwa yarudishwe serikalini baada ya vyama vingi wao wanatumia kama kitega uchumi.

Na kwa kumalizia Sheria ya vyama vya siasa hairuhusu chama kujiingiza au kufanya shughuli za kibiashara.
 
Ukosefu wa miradi au vyanzo vinavyoingiza pesa katika Chama ndio sababu chama kila siku kije na mbinu ya kupata pesa.

So, huu so-called ubunifu unatokana na kushindwa kuwa na miradi endelevu ya kuingizia chama mapato|Pesa.

Ila, Ukiangalia kwa umakini hawa CCM au So Called Kijani wana Miradi Mikubwa sana na vyanzo vya kutosha vya kuingiza pesa katika chama(wamejijenga vizuri kiuchumi) Ndio maana hawalii njaa kama CHADEMA.
Viwanja vya mpira vyote ni mali yetu wamevichukua ccm, ngoja katiba mpya ije tutagawana.
 
Ukosefu wa miradi au vyanzo vinavyoingiza pesa katika Chama ndio sababu chama kila siku kije na mbinu ya kupata pesa.

So, huu so-called ubunifu unatokana na kushindwa kuwa na miradi endelevu ya kuingizia chama mapato|Pesa.

Ila, Ukiangalia kwa umakini hawa CCM au So Called Kijani wana Miradi Mikubwa sana na vyanzo vya kutosha vya kuingiza pesa katika chama(wamejijenga vizuri kiuchumi) Ndio maana hawalii njaa kama CHADEMA.
Wkishang'olewa madarakani ndio utajua kama wana miradi au la
 
Wakati CDM ikichanja mbuga kwa ubunifu wa kutafuta vyanzo vipya na vya uhakika vya mapato, Chama Cha Madeni (CCM) kimebaki na njia moja ya kuiendesha nchi, nayo ni kutembeza bakuli na kuzidi kukopa tu basi.
Dr slaa balozi zamani katibu chadema amesema kupitia raia mwema yaleo eti kutembeza bakuli ulaya niswala la kawaida na serikali isichezee Sana hiyo nafasi kwa kutoheshimu mikataba ambayo democrasia ndo kipaumbele ndani ya mikataba hiyo ,nimecheka nikashika kichwa
 
Ukosefu wa miradi au vyanzo vinavyoingiza pesa katika Chama ndio sababu chama kila siku kije na mbinu ya kupata pesa.

So, huu so-called ubunifu unatokana na kushindwa kuwa na miradi endelevu ya kuingizia chama mapato|Pesa.

Ila, Ukiangalia kwa umakini hawa CCM au So Called Kijani wana Miradi Mikubwa sana na vyanzo vya kutosha vya kuingiza pesa katika chama(wamejijenga vizuri kiuchumi) Ndio maana hawalii njaa kama CHADEMA.
umeongea ujinga tupu kwann ccm mlikwapua uchaguzi njoo kwanza najibu la uchaguzi uliopita...kwann ufiche ukweli wewe
 
Back
Top Bottom