Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,716
- 45,115
Hawa wote walikuwa ni mabeki wa kati. Pia wote walikuwa ni makepteni katika timu zao.
Wakati John Terry alikipiga Chelsea, Nemanja Vidic alikipiga Man United katika EPL.
Kwasasa wote wameshastaafu, ukiwa kama mshabiki wa mpira, ni beki gani kati ya hao wawili ambaye ulimkubali zaidi kwa uchezaji wake akiwa uwanjani.
Karibuni kwa mjadala.
Wakati John Terry alikipiga Chelsea, Nemanja Vidic alikipiga Man United katika EPL.
Kwasasa wote wameshastaafu, ukiwa kama mshabiki wa mpira, ni beki gani kati ya hao wawili ambaye ulimkubali zaidi kwa uchezaji wake akiwa uwanjani.
Karibuni kwa mjadala.