Hahhahaaaaaa Mkuuu hizi simu Janja za Uzeeni ni sheeedar.Duuu umegonga balimi mbili kwanza nini!? Ha ha ha ha
Hahhahaaaaaa Mkuuu hizi simu Janja za Uzeeni ni sheeedar.Duuu umegonga balimi mbili kwanza nini!? Ha ha ha ha
Hakika vidic hato msahau huyo jamaa alikuwa anamsumbua ile nomaKiboko ya vidic alikuwaga mvua za elimino mnyama Torres. Alikuwaga mpaka anakimbia kinyago cha jamaaa.
Duuh kazi kweli kweli!Terry ana Vitu vingi kuliko Vidic. Terry ni zaid yake
Mkuu mbona kama hatuko pamoja katika hili? Rudia kusoma uzi tena...
Ha ha haVidic labda umfananishe na yeye mwenyewe.
Naunga mkono hoja. Ikumbukwe pia Terry ni mwingereza, lazma atukuzwe...John Terry alikuwa kiongozi mzuri kwenye safu ya ulinzi, ila vidic alikuwa beki kisiki kwa maana mkabaji zaidi.
Sent using my nokia ya tochi
Ila Torres wa Liver bwana alikuwa anajua sana...Kiboko ya vidic alikuwaga mvua za elimino mnyama Torres. Alikuwaga mpaka anakimbia kinyago cha jamaaa.
We unajua kuchambua, nimeruka comment nyingi tuenzi za Terry na Vidic, nilikuwa namkubali Rio Ferdinand, halafu ndio wanafuata hao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nikweli Terry alikuwa na hiyo kashfa na siungi mkono, ila huwezi mfananisha na Nemanja,John alikuwa juu zaidiVidic usimfananishe na mlevi huyo mzinifu
Terry alikuwa hafanyi ivyo? Unaweka mguu yeye kichwa?"Nemanja Vidic puts his head where other players are scared to put their feet" - Robin Van Persie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Terry alikuwa hafanyi ivyo? Unaweka mguu yeye kichwa?