Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,410
- 36,560
Fuatilia conversion hadi kufikia hapo siyo unadakia njianiSeems ujaelewa kilichoandkwa alafu hyo ni quote, am not responsible!
Sent using Jamii Forums mobile app
Fuatilia conversion hadi kufikia hapo siyo unadakia njianiSeems ujaelewa kilichoandkwa alafu hyo ni quote, am not responsible!
Sent using Jamii Forums mobile app
Embu soma tena nlichoandika mm then compare na comment yko ndio utajua nani amedakia! (Though uandishi wako unaonesha kingereza kwako tatizo, ungeomba utafsiriwe kwanza).....Alafu sio conversion ni conversation.Fuatilia conversion hadi kufikia hapo siyo unadakia njiani
Conservation😁😁😁😁 halafu wewe ndo unajua kingereza,utakuwa kwenu wakwanza kusoma weweEmbu soma tena nlichoandika mm then compare na comment yko ndio utajua nani amedakia! (Though uandishi wako unaonesha kingereza kwako tatizo, ungeomba utafsiriwe kwanza).....Alafu sio conversion ni conservation.
Sent using Jamii Forums mobile app
Msomi ni conversation na siyo conservation😁😁😁😁Embu soma tena nlichoandika mm then compare na comment yko ndio utajua nani amedakia! (Though uandishi wako unaonesha kingereza kwako tatizo, ungeomba utafsiriwe kwanza).....Alafu sio conversion ni conservation.
Sent using Jamii Forums mobile app
Terry hawezi kuwa chini ya Matic wewe ..hizi Stats ni FAKE.
Rio na Vidic nan alikuwa captain?Hawa wote walikuwa ni mabeki wa kati. Pia wote walikuwa ni makepteni katika timu zao.
Wakati John Terry alikipiga Chelsea, Nemanja Vidic alikipiga Man Utd katika EPL.
Kwasasa wote wameshastaafu, ukiwa kama mshabiki wa mpira, ni beki gani kati ya hao wawili ambaye ulimkubali zaidi kwa uchezaji wake akiwa uwanjani.
Karibuni kwa mjadala...
Hata mimi nimeshangaa sanaacha kumfananisha Terry na vitu vya kijinga
Unataka ubishani usiokuwq na tija. Google utapata jibuRio na Vidic nan alikuwa captain?
Conservation😁😁😁😁 halafu wewe ndo unajua kingereza,utakuwa kwenu wakwanza kusoma wewe
Msomi ni conversation na siyo conservation😁😁😁😁
HahahahahahFuatilia conversion hadi kufikia hapo siyo unadakia njiani
Juma NyosoHawa wote walikuwa ni mabeki wa kati. Pia wote walikuwa ni makepteni katika timu zao.
Wakati John Terry alikipiga Chelsea, Nemanja Vidic alikipiga Man Utd katika EPL.
Kwasasa wote wameshastaafu, ukiwa kama mshabiki wa mpira, ni beki gani kati ya hao wawili ambaye ulimkubali zaidi kwa uchezaji wake akiwa uwanjani.
Karibuni kwa mjadala...
We unaonaje?Terry kabwagwa mbali.......aseee ni ushabiki tu hapo......
Hivi Vidic na huyo dogo wa liver Virgil nani zaidi?
Mkuu ningekuwa nna mtazamo wangu ningebaki nao......tu sina Ulinganifu mzuri hapo ndo maana nawauliza wakuu.We unaonaje?