Hivi Tendwa kwa kweli uwa simuelewa kwanza anajifanya kiswahili kinampa shida halafu ana tabia za kibabe ambazo zinamfanya awe anropoka hovyo.
Anasema mauwaji ya raia si tanzania 2 hadi nnje ya nchii so si kitu kigeni
TENDWA anasema inapotokea barua ya polisi ikachelewa kukufikia katika kuahirisha mkutanonwako, anasema busara inapaswa kutumika, anasema swala la mauaji ya polisi kwa raia hayatokei hapa kwetu tu anasema yanatokea nchi zoote duniani... naona Uzee si kitu kizuri
Sasa si mseme anachoongea badala ya kuanza kuponda tu kama mazumbukuku. Ooh Tendwa ana manundu, mara ana virusi, mara ana wadogo zake wanaitwa Tendeana. Hayo ndiyo mambo ya kuchangia watu wenye akili zenu? Watu wengine bwana.
Anasema kuwa matukio ya polisi kuua raia
yanatokea duniani kote kwa hiyo tusishangae
hapa Tanzania!...
Hivi Tendwa kwa kweli uwa simuelewa kwanza anajifanya kiswahili kinampa shida halafu ana tabia za kibabe ambazo zinamfanya awe anropoka hovyo.
Hee kwahyo yaliyotokea Iringa anaunga mkono polisi kumuua Mwangosi?