John Shibuda atangaza rasmi kuachana na CHADEMA

John Shibuda atangaza rasmi kuachana na CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Huu ndio ukweli mengine porojo tu.

Leticia;Shibuda na Mzee Arfi watajiunga ACT kumfuata Zitto August mwakani!Na watakao shindwa pia kura za maoni ndani ya CCM;CHADEMA na NCCR wataingia pia ACT
 
Kuna wabunge wakihama unaweza hisi kitu.

Ila huyu ambae sijawahi kumuona popote akieneza chama ni mzigo kama mingine tu.

Kwaio atangulie tu, ila pia mjue kwamba hiyo ni virus imekuja kwa kazi yake.
 
Na ule ujira mwiha itakuaje,ile yule ni wa kundi lile so tayari anafungu lake.
 
KAMANDA SHIBUDA amesema amechoshwa na kuburutwa ndani ya chadema ameibwaga chini na kuhamia kwenye chama cha ukombozi.
ALUTA CONTINUA VIVA ACT.
source MAJIRA

Chadema mnachelewa sana kuchukua hatua kali dhidi ya wasaliti kama hawa. Mwanasiasa kama huyu asiye na msimamo ni sawa na kiungo cha mwili chenye kansa, dawa yake ni kukikata na kukitupa kwenye incinerator. Period!
 
Bora 'gunia la misumari' liondoke likakutane na mizigo mingine kama vile 'mzee wa deal'
 
KAMANDA SHIBUDA amesema amechoshwa na kuburutwa ndani ya chadema ameibwaga chini na kuhamia kwenye chama cha ukombozi.
ALUTA CONTINUA VIVA ACT.
source MAJIRA

Hivi Shibuda bado alikuwa chadema?
 
KAMANDA SHIBUDA amesema amechoshwa na kuburutwa ndani ya chadema ameibwaga chini na kuhamia kwenye chama cha ukombozi.
ALUTA CONTINUA VIVA ACT.
source MAJIRA
mfagiaji wa ofisi ya chadema anaumuhimu kuliko shibuda
 
Kwahiyo sio mbunge tena kupitia chadema? ila source yenyewe ipo mlengo ule tatizo.
 
sema karudi ccm kwa mlango wa nyuma, kwani umesahau vikao vya act pia vinaudhuriwa na wana ccm. ila sidhani kama ana moyo wa kuacha posho na mishahara ya ubunge kwa kipindi hiki.
 
nani anaitaka chagadema ACT ndo mpango mzima

Kaenda kigoma ACT: Alliance for Cowards and Traitors! Huko ndiko kunakowafaa with wa sampuli yake.CDM wanahitajika stable minded figures with integrity and focus towards elimination all rats and dirt party CCM. Ukiwa CDM ujue uko ktk right track
 
KAMANDA SHIBUDA amesema amechoshwa na kuburutwa ndani ya chadema ameibwaga chini na kuhamia kwenye chama cha ukombozi.
ALUTA CONTINUA VIVA ACT.
source MAJIRA
Shibuda angekua CHINA hakika ile adhabu yao isingempitia mbali!
 
KAMANDA SHIBUDA amesema amechoshwa na kuburutwa ndani ya chadema ameibwaga chini na kuhamia kwenye chama cha ukombozi.
ALUTA CONTINUA VIVA ACT.
source MAJIRA

Mbona huyo alishaiacha chadema siku nyingi tu!na hata kama anahamia act,ni mtumishi mwaminifu Wa ccm.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom