TANZIA John Mwankenja auawa kwa risasi

Poleni sana Hilda Ngoye na Mwandosya kwa mtihani huu mgumu kwani huyu bwana aliwafaa sana; bwana alitoa na bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.
 
Let's hope kwamba mauajo haya hayahusiani na mambo ya kisiasa. Kama ni hivyo siasa zetu zinaelekea pabaya. Ni muhimu zaidi vyombo husika vipeleleze na hatimae kuwatia nguvuni waliotekeleza mauaji haya na haki itendeke.Mungu awatie nguvu wafiwa katika wakati huu ngumu na ailaze peponi roho ya marehemu. AMIN.
 
May Almighty God Rest his soul in Peace,Amen. Tusubiri uchunguzi tusianze kuweka hisia za kisiasa otherwise tunajipeleka siko
 
Kuna ***** mmoja atatoa tamko kua CHADEMA ndo wana husika,..
ngoja tu akune makalio saivi,akiamka mjue ndo alikua anawaza hivo!
 

Kama wote tutafikiri kama wewe na bila kuchukua hatua stahiki, tutakwisha. Hufanani na jina lako.
 
poleni sana wafiwa. bottom line tunaishi kwenye nchi hatari sana. kila ukiamka au niseme uingiapo nyumbani kwako salama unamshukuru Mungu. manake jinsi unavyoweza kupigwa risasi na 'watu wasiojulikana' Bongo sasa hivi uhai ni very cheap!
 

hivi hawa polisi wetu kuna uchunguzi gani wa maana ambao walishawahi kufanya,.chacha wangwe wametupa jibu?kazi zao zote zimeshakuwa za kisiasa,kutumwa na ccm tu ndicho wanachojua,kwa ufupi siwaamini polisi wetu hata kidogo,..wapo kisiasa na uwezo wao huwa naudobt sana...
 
That's absurd.Ndaga ukagone Mwankenja and may the Almighty rest you in a peace.
 
Pole sana wafiwa,Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.Alikuwa mwenyekiti wa halmashauri au wa CCM Rungwe?
 
Nafikiri hata mauaji ya Kolimba zilikuwa njama za Chadema teh teh teh akili mgando kweli kweli.
 
Nafikiri hata mauaji ya Kolimba zilikuwa njama za Chadema teh teh teh akili mgando kweli kweli.

Ya Kolimba yalikuwa mauaji? Watendeeni haki waliofariki. Vinginevyo hata akina Chacha Wangwe, Mwalimu, yoote tutaita ni mauaji.
 
RIP Mwankenja!
Everybody has his Day!
Hao waliomuua wataishi siku ngapi zaidi yake???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…