John Mrema: Tuwatambue Mamluki Wapinga CHADEMA kwenye Runinga

brazaj

JF-Expert Member
Jul 26, 2016
27,822
35,817
Habari hii inajieleza wazi:





John Mrema amethibitisha baadhi ya utambulisho watu hao.

Kwamba tumefikia huku kwenye "impersonation" si haba inaonekana ujumbe unawafikia walengwa.

Kwa vile walisema walikuwa hawajasikia - na tupaze zaidi sauti.



Aluta Continua.
 
Back
Top Bottom