Troll JF
JF-Expert Member
- Feb 6, 2015
- 7,804
- 12,224
Wakuu taangu tubomolewe Nyumba zetu mbunge John myika hajawahi kuja kutoa pole wa kutufariji. Mimi kama mwananchi Nimeumizwa na Suala hili.
Kama Mpiga Kura sifurahii tabia hii iliyofanywa na John Mnyika kututelekeza wakati wa uchaguzi huwa mpole na Hutembea kwa mguu kata zote kuomba kura.
Mbunge wa Mnyika naomba utusaidie.