John Mnyika awaaga wana Kibamba

John Mnyika awaaga wana Kibamba

Ningekuwa Kibamba ningempigia kura Mnyika
 
Dr.mihogo ni hovyo kabisa unaweze kumskilza mushumbush shangingi lililoshindikana mjn miaka nenda rudi hadi uyakubal mabilion ya ccm uasalit mabadiliko
Poor dr.mihogo na kafie mbele
 
hivi mama fenela ndio wa kumpambanisha na mnyika kweli ? hakika ccm kama hawakutaki utawaona tu .
 
Kazi njema mnyika, pia timu nzima ya vuguvugu la mabadiliko
 
mnyika hata aibu huna? kula matapishi sio mchezo! watu ndio wanafanya mfumo. tangu lini mfumo ukawa nje ya watu. mfumo unapumua ni watu. kweli rupia inapoteza utu.

tulio vp unamishono mbona umatokwa povu
 
sasa sikilizeni mziki wa akina mnyika lissu, kafulila! Aaaah! Ni shidaa!

masikini! Majimbo matatu zaidi yazidi kupotea....... Tayari maji yapo shingoni mtazisoma number mwaka huu....... Act kuwa kambi rasmi ya upinzani bungeni..... Ngoma inogile!!!!
 
Ukawa bana! Humu JF siku hizi mmeamua kuigeuza ni ya kampeni za EL tu! Mnaanzisha thread mnajijibu wenyewe mnachekelea! Haya siku hizi mmejimilikisha jf, mtu akitofautiana na nyinyi anaonekana humu jf kama si memba kabisa! Haya wacha mjitekenye wenyewe na mcheke wenyewe! Hapa KAZI TUUU!
 
Dr.mihogo ni hovyo kabisa unaweze kumskilza mushumbush shangingi lililoshindikana mjn miaka nenda rudi hadi uyakubal mabilion ya ccm uasalit mabadiliko
Poor dr.mihogo na kafie mbele

Nyie team Lowasa, hamuujui mchango wa Dr Slaa kwenye chadema, sio wa kumbeza kijinga, kwani leo ndio mmemjua Josephine? Leo mnamkashifu wakati hapo mwanzo chadema asili walimtetea kwenye hoja zote hadi mahakamani na Slaa akapata haki ya kuishi naye kihalali, leo mmesahau?
 
Ukawa bana! Humu JF siku hizi mmeamua kuigeuza ni ya kampeni za EL tu! Mnaanzisha thread mnajijibu wenyewe mnachekelea! Haya siku hizi mmejimilikisha jf, mtu akitofautiana na nyinyi anaonekana humu jf kama si memba kabisa! Haya wacha mjitekenye wenyewe na mcheke wenyewe! Hapa KAZI TUUU!

una kazi wewe?? jitu zima miaka 30 unakula na kulala kwa mama kauli inakusuta hiyo. Eti hapa kazi tu shame upon you na ukome
 
Daktari anampiga Mungu na mawe...hayafiki kwa Mungu na yanamuangukia mwenyewe na kumuumiza.Kwanza kuwaacha wana wa kondoo bila mchungaji..dhambi hii itamtafuna Dr. Papa hapa duniani.Alimkataa Mh.Rais na kutuaminisha yeye alishinda..kumbe siyo kweli sasa hivi anamkubali...dhambi hii pia itamtafuna alitaka tuletea machafuko nchini mwetu.Kama haitoshi sasa hivi anadiriki kusema hata nchi ikipasuka ya moyoni lazima ayeseme,mbona Mwakyembe mengine hakuyasema kuhofia serikali kuanguka sembuse nchi,Dr tafadhali jipime na umrudie Mola wako.
 
Back
Top Bottom