John Mnyika awaaga wana Kibamba

John Mnyika awaaga wana Kibamba

Nimefurahi kama Mnyika bado yuko kwenye Team ya mabadiliko... maana kuna uzi humu ulisema kuwa anajitoa ukawa
Napendekeza Mnyika ndiye apewe ukatibu mkuu - awe amepata au kukosa ubunge! Ni kijana mwenye moyo wa dhati kuhusu mabadiliko.
 
kwahiyo mfumo ndo tatizo,sio mtu,kwa mjibu wa mnyika
 
Nimefurahi kama Mnyika bado yuko kwenye Team ya mabadiliko... maana kuna uzi humu ulisema kuwa anajitoa ukawa

Ata mimi.nimeona huo uzi.te te te maccm hayo mlalo wa.chali kifo cha ......
 
Mvinyo ulioongezwa mkali kuliko wa mwanzo .chadema aka ukawa nendeni tuko nyuma yenu hakuna kulala mpaka kieleweke.
 
Nimefurahi kama Mnyika bado yuko kwenye Team ya mabadiliko... maana kuna uzi humu ulisema kuwa anajitoa ukawa

Atakula wapi akijitoa bora akina lisu wana professional nyingine ,mnyika ANAJIFANYA yuka pamoja lakin kwa kweli kisaikolojia hayuko vizur tusubiri time will tell
 
Mgombea ubunge wa jimbo la Kibamba kupitia CHADEMA Mnyika Leo amewaaga wapiga kura wa jimbo la kibamba kutokana na ombi la mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe kuwataka wana kibamba wamruhusu mbunge wao mtarajiwa aende mikoani kwa ajili ya kuongeza nguvu katika majimbo yote ya ukawa na pia kujazia kura za urais.

Ombi hilo la Mbowe lilikubaliwa kwa sauti kubwa ya ndio na maelfu ya wapiga kura wa kibamba huku wakisema kwamba jimboni hapo mh Mnyika hana haja ya kupiga kampeni kwani tayari ni mbunge anayesubiri kuapishwa.

Kuanzia kesho Mnyika atajiunga na kundi lingine la wabunge machachari kina Lissu, Mdee,Lema, Kafulila na wengineo katika kampeni kali ya kutafuta kura za ukawa majimbo yote Tanzania

Amzungumzia Dr. Slaa

Mnyika alimfananisha mchumba wa aliyekuwa mke wa katibu mkuu wa Chadema Dr Slaa bi Josephine kuwa ni kama Delila aliyetumia ulaghai kumpotosha Samson.

Mnyika alisema kwamba adui wa Mabadiliko sio mtu toka ndani ya CCM ila ni mfumo wa CCM mzima na yeyote atakayesapoti mfumo wa CCM ni adui wa mabadiliko.
mnyika hata aibu huna? kula matapishi sio mchezo! watu ndio wanafanya mfumo. tangu lini mfumo ukawa nje ya watu. mfumo unapumua ni watu. kweli rupia inapoteza utu.
 
Atakula wapi akijitoa bora akina lisu wana professional nyingine ,mnyika ANAJIFANYA yuka pamoja lakin kwa kweli kisaikolojia hayuko vizur tusubiri time will tell

Sizitaki mbichi izi!!!sasa ivi maccm mnasema ivi.Mnyika anajielewa yule sio mchumia tumbo wakina dr cassava.
 
Sisi mpaka saa 6 tutakuwa tunaongoza kwa kura milion kumi na nane mkuu nguvu ya umma inasonga mbele
 
Kwa maslahi ya taifa narudia tena kwa maslahi ya taifa tunawaomba watu majimbo ya Mnyika,Msigwa,Kafulila,Mkosamali n.k kwa dhati wabunge hawa mhakikishe wanarudi tena!
 
Mnyika kwendeni kalibu Sana nahuku nzega tunawasubili nahiyo timu yenu tukopamoja nanyi
 
Back
Top Bottom