PostGE2025 John Mnyika: Askari wa Magereza wamenizuia leo kumuona Mwenyekiti Tundu Lissu. Kuna maelekezo asikutane na kiongozi yeyote wa CHADEMA

PostGE2025 John Mnyika: Askari wa Magereza wamenizuia leo kumuona Mwenyekiti Tundu Lissu. Kuna maelekezo asikutane na kiongozi yeyote wa CHADEMA

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,779
Katibu mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, John Mnyika kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa X, amesema Askari wa magereza wamemzuia kuingia Gereza la Ukonga kumuona mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu.

"Askari wa Magereza wamenizuia kuingia gereza la Ukonga leo kumwona Mwenyekiti Tundu Lissu. Wamesema wana maelekezo kuwa asionane na kiongozi yoyote wa CHADEMA. Tutautaarifu umma hatua tutakazochukua kufuatia kadhia hii."
1764501126324.png
 
Katibu mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, John Mnyika kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa X, amesema Askari wa magereza wamemzuia kuingia Gereza la Ukonga kumuona mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu.

"Askari wa Magereza wamenizuia kuingia gereza la Ukonga leo kumwona Mwenyekiti Tundu Lissu. Wamesema wana maelekezo kuwa asionane na kiongozi yoyote wa CHADEMA. Tutautaarifu umma hatua tutakazochukua kufuatia kadhia hii."
Officer in charge anapokea order kutoka kwa Abdul.
 
Serikali dhalim inazidi ku display upumbavu wake na kuharakisha anguko la Samia.
 
Haisaidii kuzuia anguko lao, muda wao umeshakwisha
 
Katibu mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, John Mnyika kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa X, amesema Askari wa magereza wamemzuia kuingia Gereza la Ukonga kumuona mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu.

"Askari wa Magereza wamenizuia kuingia gereza la Ukonga leo kumwona Mwenyekiti Tundu Lissu. Wamesema wana maelekezo kuwa asionane na kiongozi yoyote wa CHADEMA. Tutautaarifu umma hatua tutakazochukua kufuatia kadhia hii."
Mmm, kumbe bado hawa wapo na vibuli , twende tu, cha msingi asidhulike acha wakae nae ,uzuri mwamba alisha sema katika Nrne maumivu yatakuepo so alijiua hilo kiroho na mwili
 
Huyu mtu ameiharibu sana nchi. Amemfanya mwanae kuwa ni mkui wa kila kitu. Abdl anatoa amri kwa kila idara, na hapo ndiyo utaambiwa maelekezo toka juu. Huyu Abdl baye akitoa maelekezo, unaambiwa maelekezo toka juu, sijui huko juu amewekwa na nani. Huyu kwa kweli afukuzwe kwa nguvu, arudi huko kwao.
 
Nachoshindwa kuwaelewa wanatangaza maridhiano huku wanakanyaga waya wenyewe tena..
 
Back
Top Bottom