John Magufuli ni mweupe kwelikweli, sijui huo urais aliwaza nini kugombea!

sisiem wameingia mkenge. lowassa njia nyeupeeeee

Mkuu Gunners wanatisha lakini hili Jambazi sugu litaenda kuchunga ng'ombe tu. Vipi uliona mtanange wa Munchen ..... ..... . siwezi kumsupport EL kwa sababu kubwa ambazo zinajulikana, Yeye ndiye kinara wa Ufisadi kuanzia kwenye kuuzwa mashirika ya umma, Azimio la Zanzibar nk. Ana kiburi sana amekula pesa za walipa kodi bila kunawa mikono. Who the hell does he think he is? Alikuwa wapi wakati Slaa anakijenga chama, alikuwa wapi wakati Watanzania wanadhulumiwa from top to bottom na kina RA, JK, Che nkapa chenge etc, Yeye ndiyo Richmonduli mwenyewe, it will never happen.

Happy birthday to Le Prof ... .. .Ding ... Dong tukutane J1 Emirates.
 
Naomba nieleweke kuwa ni kweli pasipo shaka kabisa John Magufuli mgombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia CCM ana upeo mdogo sana wa kuchanganua mambo! Hajui kitu kinachoitwa kanuni za utawala bora!

Jana nimemsikia akisema eti yule mtu mwenye ghorofa aliyezuia bomba la maji lisipite angekuwa yeye ndiye mwenye mamlaka angemvunjia kwa nguvu! Huyu ndiye mtu anayepigiwa chapuo kuwa rais wa nchi!

Bomba unataka upitishe kwenye nyumba ya mtu kimabavu tu eti kwa kuwa una mamlaka? Nini maana ya mahakama? Hujui na wala huitambui hadhi ya mahakama? Ama kweli sasa naanza kuwaelewa Kikwete na Pinda kwanini walikuwa wanamzima hadharani! Huyu
mtu anaweza kusababisha taifa lenye migogoro mikubwa nje na ndani!

Juzi nilifanya mahojiano na waziri Fenela Mkangala kaniambia kuwa Magufuli alikuwa akipewa fedha kidogo za bajeti kwenye kikao cha mawaziri kulikuwa hakukaliki! Alitaka awe yeye kwanza na anadiriki kusema wizara ya fulani haina maana hizo hela nipeni mimi! Hata hivyo bado miradi mingi haina ubora, kwa nini?

Lipo jambo lingine la 'mahakama ya mafisadi' sijui ataipa tafsiri gani kwenye mfumo wa mahakama! Au anataka kuunda mahakama ya kijeshi? Maana lazima iwe ndani ya mfumo wa kimahakama. Yote tisa kwani mahakama zilizopo zimezidiwa mpaka kuanzishwa mahakama (sijui ya kijeshi? ) Magufuli hajui kuwa kabla ya kumfunga mtu kuna kesi? Hajui kuwa kuna kushinda na kushindwa mahakamani? Ukipeleka mtuhumiwa mahakamani then akashinda utashinikiza afungwe eti kwa kuwa ni lazima umfunge?

Kesi ni lazima iamuliwe na hukumu ikitoka imetoka unashinda au umeshindwa! Labda ukate rufaa!!

Akiwa Chato juzi nikamsikia akisema "nitakutia ndani" sijui alikuwa anamwambia nani? Unamtiaje mtu ndani hujampeleka mahakamani?

Kwa kweli kuwa na kiongozi anayekurupuka hovyohovyo kama Magufuli! Hapana!


Wewe ndiye Mr Zero?

Public interest, Magufuli amezungumza Kwa Uchungu sana Watu wanaugua wanakufa kwa Magonjwa ya Milipuko kisa Mpumbavu mmoja kwa kutumia Mahakama anazuia Mradi mkubwa kwa ajiri ya maslahi yake.

Kuhusu Mahakama ya Mafisadi imo kwenye llani ya CCM ni kazi ndogo sana nia ni kufanya Kesi ziishe haraka ktk kupambana na RUSHWA inayokula 30% ya Pato la Taifa.


Mgombea wako hawezi kupiga Vita RUSHWA Jana imedhihirika angoje Mahakama ya Magufuli.
 
10672036_746287978810237_3274281751880828886_n.jpg


Go Pombe go ..... ..... ... safi sana watakusikia tu kwenye bomba.
 
kumjadili magufuli ni sawa na kula mavi ya mbuzi kwa kudhania ni karanga
 
Kagame si mkurupukaji na mropokaji kama Pombe. Kagame anaheshimu fani zingine kama wanasheria. Kwa ujinga magufuli akikariri kifungu cha sheria kama anayokariri kms za barabara anadhani kamaliza pasipokujua kwamba vifungu vya sheria vina tafsiri.

sure anakalili pasipo kutafuta tafsiri sahihi ya vifungu mara nagp anajifanya anatekeleza sheria alafu mwisho wa cku anaumbuka mahakaman watu wanalipwa fidia! hafai hata kidogo kua rais
 
Naomba nieleweke kuwa ni kweli pasipo shaka kabisa John Magufuli mgombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia CCM ana upeo mdogo sana wa kuchanganua mambo! Hajui kitu kinachoitwa kanuni za utawala bora!

Jana nimemsikia akisema eti yule mtu mwenye ghorofa aliyezuia bomba la maji lisipite angekuwa yeye ndiye mwenye mamlaka angemvunjia kwa nguvu! Huyu ndiye mtu anayepigiwa chapuo kuwa rais wa nchi!

Bomba unataka upitishe kwenye nyumba ya mtu kimabavu tu eti kwa kuwa una mamlaka? Nini maana ya mahakama? Hujui na wala huitambui hadhi ya mahakama? Ama kweli sasa naanza kuwaelewa Kikwete na Pinda kwanini walikuwa wanamzima hadharani! Huyu
mtu anaweza kusababisha taifa lenye migogoro mikubwa nje na ndani!

Juzi nilifanya mahojiano na waziri Fenela Mkangala kaniambia kuwa Magufuli alikuwa akipewa fedha kidogo za bajeti kwenye kikao cha mawaziri kulikuwa hakukaliki! Alitaka awe yeye kwanza na anadiriki kusema wizara ya fulani haina maana hizo hela nipeni mimi! Hata hivyo bado miradi mingi haina ubora, kwa nini?

Lipo jambo lingine la 'mahakama ya mafisadi' sijui ataipa tafsiri gani kwenye mfumo wa mahakama! Au anataka kuunda mahakama ya kijeshi? Maana lazima iwe ndani ya mfumo wa kimahakama. Yote tisa kwani mahakama zilizopo zimezidiwa mpaka kuanzishwa mahakama (sijui ya kijeshi? ) Magufuli hajui kuwa kabla ya kumfunga mtu kuna kesi? Hajui kuwa kuna kushinda na kushindwa mahakamani? Ukipeleka mtuhumiwa mahakamani then akashinda utashinikiza afungwe eti kwa kuwa ni lazima umfunge?

Kesi ni lazima iamuliwe na hukumu ikitoka imetoka unashinda au umeshindwa! Labda ukate rufaa!!

Akiwa Chato juzi nikamsikia akisema "nitakutia ndani" sijui alikuwa anamwambia nani? Unamtiaje mtu ndani hujampeleka mahakamani?

Kwa kweli kuwa na kiongozi anayekurupuka hovyohovyo kama Magufuli! Hapana!

I share your sentiments G Sam!! Ndani ya nafsi yangu naiona Tanzania ikigeuka DICTATORSHIP chini ya uongozi wa Magufuli!!!
 
Ushabiki wa kitoto na uzi wa kitotio tukiacha upite bila kuukemea watadhai ni ukweli. Tuanze na uwezo wa darasani JPm na ENL nani mweupe kichwani? Utendaji kazi kwa idara walizozipitia JPM na ENL nani mweupe kiutendaji, usimamizi wa mali za Umma kati ya hao wawili nani mweupe?

Kama mvua ya kununua kutoka Thailand ni kipimo cha ufanisi chenye tija kwa manufaa ya nchi basi mpo sahihi. Si bora tumkumbuke na kumkabidhi nchi mzee wa Kiraracha aliyewabana majambazi wakatupa silaha barabarani, na wengine wakamfuata nyumbani kukmaliza ugomvi. Alipoona mambo hayaeleweki akagoma kuhusudu kitu kinaitwa"collecctive responsibility" akaanika hadhdarani asiyikubaliana nayo.

Mnayemwinua kwa mikono yenu kwa fedha alizotuibia tuonyesheni mojawapo ya maamuzi magumu yenye tija aliyoyaasisi na kuyasimamia. JPM barabara zote tunazoziita mbovu tangu awamu ya tatu kazisimamia yeye na wapo mawaziri waliopita wizara hiyio linganisheni kazi zao na za JPM.

ENL angekuwa na busara kubwa asingekuwa Mwenyekiti wa kamati ya ushindi ya JK ama asingeponda utendaji kaz wa JK.Mkiwa waongo mtapatanaje na wakweli? Nuru na giza havichangamani.
 
Fenella kasema ni kipeperete hamsikii kabisa hata Raisi yeye ni kushupaza shingo tuu hivi kila kitu ngoja niingie niwe raisi ngoja niingie niwe raisi atafanya kazi na nani kama kila mtu yeye kwake hafai
 
Wanaomshabikia Magufuli tarehe 25 shetani akimpitisha kuwa rais ndipo watakapouona ushetani wa Magufuli ulivyo.
 
Kiongozi asiye na busara wala hekima, mkurupukaji. Anayeamini katika mabavu na kujitukuza ni janga kwa taifa letu tusali, tulie na kuomboleza tusijekutwa na majuto makuu!
 
sure anakalili pasipo kutafuta tafsiri sahihi ya vifungu mara nagp anajifanya anatekeleza sheria alafu mwisho wa cku anaumbuka mahakaman watu wanalipwa fidia! hafai hata kidogo kua rais

Iko mifano mingi sana ambayo amebwagwa mahakamani kwa kutokufuata sheria. Mfano, sheria ya hifadhi ya barabara alikariri kifungu so and so cha mwaka ..... jaji akambwga chini na hata Mama Tibaijuka kalalamika kwamba ******** anambypass. Mfano mwingine ni ile meli ya Samaki-kwa makusudi hili pia haisemwi kwamba tunapaswa kulipa 9 billion kwa uzembe wa ******** kutowashirikisha wanasheria.
 
Back
Top Bottom