John Magufuli ni mweupe kwelikweli, sijui huo urais aliwaza nini kugombea!

Wewe nifah kazi unayoweza ni kupakaa mdomo hiyo rangi, vingine huviwezi. Diplomasia inataratibu zake. Kwa kuwa ni mgumu kuelewa jua tu, anayefaa yupo kwenye kazi ya kampeni mchague tr 25/10/ awe Rais wako wa Tanzania.

Anayefaa ni Lowassa pekee na ndiye rais wangu.
 
Una moyo. Ukisikiliza mkutano wa kampeni wa Magufuli Hadi mwisho unachafukwa roho. Yaani anaongea kama msanii anayejifunza kuigiza...yaani underground kabisa!

Dakika 5 za lowasa zinakitu? Anangojea back up ya wapambe, ataweza kujisimamia au ndiyo hayo ya kuulizana ndani ya jukwaaa? Magufuli bomba bwana, Lowasa kibonde tu.
 
Kiukweli ni bora Kikwete 'dhaifu' kuliko Magufuli mkurupukaji.
Huyu jamaa akipewa nchi hata mwezi mmoja tu atasababisha vita.
Tuchukulie mfano wa mgogoro wa ziwa Nyasa kati yetu na Malawi Magufuli ndio angekuwa rais ingekuwaje?
Tuache ushabiki,Magufuli hafai kuwa rais.

Akishinda huyu Pombe,watasema mara 1000 ya Baba Riz.
 
Hata Kagame nasikia ni dikteta ndio maana Rwanda leo wapo vizuri.

Jumapili ni Magufuli tu.

dikteta mkurupukaji ni sawa na idd amin sio Kagame, kagame hakurupuki hata siku moja wala huwezi kumkuta anapiga push up jukwaani bora mgonjwa kuliko mkurupukaji aliyekumbatia sera za usifadi, za omba omba na mikopo
Jumapili Lowasa ndio habari kamili
 
Kiukweli ni bora Kikwete 'dhaifu' kuliko Magufuli mkurupukaji.
Huyu jamaa akipewa nchi hata mwezi mmoja tu atasababisha vita.
Tuchukulie mfano wa mgogoro wa ziwa Nyasa kati yetu na Malawi Magufuli ndio angekuwa rais ingekuwaje?
Tuache ushabiki,Magufuli hafai kuwa rais.

kweli yule dhaifu nae ndokavuruga chama kwelikweli sasa hivi hakieleweki kabisa,kimekuwa kama genge la walevi kila mtu pale anaongea cha kwake sasa hivi huyo dhaifu anataka kulazimisha kumuweka bogus madarakani ,kama kweli kuna wazee wataifa hili walimkataa kikwete tukalazimisha !!ndio laana zenyewe hizi
 
Hata Kagame nasikia ni dikteta ndio maana Rwanda leo wapo vizuri.

Jumapili ni Magufuli tu.

Udikteta wa Kagame na Magufuli ni tofauti kabisa mkuu.

Udikteta wa Magufuri ni sawa na wa Idd Amin i,e unaongozwa na mihemko na mikrupuko wakati udikteta wa Kagame ni sawa na wa Hitler i,e una-focus kwenye maslahi mapana na makubwa.

Kagame afananishwe na Lowassa mzee wa maamuzi magumu yenye tija kwa jamii....sio mkuruoukaji Magufuri.
 
Huyu huyo mkurupukaji na mweupe kichwani ana nafuu kuliko JIZI LA MAJIZI FISADI Lowassa na ndiye Rais wako wa awamu ya tano.Mwambie Lawassa FEDHA HAINUNUI URAIS
 
Dakika 5 za lowasa zinakitu? Anangojea back up ya wapambe, ataweza kujisimamia au ndiyo hayo ya kuulizana ndani ya jukwaaa? Magufuli bomba bwana, Lowasa kibonde tu.

Kuna upu.mbafu mwingine umejengeka miongoni mwa jamii za kiafrika na hasa kusini mwa jangwa la sahara kuwa eti muongeaji na porojo nyingi ndio mtendaji mzuri-this is ridiculous.

Lowassa ni focused leader unlike Magufuri mpiga porojo zisizo na mashiko...kama kuongea ingekuwa ndio ubora mbona tungekuwa mbali sana maake wa.kwere ndio fani yao-lakn tumeishia kudharauliwa na akina Kagame na Mseven sababu ya kutofanya maamuzi dhabiti na kuishia kuchekacheka tu.
 
Naomba nieleweke kuwa ni kweli pasipo shaka kabisa John Magufuli mgombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia CCM ana upeo mdogo sana wa kuchanganua mambo! Hajui kitu kinachoitwa kanuni za utawala bora!

Jana nimemsikia akisema eti yule mtu mwenye ghorofa aliyezuia bomba la maji lisipite angekuwa yeye ndiye mwenye mamlaka angemvunjia kwa nguvu! Huyu ndiye mtu anayepigiwa chapuo kuwa rais wa nchi!

Bomba unataka upitishe kwenye nyumba ya mtu kimabavu tu eti kwa kuwa una mamlaka? Nini maana ya mahakama? Hujui na wala huitambui hadhi ya mahakama? Ama kweli sasa naanza kuwaelewa Kikwete na Pinda kwanini walikuwa wanamzima hadharani! Huyu
mtu anaweza kusababisha taifa lenye migogoro mikubwa nje na ndani!

Juzi nilifanya mahojiano na waziri Fenela Mkangala kaniambia kuwa Magufuli alikuwa akipewa fedha kidogo za bajeti kwenye kikao cha mawaziri kulikuwa hakukaliki! Alitaka awe yeye kwanza na anadiriki kusema wizara ya fulani haina maana hizo hela nipeni mimi! Hata hivyo bado miradi mingi haina ubora, kwa nini?

Lipo jambo lingine la 'mahakama ya mafisadi' sijui ataipa tafsiri gani kwenye mfumo wa mahakama! Au anataka kuunda mahakama ya kijeshi? Maana lazima iwe ndani ya mfumo wa kimahakama. Yote tisa kwani mahakama zilizopo zimezidiwa mpaka kuanzishwa mahakama (sijui ya kijeshi? ) Magufuli hajui kuwa kabla ya kumfunga mtu kuna kesi? Hajui kuwa kuna kushinda na kushindwa mahakamani? Ukipeleka mtuhumiwa mahakamani then akashinda utashinikiza afungwe eti kwa kuwa ni lazima umfunge?

Kesi ni lazima iamuliwe na hukumu ikitoka imetoka unashinda au umeshindwa! Labda ukate rufaa!!

Akiwa Chato juzi nikamsikia akisema "nitakutia ndani" sijui alikuwa anamwambia nani? Unamtiaje mtu ndani hujampeleka mahakamani?

Kwa kweli kuwa na kiongozi anayekurupuka hovyohovyo kama Magufuli! Hapana!
"Haki ya mungu watanikoma nikiwa Rais" - Magufuli akimzungumzia aliyeweka pingamizi mahakamani nyumba yake isivunjwe kupisha bomba kubwa la maji Dar es Salaam na jaji ambaye hajatoa hukumu!
 
10672036_746287978810237_3274281751880828886_n.jpg
 
Hata Kagame nasikia ni dikteta ndio maana Rwanda leo wapo vizuri.

Jumapili ni Magufuli tu.

hapa hatuzungumzii udikteta tunazungumzia maamuzi ya kukurupuka na yale ya kijinga yasiyo na kichwa wala miguu.
 
Hata Kagame nasikia ni dikteta ndio maana Rwanda leo wapo vizuri.

Jumapili ni Magufuli tu.

Tofautisha u dikteta na ukurupukaji, wale wa china sahv wanataka trilioni 1.3 ule ulikuwa u dikteta au kukurupuka?
 
Kiukweli ni bora Kikwete 'dhaifu' kuliko Magufuli mkurupukaji.
Huyu jamaa akipewa nchi hata mwezi mmoja tu atasababisha vita.
Tuchukulie mfano wa mgogoro wa ziwa Nyasa kati yetu na Malawi Magufuli ndio angekuwa rais ingekuwaje?
Tuache ushabiki,Magufuli hafai kuwa rais.

Unajua mwenyekiti kamati ya ulinzi alikuwa lowasa na alisha sema tupo tayari kiakili, vifaa kwa vita kama itabidi. nae anagombea vp mgogoro ukijirudia si atapigana kabisa

ila akitoa kauli iyo magufuri ingekuwa wimbo wa ukawa miaka yote
 
Back
Top Bottom