Medical Dictionary
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 1,060
- 309
Mbunge wa Maswa John Shibuda aliyekua CHADEMA amejiunga na Chama cha TADEA na kuwa katibu mkuu wa Chama hicho.
Chanzo: ITV Habari
Chanzo: ITV Habari
Aliekuwa Mbunge wa Chadema John Magale Shibuda amejiiunga na chama cha Tadea na kupewa cheo cha Katibu Mkuu Mtendaji.
N.B: Kwenye ile list ya Zitto ya Wabunge 50 watakao hamia ACT na Shibuda si alikuwepo,sasa imekuwaje hajaenda huko?