John M. Shibuda ahamia TADEA, awa Katibu Mkuu

John M. Shibuda ahamia TADEA, awa Katibu Mkuu

Medical Dictionary

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2012
Posts
1,060
Reaction score
309
Mbunge wa Maswa John Shibuda aliyekua CHADEMA amejiunga na Chama cha TADEA na kuwa katibu mkuu wa Chama hicho.

Chanzo: ITV Habari

Aliekuwa Mbunge wa Chadema John Magale Shibuda amejiiunga na chama cha Tadea na kupewa cheo cha Katibu Mkuu Mtendaji.

N.B: Kwenye ile list ya Zitto ya Wabunge 50 watakao hamia ACT na Shibuda si alikuwepo,sasa imekuwaje hajaenda huko?
 
Leo ITV imeripoti kuwa John Shibuda amekimbia rasmi Chadema na kuhamia TADEA na ameukwaa Ukatibu Mkuu

Chanzo: ITV
 
Mheshimiwa John Shibuda amejiengua CHADEMA na kujiunga na chama cha TADEA. Pia ameteuliwa kuwa Katibu mkuu wa TADEA. Source ITV
 
Mbunge wa Maswa, John Shibuda, amejiunga na chama cha TADEA na kupewa wadhifa wa Katibu Mkuu kiongozi wa chama hicho.

Chanzo:ITV
 
Aliekuwa Mbunge wa Chadema John Magale Shibuda amejiiunga na chama cha Tadea na kupewa cheo cha Katibu Mkuu Mtendaji.

N.B: Kwenye ile list ya Zitto ya Wabunge 50 watakao hamia ACT na Shibuda si alikuwepo,sasa imekuwaje hajaenda huko?
 
Aliekuwa Mbunge wa Chadema John Magale Shibuda amejiiunga na chama cha Tadea na kupewa cheo cha Katibu Mkuu Mtendaji.
N.B
Kwenye ile list ya Zitto ya Wabunge 50 watakao hamia ACT na Shibuda si alikuwepo,sasa imekuwaje hajaenda huko?

Pengine Zitto alimsoma tu hana uelekeo, it is just the matter of time! Ni kuwadi wa vyama siasa!
 
Safi sana mwache na yeye akasimie majukumu ya chama chake kipya ili ajue kuwajibika barabara!
 
sasa mbona kachelewa sana. ilikua ajiunge mapema ili aimarishe chama, au lengo lake si uchaguzi wa mwaka huu ?
 
Mbona nacheki ITV sijaona hiyo habari!
 
Mara hii kashakuwa katibu mkuu........kwa hiyo safari hii atagombea zanzibar?
 
Back
Top Bottom