"Katibu wetu wa kata kauawa mnaona ni sawa, Tundu Lissu kapigwa risasi mnaona ni sawa, watu wanaonewa mnaona ni sawa, na sisi wengine tuko kwenye listi ya kuumizwa".
"Sisi wengine tumeziambia familia zetu, kwamba tukiuawa, hata kama ni miaka kumi, watu waliotufanyia unyama, familia zao lazima ziwajibike. Hili lazima likae kwenye rekodi". John Heche.
"Sisi wengine tumeziambia familia zetu, kwamba tukiuawa, hata kama ni miaka kumi, watu waliotufanyia unyama, familia zao lazima ziwajibike. Hili lazima likae kwenye rekodi". John Heche.
