Chief Isike
JF-Expert Member
- Jan 17, 2010
- 445
- 462
Mpiganaji ndugu John Heche, M/kiti wa BAVICHA atakuwa kwenye kipindi Mlimani TV hapo saa 2.30 mpaka saa 3.30 usiku huu wa leo. Atakuwa akijadili KEKI YA TAIFA. Naomba kuwasilisha wakuu.
anasema live kwwa ni ni polisi wanaua raia?