Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,230
- 10,201
Nimekuwa nikimfuatilia sana John Heche, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa.
Ni wazi uzalendo wa John Heche kwa hii nchi ni zaidi ya Rais wa Burkinafaso Ibrahim Traoré.
Kwa Maoni yangu John Heche ndio anafaa kuwa Raisi wa hii nchi.
Namtabiria Makubwa sana John Heche
Ni wazi uzalendo wa John Heche kwa hii nchi ni zaidi ya Rais wa Burkinafaso Ibrahim Traoré.
Kwa Maoni yangu John Heche ndio anafaa kuwa Raisi wa hii nchi.
Namtabiria Makubwa sana John Heche