John Heche na kamati za bunge

John Heche na kamati za bunge

Wafanye kazi mbwembwe zingine waziache....kuna nini hadi watake wawekwe kwene kamati fulani?

Hafu inakuwaje Zitto anajadiliwa hivo? Jamani, si watu mmwache..mangapi cdm wanafanya hatusemi? Teuzi ngapi hususani viti maalumu zinakwenda kwa nepotism hatusemi? Kwani unadhani wengi wanafurahia teuzi hizo zinavofanywa?

Na mbona Zzk yy halalamiki? Hafu hofu gani dhidi yake huku yuko na chama chake? Chama chake kinashabihiana vipi na cdm? Mmmmmm, wajenge nchi....si vyama vyao......waanze kulalamika kwanza posho zipunguzwe tuone km kweli wazalendo hao, pia mishahara waombe ipunguzwe...tuone kama wako tayari
 
Ritz anahanyahanya kwel mzee ulikwepa sana kodi ni wakati wako kuumia prince haaaa chezea ngosha ww
 
Leo imekula maharage ya wapi???Wamasahau nyakati hi ni za HAPAKATU siyo zile za Maisha Bora kwa kila Mtanzania mwenye undugu na Mwenyekiti.

Hongera Ritz ila Wanachama wenzako watakuponda mawe??
hii ni kauli ya heche yeye amenukuu tu
 
Ritz anahanyahanya kwel mzee ulikwepa sana kodi ni wakati wako kuumia prince haaaa chezea ngosha ww
mkuu sitaki kuamini kama unaakili ndogo kiasi hiki......Hivi umeusoma uzi wote naukauelewa?
 
Heche anachekesha sana maana wabunge wote wanahadhi sawa na kamati za bunge zinahadhi sawa hakuna bora kuliko nyingine aache kelele.
 
Wafanyeje na mpangaji wa kamati ni Ndugai ?
Kama zzt alikuwa anajuwa kazi yake mbona serikali ilikuwa haipati ushuru? na makontena kibao yalikuwa yanapitaje bila hata kujulikana? ndo maana zzt ana utajiri usio lingana na mshahara wake
 
Mkuki kwa Nguruwe kwa binadamu ni......?.

Hawa sindio waliokuwa hawataki Zzk apangwe kamati hizo wanazozililia wao?
...
Kwa sababu huyo ZZK haesabiki ktk kundi la wapinzani, so wanapinga kujaza maCCM na kampani zao kwenye kamati nyeti
 
Heche anachekesha sana maana wabunge wote wanahadhi sawa na kamati za bunge zinahadhi sawa hakuna bora kuliko nyingine aache kelele.
Huwezi kujaribu kufikiria independently bila ku.quote statement ya ZZK?
 
Kama Bado mnasubiri mabadiliko na ccm mtangoja saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana! Kinachofanyika ni Funika kombe mwanaharamu apite!
 
Spika mwenyewe hakua na sifa ya kuwa na spika, bali ni ufisiemu tuu ndio umembeba, hata ubunge kupata ametumia nguvu.
 
Chamsingi kujenga hoja hata wao wakiwa 100 ukawa wakiwa 10 sio mbaya kikubwa kila kamati ukawa wawepo ili kujua uozo humo ndani na kuanika hazalani nina imani na wabunge wa ukawa wote twende kazi
 
Mkuki kwa Nguruwe kwa binadamu ni......?.

Hawa sindio waliokuwa hawataki Zzk apangwe kamati hizo wanazozililia wao?.

Kati ya wabunge hao wanao wakubali wao kuna hata mmoja wao anafikia angarau nusu ya Zzk.

Wabunge ilipaswa wapangwe kwenye kamati kulingana na taaruma zao,lakini wahenga wanasema vita ya panzi furaha ya .......?.

Kwa mwendo huu wa upinzani njaa uliopo Tz ccm itatutawala tena miaka 50 ijayo kama wapinzani hawatobadilika.Waache kutanguliza maslahi ya vvyama mbele badala yake watangulize taifa kwanza.
Nieleweshe, HAWA ndio kina NANI? Mleta uzi ni mfuasi wa ccm na kaweka kichwa cha habari kikimtaja Heche wa kule NEMC kwahiyo HAO uliosema walitaka zzk atoke ndio hawa hawa kina riz 1 au Heche? Sijaelewa kabisa.
 
Heche kachanganyikiwa tu,hao wabunge wa ukawa wapo robo ya bunge ukiwajaza katika kamati mbili tu kamati zingine zitakosa wabunge wa upinzani.
Think reasonably. Pamoja na uchache wao, kwa nini ukawajaze kwenye kamati ya Ukimwi badala ya PAC na LAAC ambazo ni kamati zinazoongozwa na wapinzani?
 
Wakati PAC yupo Zitto na Deo Upinzani walikua wangapi na CCM wangapi tuanzie hapo
 
Back
Top Bottom