Tatizo lako ni kumfanya ZZK mungu wako. Kwako wewe ZZK ni super Genius! Hizo tunaziita ni Akili za Kilaza aliyeshindikana. Hauamini nje ya ZZK, ume delegate kichwa chako kwake,tutegemee nini? Una maana gani kuwa hakuna wa kumfikia hata robo ZZK? Kwenye USALITI,UONGO NA UZANDIKI SAWA,HAKUNA WA KUMFIKIA, ila ZZK ni Binadamu mwenye upeo wa Kawaida tu. Kwa mujibu wa Parliamentary Watch, ni Mnyika na Lisu walioongoza kwa Hoja NYINGI ZENYE MANUFAA KWA TAIFA. Hawa ndio waliotisha Bungeni kwa michango yao na kuitendea wema nafasi yao bungeni. Kingine, Zzk na nyie wafuasi wake, msiwanyooshee vidole UKAWA kwa ZZK kuondolewa PAC, hilo analijua tangu siku ile Tulia Ackson alipochaguliwa kuwa Naibu Speaker. Ajiandae kukabiliana nae au kumkimbia.Mkuki kwa Nguruwe kwa binadamu ni......?.
Hawa sindio waliokuwa hawataki Zzk apangwe kamati hizo wanazozililia wao?.
Kati ya wabunge hao wanao wakubali wao kuna hata mmoja wao anafikia angarau nusu ya Zzk.
Wabunge ilipaswa wapangwe kwenye kamati kulingana na taaruma zao,lakini wahenga wanasema vita ya panzi furaha ya .......?.
Kwa mwendo huu wa upinzani njaa uliopo Tz ccm itatutawala tena miaka 50 ijayo kama wapinzani hawatobadilika.Waache kutanguliza maslahi ya vvyama mbele badala yake watangulize taifa kwanza.
Ritz kwa mara ya kwanza leo umeongea ukweli bila kupendelea, hongera mkuuWanaukumbi.
Upangaji wa kamati za bunge umelenga kufanya bunge kuwa chombo kinachosimamiwa na serikali badala ya bunge kuisimamia serikali. kamati ya PAC ambayo kanuni inasema itaongozwa na upinzani wamewekwa ukawa 6 ccm 17 kamati ya Ukimwi ukawa 11 ccm 12, ukiangalia kamati ya LAAC ambayo ni kamati ya hesabu za serikali za mitaa ccm 16 ukawa 6 itakumbukwa pia kwa mujibu wa kanuni kamati hii inaongzwa na upinzani. Hivyo hivyo kwenye kamati ya bajeti na kwingine, wabunge wengi wenye uzoefu na uwezo wameondolewa kwenye kamati ambazo wangepangwa wangesaidia nchi. Kama wewe ni msafi na unataka nchi iende mbele kwa kauli zako za HAPA KAZI TU kwanini unataka kunyamazisha bunge ambacho ni chombo cha wananchi! Kuna mambo mengi sana yanataka kufichwa hapa. Ikumbukwe pia kwamba mambo mengi ya bunge yanaishia kwenye kamati yanayooneka kwenye Bunge la wazi ni kidogo sana.
Serikali hii sasa ishakuwa ya hovyo kabisa kwa kuwafunga mdomo wakosoaji wakeMmemkumbuka yule bibi wa mfupa hauna ulimi eeh?
Very true!Kwani wengine si wabunge?? Au ndo waliopatikana kwa magumashi.
Siku nyingine hamatapeleka majina kwa upendeleo.
Heche kachanganyikiwa tu,hao wabunge wa ukawa wapo robo ya bunge ukiwajaza katika kamati mbili tu kamati zingine zitakosa wabunge wa upinzani.Wanaukumbi.
Upangaji wa kamati za bunge umelenga kufanya bunge kuwa chombo kinachosimamiwa na serikali badala ya bunge kuisimamia serikali. kamati ya PAC ambayo kanuni inasema itaongozwa na upinzani wamewekwa ukawa 6 ccm 17 kamati ya Ukimwi ukawa 11 ccm 12, ukiangalia kamati ya LAAC ambayo ni kamati ya hesabu za serikali za mitaa ccm 16 ukawa 6 itakumbukwa pia kwa mujibu wa kanuni kamati hii inaongzwa na upinzani. Hivyo hivyo kwenye kamati ya bajeti na kwingine, wabunge wengi wenye uzoefu na uwezo wameondolewa kwenye kamati ambazo wangepangwa wangesaidia nchi. Kama wewe ni msafi na unataka nchi iende mbele kwa kauli zako za HAPA KAZI TU kwanini unataka kunyamazisha bunge ambacho ni chombo cha wananchi! Kuna mambo mengi sana yanataka kufichwa hapa. Ikumbukwe pia kwamba mambo mengi ya bunge yanaishia kwenye kamati yanayooneka kwenye Bunge la wazi ni kidogo sana.
Ndivyo mnavyotaka kuwaaminisha watu kuwa walioteuliwa ni vilaza, thats so Pathetic! Jifunze kwenye game kila mchezaji kuna mahali anapo fit. Unapomweka Rooney golini tegemea mvua ya magoli. The same na unapomweka De Gea Foward, tegemea ukame wa magoli! Unapomweka Mlata Martha kwenye Kamati ya Nishati na Madini na kumfanya M/kiti wa kamati hiyo unakuwa umeitendea Haki Kamati husika? Unapomtupa Zzk kwenye Kamati ya Huduma za jamii,je, si kumpoteza? Lazima tukubali ni vema zile Kamati zitakazoongozwa na Wapinzani wakapendekeza squad yao wenyewe ili kila mchezaji acheze nafasi yake. Kamati zote za Bunge zimepangwa strategically,Bunge hili litashindwa mapema sana katika kuisimamia serikali. Huo ndo ukweli. Kingine, mapovu yamekutoka wewe,ukweli mchungu, ni Ukilaza ku delegate kichwa chako kwa ZZK! Jiamini, unaweza kuwa na akili zaidi ya ZZK!Umemwaga povu na pumba tupu,hapo katika vigezo anavyozungumzia Heche wewe unaona Zitto hakidhi.By the way wabunge wote waache kulalamika kila mtu afanye kazi kulingana na kamati aliyopangwa.Kama viongozi wanaona wameopangwa katika hizo kamati wanazoona zina umuhimu hawana uwezo nazo,basi wakulaumiwa ni wao kwa kuteua wagombee vilaza.
Wanaukumbi.
...kwenye kamati ya bajeti na kwingine, wabunge wengi wenye uzoefu na uwezo wameondolewa kwenye kamati ambazo wangepangwa wangesaidia nchi. Kama wewe ni msafi na unataka nchi iende mbele kwa kauli zako za HAPA KAZI TU kwanini unataka kunyamazisha bunge ambacho ni chombo cha wananchi! Kuna mambo mengi sana yanataka kufichwa hapa.
Hivi zito ni nani kwako labda tuanzie hapo make wewe bila zito haupo.Mkuki kwa Nguruwe kwa binadamu ni......?.
Hawa sindio waliokuwa hawataki Zzk apangwe kamati hizo wanazozililia wao?.
Kati ya wabunge hao wanao wakubali wao kuna hata mmoja wao anafikia angarau nusu ya Zzk.
Wabunge ilipaswa wapangwe kwenye kamati kulingana na taaruma zao,lakini wahenga wanasema vita ya panzi furaha ya .......?.
Kwa mwendo huu wa upinzani njaa uliopo Tz ccm itatutawala tena miaka 50 ijayo kama wapinzani hawatobadilika.Waache kutanguliza maslahi ya vvyama mbele badala yake watangulize taifa kwanza.
kaka acha kujitawala kwa dhana. Ivi umeambiwa nani kawapanga hao wabunge kwenye kamati? Cdm hamuwakubali cuf? Maana PAC yupo mbunge wa tanga mjini binafsi namkubali. Mbona mnalia lia. Wewe ulitaka nani awepo pale. Sikubaliani na hizo fikra potofu za kila muda kuwaza -veWanaukumbi.
John Heche,
Upangaji wa kamati za bunge umelenga kufanya bunge kuwa chombo kinachosimamiwa na serikali badala ya bunge kuisimamia serikali. kamati ya PAC ambayo kanuni inasema itaongozwa na upinzani wamewekwa ukawa 6 ccm 17 kamati ya Ukimwi ukawa 11 ccm 12, ukiangalia kamati ya LAAC ambayo ni kamati ya hesabu za serikali za mitaa ccm 16 ukawa 6 itakumbukwa pia kwa mujibu wa kanuni kamati hii inaongzwa na upinzani. Hivyo hivyo kwenye kamati ya bajeti na kwingine, wabunge wengi wenye uzoefu na uwezo wameondolewa kwenye kamati ambazo wangepangwa wangesaidia nchi. Kama wewe ni msafi na unataka nchi iende mbele kwa kauli zako za HAPA KAZI TU kwanini unataka kunyamazisha bunge ambacho ni chombo cha wananchi! Kuna mambo mengi sana yanataka kufichwa hapa. Ikumbukwe pia kwamba mambo mengi ya bunge yanaishia kwenye kamati yanayooneka kwenye Bunge la wazi ni kidogo sana.
Mkuu hayo maneno siyo yangu pitia uzi upya kwa makini ni kauli ya John Heche wa Chadema kaandika hayo kweny ukurasa wake wa Facebook na mitandao mingine.kaka acha kujitawala kwa dhana. Ivi umeambiwa nani kawapanga hao wabunge kwenye kamati? Cdm hamuwakubali cuf? Maana PAC yupo mbunge wa tanga mjini binafsi namkubali. Mbona mnalia lia. Wewe ulitaka nani awepo pale. Sikubaliani na hizo fikra potofu za kila muda kuwaza -ve