John Heche na kamati za bunge

John Heche na kamati za bunge

Mkuki kwa Nguruwe kwa binadamu ni......?.

Hawa sindio waliokuwa hawataki Zzk apangwe kamati hizo wanazozililia wao?.

Kati ya wabunge hao wanao wakubali wao kuna hata mmoja wao anafikia angarau nusu ya Zzk.

Wabunge ilipaswa wapangwe kwenye kamati kulingana na taaruma zao,lakini wahenga wanasema vita ya panzi furaha ya .......?.

Kwa mwendo huu wa upinzani njaa uliopo Tz ccm itatutawala tena miaka 50 ijayo kama wapinzani hawatobadilika.Waache kutanguliza maslahi ya vvyama mbele badala yake watangulize taifa kwanza.
Tatizo lako ni kumfanya ZZK mungu wako. Kwako wewe ZZK ni super Genius! Hizo tunaziita ni Akili za Kilaza aliyeshindikana. Hauamini nje ya ZZK, ume delegate kichwa chako kwake,tutegemee nini? Una maana gani kuwa hakuna wa kumfikia hata robo ZZK? Kwenye USALITI,UONGO NA UZANDIKI SAWA,HAKUNA WA KUMFIKIA, ila ZZK ni Binadamu mwenye upeo wa Kawaida tu. Kwa mujibu wa Parliamentary Watch, ni Mnyika na Lisu walioongoza kwa Hoja NYINGI ZENYE MANUFAA KWA TAIFA. Hawa ndio waliotisha Bungeni kwa michango yao na kuitendea wema nafasi yao bungeni. Kingine, Zzk na nyie wafuasi wake, msiwanyooshee vidole UKAWA kwa ZZK kuondolewa PAC, hilo analijua tangu siku ile Tulia Ackson alipochaguliwa kuwa Naibu Speaker. Ajiandae kukabiliana nae au kumkimbia.
 
Wanaukumbi.

Upangaji wa kamati za bunge umelenga kufanya bunge kuwa chombo kinachosimamiwa na serikali badala ya bunge kuisimamia serikali. kamati ya PAC ambayo kanuni inasema itaongozwa na upinzani wamewekwa ukawa 6 ccm 17 kamati ya Ukimwi ukawa 11 ccm 12, ukiangalia kamati ya LAAC ambayo ni kamati ya hesabu za serikali za mitaa ccm 16 ukawa 6 itakumbukwa pia kwa mujibu wa kanuni kamati hii inaongzwa na upinzani. Hivyo hivyo kwenye kamati ya bajeti na kwingine, wabunge wengi wenye uzoefu na uwezo wameondolewa kwenye kamati ambazo wangepangwa wangesaidia nchi. Kama wewe ni msafi na unataka nchi iende mbele kwa kauli zako za HAPA KAZI TU kwanini unataka kunyamazisha bunge ambacho ni chombo cha wananchi! Kuna mambo mengi sana yanataka kufichwa hapa. Ikumbukwe pia kwamba mambo mengi ya bunge yanaishia kwenye kamati yanayooneka kwenye Bunge la wazi ni kidogo sana.
Ritz kwa mara ya kwanza leo umeongea ukweli bila kupendelea, hongera mkuu
 
Hajapanga Ndugai....alikuwa India kwa matibabu na hali yake sasa imeimarika...lakini tujuwe yote ni ya ALLAH.Haitazidi wala kupungua sekunde muda ukifika.
 
Hivi kumbe kunawabunge wengine ni bora zaidi ya wengine na lazima wajioangie wanapotaka wao
 
Wanaukumbi.

Upangaji wa kamati za bunge umelenga kufanya bunge kuwa chombo kinachosimamiwa na serikali badala ya bunge kuisimamia serikali. kamati ya PAC ambayo kanuni inasema itaongozwa na upinzani wamewekwa ukawa 6 ccm 17 kamati ya Ukimwi ukawa 11 ccm 12, ukiangalia kamati ya LAAC ambayo ni kamati ya hesabu za serikali za mitaa ccm 16 ukawa 6 itakumbukwa pia kwa mujibu wa kanuni kamati hii inaongzwa na upinzani. Hivyo hivyo kwenye kamati ya bajeti na kwingine, wabunge wengi wenye uzoefu na uwezo wameondolewa kwenye kamati ambazo wangepangwa wangesaidia nchi. Kama wewe ni msafi na unataka nchi iende mbele kwa kauli zako za HAPA KAZI TU kwanini unataka kunyamazisha bunge ambacho ni chombo cha wananchi! Kuna mambo mengi sana yanataka kufichwa hapa. Ikumbukwe pia kwamba mambo mengi ya bunge yanaishia kwenye kamati yanayooneka kwenye Bunge la wazi ni kidogo sana.
Heche kachanganyikiwa tu,hao wabunge wa ukawa wapo robo ya bunge ukiwajaza katika kamati mbili tu kamati zingine zitakosa wabunge wa upinzani.
 
Haya ndio matokeo ya kubadili gia angani. Unatoka kwenye gia kubwa ya kukuwezesha kulitawala bunge unaenda kwenye gia ndogo ya kuingia ikulu wakati njia unayopita inakutaka ulitawale bunge kwanza.

Sasa umekosa vyote unabaki kulalamika. Shame on you Ukawa
 
Umemwaga povu na pumba tupu,hapo katika vigezo anavyozungumzia Heche wewe unaona Zitto hakidhi.By the way wabunge wote waache kulalamika kila mtu afanye kazi kulingana na kamati aliyopangwa.Kama viongozi wanaona wameopangwa katika hizo kamati wanazoona zina umuhimu hawana uwezo nazo,basi wakulaumiwa ni wao kwa kuteua wagombee vilaza.
Ndivyo mnavyotaka kuwaaminisha watu kuwa walioteuliwa ni vilaza, thats so Pathetic! Jifunze kwenye game kila mchezaji kuna mahali anapo fit. Unapomweka Rooney golini tegemea mvua ya magoli. The same na unapomweka De Gea Foward, tegemea ukame wa magoli! Unapomweka Mlata Martha kwenye Kamati ya Nishati na Madini na kumfanya M/kiti wa kamati hiyo unakuwa umeitendea Haki Kamati husika? Unapomtupa Zzk kwenye Kamati ya Huduma za jamii,je, si kumpoteza? Lazima tukubali ni vema zile Kamati zitakazoongozwa na Wapinzani wakapendekeza squad yao wenyewe ili kila mchezaji acheze nafasi yake. Kamati zote za Bunge zimepangwa strategically,Bunge hili litashindwa mapema sana katika kuisimamia serikali. Huo ndo ukweli. Kingine, mapovu yamekutoka wewe,ukweli mchungu, ni Ukilaza ku delegate kichwa chako kwa ZZK! Jiamini, unaweza kuwa na akili zaidi ya ZZK!
 
Wanaukumbi.

...kwenye kamati ya bajeti na kwingine, wabunge wengi wenye uzoefu na uwezo wameondolewa kwenye kamati ambazo wangepangwa wangesaidia nchi. Kama wewe ni msafi na unataka nchi iende mbele kwa kauli zako za HAPA KAZI TU kwanini unataka kunyamazisha bunge ambacho ni chombo cha wananchi! Kuna mambo mengi sana yanataka kufichwa hapa.

Hivi si hao CHADEMA walikuwa wanajitapa kuwa mbunge mmoja wa CHADEMA ni sawa na wabunge 100 wa CCM? Sasa haya malalamiko ya Heche yanatoka wapi?
 
Ukimtoa Jecha ,Lubuva,Ndugai ni mtu anaefuata kwa kumchukia.Kama wanajua magufuli na serikali yake ni watu wasafi,kwanini wanapanga kumlinda hivyo?Lakini kwa vichwa vilivyoingia bungeni wanapoteza muda tu.Nina tabiri katika uongozi wa Ndugai atafanya kila kinachowezekana bunge lisionyeshwe live.Subirini mtaona.....!
 
Mkuki kwa Nguruwe kwa binadamu ni......?.

Hawa sindio waliokuwa hawataki Zzk apangwe kamati hizo wanazozililia wao?.

Kati ya wabunge hao wanao wakubali wao kuna hata mmoja wao anafikia angarau nusu ya Zzk.

Wabunge ilipaswa wapangwe kwenye kamati kulingana na taaruma zao,lakini wahenga wanasema vita ya panzi furaha ya .......?.

Kwa mwendo huu wa upinzani njaa uliopo Tz ccm itatutawala tena miaka 50 ijayo kama wapinzani hawatobadilika.Waache kutanguliza maslahi ya vvyama mbele badala yake watangulize taifa kwanza.
Hivi zito ni nani kwako labda tuanzie hapo make wewe bila zito haupo.
 
Huu upangaji wa kamati hata vijana wa Lumumba umewachanganya hawataki tu kusema.
 
Wanaukumbi.

John Heche,

Upangaji wa kamati za bunge umelenga kufanya bunge kuwa chombo kinachosimamiwa na serikali badala ya bunge kuisimamia serikali. kamati ya PAC ambayo kanuni inasema itaongozwa na upinzani wamewekwa ukawa 6 ccm 17 kamati ya Ukimwi ukawa 11 ccm 12, ukiangalia kamati ya LAAC ambayo ni kamati ya hesabu za serikali za mitaa ccm 16 ukawa 6 itakumbukwa pia kwa mujibu wa kanuni kamati hii inaongzwa na upinzani. Hivyo hivyo kwenye kamati ya bajeti na kwingine, wabunge wengi wenye uzoefu na uwezo wameondolewa kwenye kamati ambazo wangepangwa wangesaidia nchi. Kama wewe ni msafi na unataka nchi iende mbele kwa kauli zako za HAPA KAZI TU kwanini unataka kunyamazisha bunge ambacho ni chombo cha wananchi! Kuna mambo mengi sana yanataka kufichwa hapa. Ikumbukwe pia kwamba mambo mengi ya bunge yanaishia kwenye kamati yanayooneka kwenye Bunge la wazi ni kidogo sana.
kaka acha kujitawala kwa dhana. Ivi umeambiwa nani kawapanga hao wabunge kwenye kamati? Cdm hamuwakubali cuf? Maana PAC yupo mbunge wa tanga mjini binafsi namkubali. Mbona mnalia lia. Wewe ulitaka nani awepo pale. Sikubaliani na hizo fikra potofu za kila muda kuwaza -ve
 
kaka acha kujitawala kwa dhana. Ivi umeambiwa nani kawapanga hao wabunge kwenye kamati? Cdm hamuwakubali cuf? Maana PAC yupo mbunge wa tanga mjini binafsi namkubali. Mbona mnalia lia. Wewe ulitaka nani awepo pale. Sikubaliani na hizo fikra potofu za kila muda kuwaza -ve
Mkuu hayo maneno siyo yangu pitia uzi upya kwa makini ni kauli ya John Heche wa Chadema kaandika hayo kweny ukurasa wake wa Facebook na mitandao mingine.
 
Ndugai. Nimempa 5. The way alivyopanga. Hataki bunge lenye mihemko bali lenye utulivu na uwakilishi mzuri wa hoja zenye kulenga taifa sio masuala ya kijinga ya kuwa kichama
 
Badala ya kuendelea kulalama na kujiaminisha kuwa kazi itakuwa ngumu, wabunge wajipange kwa kufuatilia mambo, kutafiti na kutumia uwakilishi wao kusimamia serikalimndani ya Bunge. Kamati ni ngazi kuelekea kwenye forum halisi * Bunge* Waache hofu wajipange kuleta matokeo yanayotazamiwa.
 
Spika ana mamlaka ya kupanga vile anavyoona inafaa bila kuwashirikisha akina heche. Wao watulie. Rais wetu mpendwa yupo kizalendo zaidi na sio kichama. Kama wana mambo ya ku raise ya kitafaifa yatafanyiwa kazi ila wawasilishe kwa heshima na si mihemko ya kijinga jinga ya kutaka sifa za kimakundi. Watanzania tunataka maendeleo na sio vyama vyao. Kama anauchungu huyo heche aanze kuikataa posho kubwa anayochukua. Ivi haona kama anatunyonya sie wananchi walalahoi? Kana akina heche wote nchini wapo kitaifa na si matumbo yao basi walitangazie taifa kuachana na posho na STNG allowance
 
Back
Top Bottom