John Heche na Ester Matiko kuvunja kanuni za uchaguzi Tarime.

John Heche na Ester Matiko kuvunja kanuni za uchaguzi Tarime.

kurya

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2011
Posts
510
Reaction score
84
Ndugu wanachadema wenye mapenzi mema na chama chetu,katka hari ya kuskitisha Mh.Ester Matiko ambaye ni mbunge wa viti maalumu Mara na mwenyekiti wa vijana taifa ndg John Heche wamefika tarime tangu tarehe 9/8/2014.

Waheshimiwa hao ambao wanna maslahi na uchaguzi wa tarime wameanza kupigia simu baadhi ya viongozi wa kata ambao ni wapiga kura wakiwapatia maelekezo ya kuhakikisha ya kwamba tarehe 11/8/2014 wajumbe wa mkutano mkuu watafatwa na magari yao ambayo wameyandaa na watapelekwa mahala maalumu kuhifadhiwa(kufichwa)hadi tarehe ya uchaguzi kwa Marengo ya kuhakikisha wajumbe hao wanapiga kura kwa malekezo watakayopewa na wafadhiri wa mpango huo ambao ni Ester Matiko na John heche.

Wanachama tunasema kitendo hicho ni cha kihuni na cha kifsadi kwani tumeshuhudia kampeni zinavyofanyika na kwa kuvunja kanuni za chama kwa wafuasi wa Heche kupitapita kila kata na kutoa fedha kwa wajumbe na ahadi nyingi ili kuhakikisha wagombea wote wasio na maslahi yake kwenye uchaguzi ujao wa ubunge wanatupiliwa mbali.

kitendo hiki cha kuficha wajumbe na kuwapa rushwa ni kitendo kichafu sana ambacho tumekua tukikishuhudia kwenye chaguzi za ccm tofauti na vyama vingine.kuna tetesi kwamba uchaguzi unaweza kuvurugika kama utaratibu wa kusomba wajumbe na kuwapatia rushwa utafanyika.

Tunaomba viongoz wa kitaifa wanaohuska na uchaguzi watambue ya kwamba uchaguzi huu wa tarime ni zaidi ya chaguzi kwani unatawaliwa na visasi ghiriba na hira za kila aina.
 
Chaguzi nyingi za Chadema zinakuwa zimejaa rushwa nakumbuka uchaguzi wa Bavicha Taifa rushwa zilitawala sana watu wanatoa rushwa kupitia TIGOPESA na M-Pesa.
 
Ester na Heche ni kambi moja?
 
Heche hawezi kuvunja kanuni acheni uwoga wa kipumbavu. Heche ni jembe na anaungwa mkono kila kona
 
Heche hana akili hata busara za kawaida tu kakosa wala hajitambui anachofanya yeye huona sawa tu.
 
Chaguzi nyingi za Chadema zinakuwa zimejaa rushwa nakumbuka uchaguzi wa Bavicha Taifa rushwa zilitawala sana watu wanatoa rushwa kupitia TIGOPESA na M-Pesa.

kule upande wa pili nako huwa zipo tena za kule za kwenye Baasha za kaki tena za kiharamu na za wizi.
 
Ndiyo. wote ni team chadema ndiyo maana maccm yanahangaika na chaguzi za chadema
Sasa wewe Chadema yako Arusha tu kamanda nenda basi na sehemu zingine.
 
kule upande wa pili nako huwa zipo tena za kule za kwenye Baasha za kaki tena za kiharamu na za wizi.
Kwa sababu upande wa pili unafanya basi na nyie sawa kufanya?
 
Wote chadema chumbani mmoja hadi anamtoto wa namba mbili katika wale wenye hati miliki kwenye chama.
Daa!! Nilikuwa sifahamu bahati nzuri huyu binti namfahamu vizuri pale alipokuwa Mlimani anafundisha kumbe wadau walijiweka.
 
Ndugu wanachadema wenye mapenzi mema na chama chetu,katka hari ya kuskitisha Mh.Ester Matiko ambaye ni mbunge wa viti maalumu Mara na mwenyekiti wa vijana taifa ndg John Heche wamefika tarime tangu tarehe 9/8/2014.

Waheshimiwa hao ambao wanna maslahi na uchaguzi wa tarime wameanza kupigia simu baadhi ya viongozi wa kata ambao ni wapiga kura wakiwapatia maelekezo ya kuhakikisha ya kwamba tarehe 11/8/2014 wajumbe wa mkutano mkuu watafatwa na magari yao ambayo wameyandaa na watapelekwa mahala maalumu kuhifadhiwa(kufichwa)hadi tarehe ya uchaguzi kwa Marengo ya kuhakikisha wajumbe hao wanapiga kura kwa malekezo watakayopewa na wafadhiri wa mpango huo ambao ni Ester Matiko na John heche.

Wanachama tunasema kitendo hicho ni cha kihuni na cha kifsadi kwani tumeshuhudia kampeni zinavyofanyika na kwa kuvunja kanuni za chama kwa wafuasi wa Heche kupitapita kila kata na kutoa fedha kwa wajumbe na ahadi nyingi ili kuhakikisha wagombea wote wasio na maslahi yake kwenye uchaguzi ujao wa ubunge wanatupiliwa mbali.

kitendo hiki cha kuficha wajumbe na kuwapa rushwa ni kitendo kichafu sana ambacho tumekua tukikishuhudia kwenye chaguzi za ccm tofauti na vyama vingine.kuna tetesi kwamba uchaguzi unaweza kuvurugika kama utaratibu wa kusomba wajumbe na kuwapatia rushwa utafanyika.

Tunaomba viongoz wa kitaifa wanaohuska na uchaguzi watambue ya kwamba uchaguzi huu wa tarime ni zaidi ya chaguzi kwani unatawaliwa na visasi ghiriba na hira za kila aina.

siyo mahali pakupeleka malalamiko yako JF kama unaushaidi tuwasiliane
 
Mleta uzi wewe ni mwongo na mnaf*iki mkubwa ambaye una malengo ya kumpaka matope kamanda heche!
-hivi heche alishindwa kutoa rushwa wakati wa kugombea uenyekiti bavicha taifa,eti sasa ndio aje atoe huko?
Huna maana kabisa hata kama ni kamanda mwenzangu naomba ujiheshimu na usimchafue mtu eti tu kwakuwa ni mshindani wa mlengo tofauti na wewe,maana kwa tumjuao heche hizo zako ni ngonjera tu .
 
Huwa napenda kusisitiza zinapozuka tuhuma kwa Chadema hasa zinazogusa viongozi ni vizuri hoja zijibiwe vizuri na si kujibu KiCCM ......lazima watu waone tofauti ......hapa zimeandikwa tuhuma ambazo sisi tulio huku pembeni tungependa tuone majibu komavu ili tuendelee kujijengea taswira ya kutenda tunachohubiri .....hivyo sitegemei kejeli na majibu ya rejareja kama akina MSALANI na ifweero wanavyojibu humu ........mleta mada apewe majibu ya Kichadema ......yenye mantiki tufunge mjadala .....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom