John Heche: Kesi yenye dhamana inawezekana vipi kunyimwa dhamana?

Anaandika Comred Mbunge wa Jimbo la Tarime vijini John Heche.

Mahakama za Tanzania ni aibu kwa taifa, mahakama inapokua sehemu ya kunyima haki inafundisha watu tabia ya kutoheshimu mahakama.

Hili sakata la Lema kuna mtu aliniambia mapama litapigwa danadana mpaka feb kwa visingizio mbalimbali mwanzo sikuamin!

Sasa imethibitika hivyo inatia hasira sana. Kesi yenye dhamana inawezekana vipi kunyimwa dhamana!
Hujui tu. Na kutokujua sio kinga kisheria. Kilichokuwa kinabishaniwa pale ni technicality za kisheria. Ukielewa jinsi wanasheria wanavoshindana ndo utajua kuwa hata muuaji anaweza kuachiwa huru kwa sabb ya makosa ya kiufund. Na ndo apo unapoweza kumtofautisha mwanasheria huyu na yule na ukawa na uwezo wa kusema yule ni bora kuliko huyu.

Hamuwezi tena kuwahonga wanasheria wa serikali kwa sabb Magu kakaza zaid.

Ni suala la kukubali kuwa mmeshindwa na kukata rufaa. Kama Lema ameamua kutokata rufaa basi ana haki ya kufanya hivo na hampaswi kulalamika.

Ukikutana na wanasheria wanaoijua fani yao vizuri hata kama ulimbusu mpenz wako unaweza kufungwa kifungo cha maisha kwa udhalilishaji au ubakaji. Au ukawa umeua na ukaachiwa huru. Ni issue ya technicality za kisheria na ujanja wa kutumia makosa ya mshindan wako.

Mwacheni Lema ashike adabu. Mbona wabunge wenzake ambao tulitegemea wawe wakolofi zaid wako busy kushirikiana na Wananchi wao kuleta maendeleo. Hatusikii ujinga ujinga kama wa akina Lema
 
Kesi yenye haki ya dhamana inakosa dhamana kwasababu ya danadana. Halafu hizo mahakama huwa zinasema ziko huru. Uhuru upi wa kumnyima mtu haki kwa maelekezo? Mtoa mada hapo juu anasema alishaambiwa mapema na imetimia.
mwanasiasa huyo ni waongo sana hawa jamaa huwa siwamini kabisa. mm
 
Hamna kitu kibaya kama kuvamiwa ukiwa unatoka bafuni...yaan huna hata cha kujihami lazima uwe mpole...washikee tuu me hawanihusu ataaa
 
Kesi yenye haki ya dhamana inakosa dhamana kwasababu ya danadana. Halafu hizo mahakama huwa zinasema ziko huru. Uhuru upi wa kumnyima mtu haki kwa maelekezo? Mtoa mada hapo juu anasema alishaambiwa mapema na imetimia.
Asubiri zamu yake ndio ataelewa
 
Siasa za kitata za mhe mbunge zinazoishia mahakamani karibu kila mara zinachosha.

Kama wanafanya kumkomoa wanayo sababu japo siyo ya msingi sana. Dola siku zote hutumia mabavu na vyombo vyake ipasavyo. Ni vizuri mhe. Mbunge akabadili mbinu kwani hii anayotumia haiioneshi kufaulu na itaishia kummpa taswira hasi miongoni mwa jamii
Hujui kitu wewe mfuasi wa kijani, Lema ni shujaa na huwezi kuwa shujaa pasipo kupitia tabu kama hizi anazopitia Lema za kutoogopa ujinga na upumbavu wa watawala
 
alale tu rumande tumechoka siasa za harakati za kipuuzi puuzi huku wananchi wanahitaji huduma ya mbunge...
 
Ungeenda shule, unakimbilia kwenye vitu vyepesi unaacha hoja. Peleka huko akili za kufungwa kiwanda cha Dangote.
Mkuu mbona povu linakutoka hivi ,inakusaidia nn kufurahia kiwanda kufungwa...
 
Ni Kesi ya kipuuzi kuonwa na mm toka nizaliwe
Kumsema Rais wa TZ ktk utawala huu ni kosa la UHAINI?
Hamna dhamana hadi kesi yako iishe ama ushinde au utiwe hatiani?
Upuuzi mtupu!!
Kwani alisema nini mkuu? Huyu jamaa huwa anavuka mipaka ya kuongea .....
 
Asubiri zamu yake ndio ataelewa
Mtu akisema "nimeota Rais atakufa..." anakamatwa, anashtakiwa, ananyimwa dhamana, anakaa miezi mitatu gerezani; mhaini, gaidi, mtu hatari... Wakati wa ukoloni mtu aliyesema "Wakoloni wataondoka...", "Wakoloni watarudi kwao.." alishtakiwa, akateswa, akatwezwa, akaitwa gaidi na hata akanyongwa.
Tunafanya upuuzi na ujinga ule ule waliofanya wakoloni, and YET tunasema tunajitawala. Mtu anayeogopa kuambiwa atakufa ni MASIKINI WA AKILI....Kama Nyerere alikufa, na ukuu wote ule, who else will not? Kama Yesu alikufa, Mtume Mohammad (SAW) akafa, who else will not! Kuna binadamu mkuu kuliko hao?
Kwa nini neno "nimeota mtu atakufa.." liwe VITA, MAPAMBANO, UBABE na UNYIMI WA HAKI? Kwani mtu hutakufa? Unajidanganya..it is true that utakufa, na utakufa kama kila mtu afavyo, lakini kifo chako cha baadaye kisiwe mateso kwa wengine leo hii! KUFA, kuko pale pale tu whether imetabiriwa au haijatabiriwa!

Hujui tu. Na kutokujua sio kinga kisheria. Kilichokuwa kinabishaniwa pale ni technicality za kisheria. Ukielewa jinsi wanasheria wanavoshindana ndo utajua kuwa hata muuaji anaweza kuachiwa huru kwa sabb ya makosa ya kiufund. Na ndo apo unapoweza kumtofautisha mwanasheria huyu na yule na ukawa na uwezo wa kusema yule ni bora kuliko huyu.

Hamuwezi tena kuwahonga wanasheria wa serikali kwa sabb Magu kakaza zaid.

Ni suala la kukubali kuwa mmeshindwa na kukata rufaa. Kama Lema ameamua kutokata rufaa basi ana haki ya kufanya hivo na hampaswi kulalamika.

Ukikutana na wanasheria wanaoijua fani yao vizuri hata kama ulimbusu mpenz wako unaweza kufungwa kifungo cha maisha kwa udhalilishaji au ubakaji. Au ukawa umeua na ukaachiwa huru. Ni issue ya technicality za kisheria na ujanja wa kutumia makosa ya mshindan wako.

Mwacheni Lema ashike adabu. Mbona wabunge wenzake ambao tulitegemea wawe wakolofi zaid wako busy kushirikiana na Wananchi wao kuleta maendeleo. Hatusikii ujinga ujinga kama wa akina Lema

alale tu rumande tumechoka siasa za harakati za kipuuzi puuzi huku wananchi wanahitaji huduma ya mbunge...
 
Anaandika Comred Mbunge wa Jimbo la Tarime vijini John Heche.

Mahakama za Tanzania ni aibu kwa taifa, mahakama inapokua sehemu ya kunyima haki inafundisha watu tabia ya kutoheshimu mahakama.

Hili sakata la Lema kuna mtu aliniambia mapama litapigwa danadana mpaka feb kwa visingizio mbalimbali mwanzo sikuamin!

Sasa imethibitika hivyo inatia hasira sana. Kesi yenye dhamana inawezekana vipi kunyimwa dhamana!
mwache anyee ndoo kwanza,ajue mamlaka za mipaka
 
Hii ndio kesi ya kwanza inayostahili dhamana kunyimwa dhamana? Acheni double standard ! Piganieni haki za watuhumiwa wote kunyimwa dhamana hata wanapostahili dhamana.

Vinginevyo mnadhihirisha ubinafsi kuonyesha fulani anastahili zaidi ya fulani.
wanaona Lema ni wa msingi zaidi
 
Anaandika Comred Mbunge wa Jimbo la Tarime vijini John Heche.

Mahakama za Tanzania ni aibu kwa taifa, mahakama inapokua sehemu ya kunyima haki inafundisha watu tabia ya kutoheshimu mahakama.

Hili sakata la Lema kuna mtu aliniambia mapama litapigwa danadana mpaka feb kwa visingizio mbalimbali mwanzo sikuamin!

Sasa imethibitika hivyo inatia hasira sana. Kesi yenye dhamana inawezekana vipi kunyimwa dhamana!
Kamtoe km unayo jeuri!
 
Kwa hiyo hata ile iliyo mkuta Bulaya hana hatia nayo ni aibu siyo?
 
Back
Top Bottom