Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche(CHADEMA) afikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kistu na kwasasa amewekwa mahabusu ndogo huku akisubiri kusomewa mashtaka yanayomkabili
> Kuna tetesi kuwa anaweza kuunganishwa kwenye kesi inayowakabili viongozi wengine 7 wa CHADEMA akiwemo Freeman Mbowe(Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa)
Mbunge Heche alikamatwa tarehe tatu na kunyimwa dhamana.
Habari zaidi, soma=>Mbunge John Heche aendelea kushikiliwa kituo cha Polisi cha Kati Dar baada ya kwenda kuripoti
UPDATES:
Mbunge wa Tarime Vijijini John Heche, ameingizwa mahakamani mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Wilbard Mashauri.
> Heche anakabiliwa na mashtaka matatu la kwanza kufanya mkusanyiko usio halali, kufanya mkusanyiko wenye vurugu na kuchochea chuki kinyume cha sheria.
> Wakili wa Serikali Faraja Nchimbi ameomba kumuongeza katika kesi inayowakabili akina Mbowe hivyo washtakiwa watakuwa wanane
> Masharti ya dhamana ya Heche ni sawa na wenzake.
1. Awe na wadhamini wawili watakao saini bondi ya Tsh. 20 milioni
2. Wadhamini wawe na barua toka kwa wenyekiti wa mtaa au kijiji na kopi za vitambulisho vyao
Washitakiwa wote wanatakiwa wawewanaenda kuripoti Kituo kikuu cha Polisi mara moja kila wiki(Ijumaa)
Mbunge John Heche, ameachiwa kwa dhamana muda huu katika mahakama ya Kisutu.
> Kuna tetesi kuwa anaweza kuunganishwa kwenye kesi inayowakabili viongozi wengine 7 wa CHADEMA akiwemo Freeman Mbowe(Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa)
Mbunge Heche alikamatwa tarehe tatu na kunyimwa dhamana.
Habari zaidi, soma=>Mbunge John Heche aendelea kushikiliwa kituo cha Polisi cha Kati Dar baada ya kwenda kuripoti
UPDATES:
Mbunge wa Tarime Vijijini John Heche, ameingizwa mahakamani mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Wilbard Mashauri.
> Heche anakabiliwa na mashtaka matatu la kwanza kufanya mkusanyiko usio halali, kufanya mkusanyiko wenye vurugu na kuchochea chuki kinyume cha sheria.
> Wakili wa Serikali Faraja Nchimbi ameomba kumuongeza katika kesi inayowakabili akina Mbowe hivyo washtakiwa watakuwa wanane
> Masharti ya dhamana ya Heche ni sawa na wenzake.
1. Awe na wadhamini wawili watakao saini bondi ya Tsh. 20 milioni
2. Wadhamini wawe na barua toka kwa wenyekiti wa mtaa au kijiji na kopi za vitambulisho vyao
Washitakiwa wote wanatakiwa wawewanaenda kuripoti Kituo kikuu cha Polisi mara moja kila wiki(Ijumaa)
Mbunge John Heche, ameachiwa kwa dhamana muda huu katika mahakama ya Kisutu.
Last edited: