Hawa watu, iwe ni mapolisi au siyo; jambo lililo wazi ni kuwa ni "wapambanaji" wa upande wa pili.
Hawa wanaweza tu hata kuwa ni watu waliokusanywa na upande wenye maslahi, na kuwapa chochote ili wakajaze tu nafasi hapo kwenye ukumbi, ili viongozi wa CHADEMA na wafuasi wao wasiweze kuwa mahakamani. Kwani mtu kama Dula atashindwa kuwahudumia watu 60 tu kwa mlo wa siku moja? kwa kila mmoja wao?
Hawa wanaweza tu hata kuwa ni watu waliokusanywa na upande wenye maslahi, na kuwapa chochote ili wakajaze tu nafasi hapo kwenye ukumbi, ili viongozi wa CHADEMA na wafuasi wao wasiweze kuwa mahakamani. Kwani mtu kama Dula atashindwa kuwahudumia watu 60 tu kwa mlo wa siku moja? kwa kila mmoja wao?