Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,499
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimelalamikia kile ilichodai kuwa uwepo wa askari wanaovaa kiraia wanaojazana kwenye chumba cha Mahakama huku wananchi (makada wa CHADEMA) waliojitokeza kusikiliza kesi inayomkabili Mwenyekiti wa chama hicho Taifa Tundu Lissu anayekabiliwa na kesi ya uhaini wakikosa nafasi ya kukaa
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara John Heche ameeleza hayo mapema leo, Jumanne Septemba 09.2025 alipokuwa Akizungumza na wanahabari kwenye viunga vya Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam.
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara John Heche ameeleza hayo mapema leo, Jumanne Septemba 09.2025 alipokuwa Akizungumza na wanahabari kwenye viunga vya Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam.