OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,250
- 103,957
ccm ina bahati sana kwa kuwa na wanachama mbumbumbu kama wewe , video hiyo imejieleza kinaga ubhagha , lakini kwa vile mmeng'olewa ubongo basiHizi ni dalili za kutapatapa!
I hate the term opposition, I feel it affects people’s thinking and understanding!Hizi ni dalili za kutapatapa!
😆😆😆😆Mwadui tunashare 25%
Tanzanite tunashare 50%
Coal mine tunashare 30%
Barrick tunashare 16%
Inasikitisha sana!
Unforgetable
Hechr Anawinda rushwa walizoea kufoka bungeni Acacia anawapelekea rushwa akina Zitto Kabwe na Lisu nk wabunge wa upinzani.Barrick hawapii hata Mia .Mkataba Ni Siri Kati ya pande mbili zinazosaini serikali na BarickKimenuka !
We jamaa unalipwa sh ngapi kwa umbea?:'
Hechr Anawinda rushwa walizoea kufoka bungeni Acacia anawapelekea rushwa akina Zitto Kabwe na Lisu nk wabunge wa upinzani.Barrick hawapii hata Mia .Mkataba Ni Siri Kati ya pande mbili zinazosaini serikali na Barick
Hayo ndiyo majembe ya CHADEMA yanafukunyua mpaka kilichofichwa uvunguni.
ccm ina bahati sana kwa kuwa na wanachama mbumbumbu kama wewe , video hiyo imejieleza kinaga ubhagha , lakini kwa vile mmeng'olewa ubongo basi
mnakenua tu , ndio maana Magufuli anawaburuza atakavyo hadi kumteua mtu aliyefumaniwa na mke wa mtu na kukatwa panga kuwa waziri
inasikitisha nini,tupo kwenye right truckTunakusubiri upinge hoja kwa hoja
Usitoke nje ya mada hebu nawewe lete mrejesho
Haya yakweli 👇
Mwadui tunashare 25%
Tanzanite tunashare 50%
Coal mine tunashare 30%
Barrick tunashare 16%
Mwadui tunashare 25%
Tanzanite tunashare 50%
Coal mine tunashare 30%
Barrick tunashare 16%
Inasikitisha sana!
Unforgetable
kwani wewe ukihamia kuzimu inashida gani,maana huna faida kwenye dunia hii