Ndugu zangu,
Kama mnavyofahamu, Mzee Chiligati ameachwa kwenye timu ya jk iliyotangazwa leo. Katika hali ya kawaida na kwa kutambua role ya babu huyu kwenye uhai wa chama chake,
siyo rahisi kwamba Mzee huyu kaachwa solemba kwa sababu ya utendaji mbovu. Binafsi nahisi Mzee amekuwa reserved kwa ajili ya vyeo vya kichama mojawapo ikiwa ni kiti cha ukatibu mkuu wa ccm.
Mzee makamba aliyetia fora kwa upayukaji na ulopokaji lazima atawekwa pembeni kwa sababu zilizo wazi.:target:
ainkiller::drum:
bora makamba mara milioni kuliko kipofu chiligati! mfano mzuri ni mtizamo wake kuhusu chadema kutoka nje ya ukumbi wa bunge wakati jk analihutubia bunge! kwa kifupi ni mtu asiyejua hata maana ya demokrasia ni nini? kwake mfumo wa chama kimoja ni ajenda ya kudumu akilini mwake!:angry: ni utendaji mbovu uliopelekea kuachwa kwake kama sivyo ni nini? kwisha habari yake!