Nkerebhuke
JF-Expert Member
- Nov 1, 2021
- 793
- 2,007
Kama ni uganga basi huyu mwamba mganga wake hatari, ukitizama work rate yake, unyumbulifu yaani jamaa anaonekana kachoka haswaa, one vs one battle anashindwa sana.
Kila mwenye macho anaona mwenyewe.
Kila mwenye macho anaona mwenyewe.