Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,246
- 33,007
Jogoo wa Kichina ataga | |
Moja ya majogoo ya Kichina | Shirika la habari la egynews limeripoti kuwa, Wasomi na wataalamu nchini China wamepatwa na kiwewe cha mwaka, pale waliposhuhudia Jogoo lisilo la kawaida, ambalo linameshataga mayai kumi na manne 14. |
Shirika la habari la egynews limeripoti kuwa, Wasomi na wataalamu nchini China wamepatwa na kiwewe cha mwaka, pale waliposhuhudia Jogoo lisilo la kawaida, ambalo linameshataga mayai kumi na manne 14. Wasomi hao wameshaanza utafiti wa kina ili kujua imekuwaje na ina athari gani? Televisheni ya China imesema kuwa, tukio la kutaga kwa Jogoo limezua gumzo kubwa katika mitaa ya Uchina. Baadhi ya Wachina wanaenda katika shamba liliopo mji wa Shandong Liaoche anapofugwa jogoo huyo ili kumshuhudia na maajabu yake. Jogoo huyo ana kilo tatu 3 na ameanza kutaga tangu zamani, na yai lake la mwisho ni tarehe 7/2/2012. Na yai la jogoo huyo ni kubwa kuliko yai la kawaida. Wakati huo huo duru za kiusalama wa chakula huko China zinaripoti kuwa, maafisa wa afya wanachunguza matukio yanayojulikana katika vyombo vya habari kama (YAI MPIRA), ambapo kiini cha yai kikichemshwa kinakuwa kama vigoroli vya mpira na kuvutika vutika. |
<tbody>
</tbody>