Jodeci, Kci&Jojo, New Edition, Silk wako wapi hawa wanamuziki?

sinajinasasa

JF-Expert Member
Dec 10, 2013
2,988
4,152
Hellow member...
Najua mpo wataalamu na wapenzi wa hizi beats za zamani kidogo, je naweza kupata wapi albamu zao za audio niweze kuwa download hata kama ni kwa kulipia kama wanavyofanya wasafi.com.

Nazipenda sana nyimbo zao, nilikuwa na albamu zao zile za tape, Normal bias, nataka nizipate zikiwa na quality.
nataka album za wakina Jodeci ambao baadae wakabaki Kci&jojo, albumu zao zote kuanzia ile ya All my life, Tell me its real nk
Nawataka sana hawa New edition ile ya boby brown
Nawapata wapi hawa Silk na ile album yao ya cruz control sijui nitaipata wapi. yaani nikisikiliza huwa wananipa utulivu wa mind sana.
Pia huyu marehemu Gerald Levert na album zake ametulia sana. Pangekuwa na duka hapa Bongo lenye kuuza hizo album copy ningekwenda kunnua aisee.

Na wakali wengine, nisaidieni namna ya kupata nyimbo zao
 
...old school music kwa wale wa kizazi cha 70s na 80s waliokuwa vyuo miaka ya 90-00s ,,,nyimbo zao zinapatikana kwenye jango.com au ukiingia kwenye tune in tafuta theme za RnB utazipata
 
jojo nikama nilimuona dukani kwa mangi
Acha utani, hapa ni old school tu kama wewe ni wa kizazi cha kina nani sijui....hapa ni zile enzi za kina Dr.Dre na kina Snoop dog, wakina Suge knight, Daz EFX, Tribe Called Quest, Ban Nubian, Makundi ya wagumu kama Oryx nk sio kizazi chenu cha wakina Diamond, hizo ni ni pure gangstar rap...na makundi mengine ya Pure RNB na soul kama Soul for Real, Blackstreet na wengineo wengi. Siku hizi sioni mziki kabisa nasiia kelele tu.
 
Hellow member...
Najua mpo wataalamu na wapenzi wa hizi beats za zamani kidogo, je naweza kupata wapi albamu zao za audio niweze kuwa download hata kama ni kwa kulipia kama wanavyofanya wasafi.com.

Nazipenda sana nyimbo zao, nilikuwa na albamu zao zile za tape, Normal bias, nataka nizipate zikiwa na quality.
nataka album za wakina Jodeci ambao baadae wakabaki Kci&jojo, albumu zao zote kuanzia ile ya All my life, Tell me its real nk
Nawataka sana hawa New edition ile ya boby brown
Nawapata wapi hawa Silk na ile album yao ya cruz control sijui nitaipata wapi. yaani nikisikiliza huwa wananipa utulivu wa mind sana.
Pia huyu marehemu Gerald Levert na album zake ametulia sana. Pangekuwa na duka hapa Bongo lenye kuuza hizo album copy ningekwenda kunnua aisee.

Na wakali wengine, nisaidieni namna ya kupata nyimbo zao
kitu forever my lady hatari, nitumie namba ntakutumia kwa whatsup baadhi nilizonazo.
 
NEW EDITION LYRICS
"A Little Bit Of Love (Is All It Takes)"

Yeah
Woo...ooh...ooh...ooh...

You say you want to be the one I need
You say you want to be the one for me
You say you want to be the one I need
But then you go and act so crazy

You say you never want to let me go
You say you want to be the one I hold
You say you never want to let me go
But then you go and leave me lonely

If you want to make things right
Love can make a way
If you want to take the time
Act like what you say, yeah

A little bit of love is all it takes
A little bit of love goes a long, long way
A little bit of love is all it takes
A little bit of love is lovely

A little bit of love is all it takes
A little bit of love goes a long, long way
A little bit of love is all it takes
A little bit of love is lovely

You want to be the one who makes me shy
The one who makes me laugh and makes me cry
You want to be the one to change my life
Then maybe you should treat me kindly

You want to make believe you never left
You want to make believe I never wept
You said you'd never ever leave again
Oh, baby, won't you quit pretendin'

If you want to make things right
Love can make a way
And if you want to take the time
Act like what you say, yeah

A little bit of love is all it takes
A little bit of love goes a long, long way
A little bit of love is all it takes
A little bit of love is lovely

A little bit of love is all it takes
A little bit of love goes a long, long way
A little bit of love is all it takes
A little bit of love is lovely, oh

Oh

Oh, if you want to make things right
Love can make a way
And if you want to take the time
Act like what you say, yeah

A little bit of love is all it takes
A little bit of love goes a long, long way
A little bit of love is all it takes
A little bit of love is lovely

A little bit of love is all it takes
A little bit of love goes a long, long way
A little bit of love is all it takes
A little bit of love is lovely

A little bit of love is all it takes
A little bit of love is all it takes (Little bit of love)
A little bit of love is all it takes
A little bit of love is all it takes

Girl, you got to make things right
A little bit of love is all it takes
Girl, we got to take our time
A little bit of love is all it takes
A little bit of love is all it takes

A little bit of love is all it takes
A little bit of love goes a long, long way
A little bit of love is all it takes
A little bit of love is lovely

A little bit of love is all it takes
A little bit of love goes a long, long way
 
Hellow member...
Najua mpo wataalamu na wapenzi wa hizi beats za zamani kidogo, je naweza kupata wapi albamu zao za audio niweze kuwa download hata kama ni kwa kulipia kama wanavyofanya wasafi.com.

Nazipenda sana nyimbo zao, nilikuwa na albamu zao zile za tape, Normal bias, nataka nizipate zikiwa na quality.
nataka album za wakina Jodeci ambao baadae wakabaki Kci&jojo, albumu zao zote kuanzia ile ya All my life, Tell me its real nk
Nawataka sana hawa New edition ile ya boby brown
Nawapata wapi hawa Silk na ile album yao ya cruz control sijui nitaipata wapi. yaani nikisikiliza huwa wananipa utulivu wa mind sana.
Pia huyu marehemu Gerald Levert na album zake ametulia sana. Pangekuwa na duka hapa Bongo lenye kuuza hizo album copy ningekwenda kunnua aisee.

Na wakali wengine, nisaidieni namna ya kupata nyimbo zao


Wamefunikwa na Mondi wetu!
 
NEW EDITION LYRICS
"A Little Bit Of Love (Is All It Takes)"

Yeah
Woo...ooh...ooh...ooh...

You say you want to be the one I need
You say you want to be the one for me
You say you want to be the one I need
But then you go and act so crazy

You say you never want to let me go
You say you want to be the one I hold
You say you never want to let me go
But then you go and leave me lonely

If you want to make things right
Love can make a way
If you want to take the time
Act like what you say, yeah

A little bit of love is all it takes
A little bit of love goes a long, long way
A little bit of love is all it takes
A little bit of love is lovely

A little bit of love is all it takes
A little bit of love goes a long, long way
A little bit of love is all it takes
A little bit of love is lovely

You want to be the one who makes me shy
The one who makes me laugh and makes me cry
You want to be the one to change my life
Then maybe you should treat me kindly

You want to make believe you never left
You want to make believe I never wept
You said you'd never ever leave again
Oh, baby, won't you quit pretendin'

If you want to make things right
Love can make a way
And if you want to take the time
Act like what you say, yeah

A little bit of love is all it takes
A little bit of love goes a long, long way
A little bit of love is all it takes
A little bit of love is lovely

A little bit of love is all it takes
A little bit of love goes a long, long way
A little bit of love is all it takes
A little bit of love is lovely, oh

Oh

Oh, if you want to make things right
Love can make a way
And if you want to take the time
Act like what you say, yeah

A little bit of love is all it takes
A little bit of love goes a long, long way
A little bit of love is all it takes
A little bit of love is lovely

A little bit of love is all it takes
A little bit of love goes a long, long way
A little bit of love is all it takes
A little bit of love is lovely

A little bit of love is all it takes
A little bit of love is all it takes (Little bit of love)
A little bit of love is all it takes
A little bit of love is all it takes

Girl, you got to make things right
A little bit of love is all it takes
Girl, we got to take our time
A little bit of love is all it takes
A little bit of love is all it takes

A little bit of love is all it takes
A little bit of love goes a long, long way
A little bit of love is all it takes
A little bit of love is lovely

A little bit of love is all it takes
A little bit of love goes a long, long way


Nakumbuka enzi zangu, namtokea Demu wangu mmoja wa kichaga ambaye kwa uzuri wake niliazimia kumuoa miaka ya 1998 basi aliondolewa hapo alipokuwa anapiga kazi...(maana alikuja kwa ndugu zake) kwa vile alianza mahusiano na mimi. Sasa nikisikiliza nyimbo za New edition, jamaa wanavyoweza kutumia vocal, yaani umahili katika sauti walikuwa wakiniliza kwa utamu wa muziki, jamaa wakali sana hawa kama una copy ya audio ndugu fanya basi hata kwa kunitumia kwa whatsup maana siku hizi hakuna kabisa copy zao madukani/libralies.
 
Nakumbuka enzi zangu, namtokea Demu wangu mmoja wa kichaga ambaye kwa uzuri wake niliazimia kumuoa miaka ya 1998 basi aliondolewa hapo alipokuwa anapiga kazi...(maana alikuja kwa ndugu zake) kwa vile alianza mahusiano na mimi. Sasa nikisikiliza nyimbo za New edition, jamaa wanavyoweza kutumia vocal, yaani umahili katika sauti walikuwa wakiniliza kwa utamu wa muziki, jamaa wakali sana hawa kama una copy ya audio ndugu fanya basi hata kwa kunitumia kwa whatsup maana siku hizi hakuna kabisa copy zao madukani/libralies.
Pm namba yako utazipata chache nilizonazo,mimi nilianza kupenda hizi nyimbo nilipokuwa mdogo,kaka na dada zangu kipindi hicho ndio zilikuwa ngoma zao,miaka ya 90 na early 2000's maeneo ya Sinza na walikuwa wanafanya shoo kwenye Maharusi ya ndugu kipindi hicho.

So wakaniharibu kabisa,zikipigwa hizi ngoma popote nilipo nitaacha ninachofanya na kuzipa attention kwa muda.

East Africa radio Wana kipindi cha hizi ngoma kati ya jumamosi na Jumapili mida ya saa moja hivi kama sikosei even clouds.
 
Hellow member...
Najua mpo wataalamu na wapenzi wa hizi beats za zamani kidogo, je naweza kupata wapi albamu zao za audio niweze kuwa download hata kama ni kwa kulipia kama wanavyofanya wasafi.com.

Nazipenda sana nyimbo zao, nilikuwa na albamu zao zile za tape, Normal bias, nataka nizipate zikiwa na quality.
nataka album za wakina Jodeci ambao baadae wakabaki Kci&jojo, albumu zao zote kuanzia ile ya All my life, Tell me its real nk
Nawataka sana hawa New edition ile ya boby brown
Nawapata wapi hawa Silk na ile album yao ya cruz control sijui nitaipata wapi. yaani nikisikiliza huwa wananipa utulivu wa mind sana.
Pia huyu marehemu Gerald Levert na album zake ametulia sana. Pangekuwa na duka hapa Bongo lenye kuuza hizo album copy ningekwenda kunnua aisee.

Na wakali wengine, nisaidieni namna ya kupata nyimbo zao
Mkuu mimi ni kati ya wapenda hz kitu sana na na nikitaka kucheza hizi kitu nikiwa Dar nasonga zangu hyatty legency kwa John Dillinga au kwa Peter Moe "East 24 Alkade".

Nina stock ya Albums za Dru hill, Jodeci, Joe, B2K, Case, TLC, Salt N' pepa, Xscape, Silk, None chalant, snoop, Dre na nyingine kibao nafurahi nikikutana na old schooler kama hivi nafurahi sana!
 
Pm namba yako utazipata chache nilizonazo,mimi nilianza kupenda hizi nyimbo nilipokuwa mdogo,kaka na dada zangu kipindi hicho ndio zilikuwa ngoma zao,miaka ya 90 na early 2000's maeneo ya Sinza na walikuwa wanafanya shoo kwenye Maharusi ya ndugu kipindi hicho.

So wakaniharibu kabisa,zikipigwa hizi ngoma popote nilipo nitaacha ninachofanya na kuzipa attention kwa muda.

East Africa radio Wana kipindi cha hizi ngoma kati ya jumamosi na Jumapili mida ya saa moja hivi kama sikosei even clouds.
Mkuu mi nina ratiba za Radio zinazogonga hizi ngoma ambazo zote hugonga JUMAMOSI:

1. Clouds- J1 saa 1 usiku hadi 3.00
2. Radio uhuru- saa 5Asb-7 mchana
3. Radio One- 5 Asubuhi -7 Mchana
4. Kiss Fm- Saa 8 Mchana-10 Jioni
5. Radio free Africa- 8-10 Jioni.
 
Mkuu mimi ni kati ya wapenda hz kitu sana na na nikitaka kucheza hizi kitu nikiwa Dar nasonga zangu hyatty legency kwa John Dillinga au kwa Peter Moe "East 24 Alkade".

Nina stock ya Albums za Dru hill, Jodeci, Joe, B2K, Case, TLC, Salt N' pepa, Xscape, Silk, None chalant, snoop, Dre na nyingine kibao nafurahi nikikutana na old schooler kama hivi nafurahi sana!
Hao TLC na salt and pepa ilikuwa khabari nyingine kabisa ukija jumlisha na mama lao malkia lattifah palikuwa padogo hapo umenigusa pana wadada wa SWV nao moto wao wa you always on my mind.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom