Nasikitika kuona Mh. Naibu Spika Job Ndugai anavyobadilika kwa kasi sana katika usimimazi wa Bunge. Mh.Job alikuwa ni mwanasiasa niliyekuwa namheshimu na kumkubali katika wanasiasa toka chama tawala.
Kwa sasa napata mashaka kutokana na mwenendo wake. Imenishangangaza sana jinsi alivyocomment baada ya Tundu Lissu kutoa maelezo ya kikanuni kuhusu mwongozo alioomba Mh. Ole Sendeka dhidi ya hoja ya Mh.Zito Kabwe kuhusu vigogo walioficha mabilioni kule Uswis. Nimemsikia Mh.Job akimjibu Lissu 'na wewe sijui nani kakupa ruhusa ya kufundisha' . Sasa naona kuwa Mh.Job na baadhi ya wabunge CCM wanatumia nguvu sana katika kuhandle hoja za Mh. Lissu
Kwa sasa napata mashaka kutokana na mwenendo wake. Imenishangangaza sana jinsi alivyocomment baada ya Tundu Lissu kutoa maelezo ya kikanuni kuhusu mwongozo alioomba Mh. Ole Sendeka dhidi ya hoja ya Mh.Zito Kabwe kuhusu vigogo walioficha mabilioni kule Uswis. Nimemsikia Mh.Job akimjibu Lissu 'na wewe sijui nani kakupa ruhusa ya kufundisha' . Sasa naona kuwa Mh.Job na baadhi ya wabunge CCM wanatumia nguvu sana katika kuhandle hoja za Mh. Lissu