zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 10,142
- 21,470
Tulia ww subject mwenzangu, jamaa yuko anapigana tuwe citizensNi kweli jamaa anachukua malipo bila kufanya kazi..
Akiambiwa arudi kazini anadai anaumwa ila yupo busy kufuata Interview za TV miji Mbali Mbali duniani akialikwa Australia ataenda ila kwenda kufanya kazi bungeni hataki.
hao unao watetea wanaogopa ukirudiwa na akili hawatakuburuza hivi