Job Ndugai: Ipo haja ya kusimamisha mshahara wa Tundu Lissu kwa sababu hayupo jimboni, Bungeni na hospitalini na sijapewa taarifa ya Daktari

Ni kweli jamaa anachukua malipo bila kufanya kazi..

Akiambiwa arudi kazini anadai anaumwa ila yupo busy kufuata Interview za TV miji Mbali Mbali duniani akialikwa Australia ataenda ila kwenda kufanya kazi bungeni hataki.
Tulia ww subject mwenzangu, jamaa yuko anapigana tuwe citizens

hao unao watetea wanaogopa ukirudiwa na akili hawatakuburuza hivi
 
Ni kweli jamaa anachukua malipo bila kufanya kazi..

Akiambiwa arudi kazini anadai anaumwa ila yupo busy kufuata Interview za TV miji Mbali Mbali duniani akialikwa Australia ataenda ila kwenda kufanya kazi bungeni hataki.
Jamaa amepona kabisa, anazuga tu. Angalia sasa anataka kuanza kupigana na Masilingi studio na bado anajidai ni mgonjwa. Akatiwe mshahara mapema iwezekanavyo.
 
Mpaka Muda huu ilitakiwa Katibu Mkuu wa Bunge ajiuzulu Kama aliendelea kumlipa Mtu Mshahara wakati hayupo eneo la Kazi Na Hakuna taarifa yoyote ya kimaandishi ya kutokuwepo kazini Na Sasa hivi anaonekana anazurura Kwenye Channel Za Kimataifa anachafua Nchi
Kama sisi Wananchi hatuchafuki hiyo nchi inachafukaje? Sema ccm inachafuka usijumuishe wananchi wote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ipo haja ya kusimamisha mshahara wa Tundu Lissu kwa sababu hayupo jimboni, Bungeni na hospitalini na sijapewa taarifa ya Daktari

Swali toka kwa Mwanahabari Huru: Je -Waliompiga Lissu risasi wameshapatikaka?

-CCTV ulishawai kuhoji nani amezitoa?

-Lissu alipigwa risasi akiwa Jimboni au kazini Hapo Dodoma?

Ukiwa kiongozi Ushabiki ni mbaya

Apewe taarifa ya daktari kama nani? Kwani yeye ndiye aliyempeleka? Kwani yeye ndiye aliyemlipia gharama za hospitali?
 
Mbona kabla ya kuanza kuhojiwa na vyombo vya habari ulikuwa ukimpa mshahara wake, kipindi hicho bwana Ndugai ulikuwa na taarifa ya hali ya Lissu?

Kwa matendo haya ya Ndugai hivi karibuni nina wasiwasi kwamba naye alikuwemo katika mpango......
 
Back
Top Bottom