Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 10,416
- 6,577
Hatimae Karma imetenda haki
Hatimae Karma imetenda haki
Ndugai anapata malipo hapa hapa duniani kabla hajafa.Ipo haja ya kusimamisha mshahara wa Tundu Lissu kwa sababu hayupo jimboni, Bungeni na hospitalini na sijapewa taarifa ya Daktari
Swali toka kwa Mwanahabari Huru: Je -Waliompiga Lissu risasi wameshapatikaka?
-CCTV ulishawai kuhoji nani amezitoa?
-Lissu alipigwa risasi akiwa Jimboni au kazini Hapo Dodoma?
Ukiwa kiongozi Ushabiki ni mbaya
=====================
Spika wa Bunge Bw.Job Ndugai amesema atasimamisha Mshahara na Malipo yote ya Mbunge wa Singida Mashariki Mhe.Tundu Lisu kuanzia mwezi huu kutokana ana Ofisi yake kutokuwa na Taarifa sahihi ya mahali alipo kwasasa na anachokifanya huko. Hii ina maana Lissu hatalipwa mshahara tena kuanzia sasa hadi pale Spika atakapojisikia.
#MyTake:
Hawa ndio wale Balozi Masilingi alisena wameumizwa sana na shambulio la Lissu. Yani waliumizwa sana lakini hawajahangaika kujua aliyeng'oa camera za CCTV. Waliumizwa sana wakaondoa ulinzi siku ya shamvulio la Lissu. Wakaumizwa sana lakini wakamnyima hela za matibabu ili afe, lakini Mungu akamuokoa kwa neema. Sasa wameumizwa sana wameamua kumsimamishia mshahara. Hivi bado tunahangaika kutafuta waliomshambulia Lissu kwa risasi?
Huyu baba alikuw na kiburi adi mtu huamini anachozungumz kwa kumtakia mabaya binadam mwenzake lohNdugai ukufe uoze, muuaji mkubwa
Duh ! Hatari sana ! What goes around comes around !! Sijui kwanini watu huwa wanaipuuza hii law of the universe !!!Mmmh uzi umefufuliwa
kelao aliona mbali kwa kweli...Hatimae Karma imetenda haki
Ukitokea kwenye umasikini kisha ukapata nafasi ni rahisi kuona watu ni wajingaDuh ! Hatari sana ! What goes around comes around !! Sijui kwanini watu huwa wanaipuuza hii law of the universe !!!
viumbe wa Mungu ni kama viwavi, kazi ni usiku na mchna, sijui huu ufukunyuzi huwa unafanyajwe bila kujua heading....lakini du, kwa kweli ya Lisu kukosa bungeni yamemrudia subwoofer mwenyewe...Mmmh uzi umefufuliwa
viumbe wa Mungu ni kama viwavi, kazi ni usiku na mchna, sijui huu ufukunyuzi huwa unafanyajwe bila kujua heading....lakini du, kwa kweli ya Lisu kukosa bungeni yamemrudia subwoofer mwenyewe...
Vp sasa nayeye c hayuko bungeni kwaiyo mshahara wake usitishweeeIpo haja ya kusimamisha mshahara wa Tundu Lissu kwa sababu hayupo jimboni, Bungeni na hospitalini na sijapewa taarifa ya Daktari
Swali toka kwa Mwanahabari Huru: Je -Waliompiga Lissu risasi wameshapatikaka?
-CCTV ulishawai kuhoji nani amezitoa?
-Lissu alipigwa risasi akiwa Jimboni au kazini Hapo Dodoma?
Ukiwa kiongozi Ushabiki ni mbaya
=====================
Spika wa Bunge Bw.Job Ndugai amesema atasimamisha Mshahara na Malipo yote ya Mbunge wa Singida Mashariki Mhe.Tundu Lisu kuanzia mwezi huu kutokana ana Ofisi yake kutokuwa na Taarifa sahihi ya mahali alipo kwasasa na anachokifanya huko. Hii ina maana Lissu hatalipwa mshahara tena kuanzia sasa hadi pale Spika atakapojisikia.
#MyTake:
Hawa ndio wale Balozi Masilingi alisena wameumizwa sana na shambulio la Lissu. Yani waliumizwa sana lakini hawajahangaika kujua aliyeng'oa camera za CCTV. Waliumizwa sana wakaondoa ulinzi siku ya shamvulio la Lissu. Wakaumizwa sana lakini wakamnyima hela za matibabu ili afe, lakini Mungu akamuokoa kwa neema. Sasa wameumizwa sana wameamua kumsimamishia mshahara. Hivi bado tunahangaika kutafuta waliomshambulia Lissu kwa risasi?
Yupo wapi njomba ndugai? Akikaa nchale, akilala nchale na akisimama nchaleNi kweli jamaa anachukua malipo bila kufanya kazi..
Akiambiwa arudi kazini anadai anaumwa ila yupo busy kufuata Interview za TV miji Mbali Mbali duniani akialikwa Australia ataenda ila kwenda kufanya kazi bungeni hataki.