goodlif1600
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 794
- 865
Bado hujaridhika tu? Watanzania Chuki za kijinga zinagandisha akili zenu ndo maana hatusogei Taifa lina vijana wa hovyo kama wewe.Afukuzwe ubunge kwa kutohudhuria makusudi.
Hajulikani yuko wapi, hakuna mwenye taarifa zake.
Mwacheni mzee wa watuHicho kicheko hakitoki moyoni.
Utapiamlo wa akili ndio unakufanya utapike haya, ungekuwa na akili usingetapika haya mataputapu!Hawa wajinga wanadhani Lisu ni issue tena! Lisu anamatatizo ya afya ya akli kila siku kuropoka!
Aende bungeni siti yake jirani na Babu tale iko tupu inapata vumbiAliyekuwa spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania Job Yustino Ndugai akishiriki uzunduzi wa chanjo ya mifungo jimboni kongwa
Hongera kwake kwa kutulia
USSR View attachment 2184385
Niliwaza hivyo hivyo.Tukio la kupangwa hilo baada ya kuuliziwa bungeni. Katolewa kaonekana kisha karudishwa kizuizini..
Alidhani yangeisha.Kosa kubwa la ndugai ni kuomba msamaha.
Lazima Ndugai kasoma post za wadau.Bado hujaridhika tu? Watanzania Chuki za kijinga zinagandisha akili zenu ndo maana hatusogei Taifa lina vijana wa hovyo kama wewe.
Hapa tunafurahisha genge tu, don't take everything so serious.
Ila hapo cha usalama wa duniani umetupiga fix, hata kama ana umuhimu sio mkubwa kiasi hicho
Hawa wajinga wanadhani Lisu ni issue tena! Lisu anamatatizo ya afya ya akli kila siku kuropoka!
Alitumia lugha isiyo ya kibunge-Speaker Aliyejiuzuru,alitumia maneno ya uchochezi na kuudhi tena hadharani, kukosoa Serikali inayoongozwa na Chama chake cha Mapinduzi.
-Maneno yenye kutaka kuleta taharuki kwa wananchi.
-Chama chake kilipaswa kunchukulia hatua za kinidhamu au kumpa karipio,iwe fundisho kwa viongozi wengine.