Hakuna ntu serikalin mwenye uwezo wa kumficha Job Ndugai.Sura yake tu inaonyesha huzuni/hofu.
Sujui walimficha wapi mgogo wa watu. Kawa baridii
Usitaje jina la Mungu wako bure!Kashapoteza nuru kweli lissu alikuwa mpango wa Mungu.
Lengo lao la kisasi bado halijatimia.Noma sana hii naona unahasira na spika tu
USSR
Mbowe ruzuku anakula na mukya wewe kelele TU
USSR
Kazi ya mbunge ni nini hapa Tanzania? Kuna mbunge mmoja wa Ifakara miaka hiyo yule jamaa dalali wa magari muda wote anashinda kinondoni na sinzaSasa ndio atafanya kazi za ubunge kwa mawanda mapana.....
Inapotokea shari kwa mtu binafsi huwenda ikawa heri kwa walioko nyuma yake....
MADARAKA HUTOKA KWA MWENYEZI MUNGU
#Siempre JMT🙏
CDM haijachujua ruzuku yenu senti tano tangu mwendazake aingie madarakani hadi leo kwa ule uchaguzi feki na wa aibu kwa dunia - acha fix ndugu.Mbowe ruzuku anakula na mukya wewe kelele TU
USSR
Sawa.
Lakini, hakulazimika kujiuzulu.
In fact, hakulazimika hata kuomba msamaha, angeweza kusema mimi kama Spika naongoza muhimili wa kusimamia serikali, na serikali inakopakopa ovyo bila mambo kupitiwa na bunge.
Na watu wengi tu wangeweza kumuunga mkono.
Na hata wasingemuunga mkono, angeweza kusimamia upande wake.
Lakini hakusimamia, kajiuzulu. Kwa udhaifu wake mwenyewe.
CCM wameona tunawauliza kuhusu supika wetu wameamua kumwanika kwenye uzinduzi wa chanjo ili wafiche kuhusu kufichika kwa huyu mzee.Aliyekuwa spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania Job Yustino Ndugai akishiriki uzunduzi wa chanjo ya mifungo jimboni kongwa
Hongera kwake kwa kutulia
USSR View attachment 2184385
Na kama ni vinginevyo aendelee kuonekana hadharani kuanzia leo😃😃😃Tukio la kupangwa hilo baada ya kuuliziwa bungeni. Katolewa kaonekana kisha karudishwa kizuizini..
Angesema napewa shinikizo la kujiuzulu kwa sababu nasema ukweli.What if kulikuwa na shinikizo la kujiuzuru?
Mkumbusheni na mpini, watu wa pwani Kiswahili kipo damuni asijifanye ana uwezo wa kutumia lahaja asionekane.Rais Samia kamfanyia mbaya sana huyu mzee wa mnada.pamoja na kumuomba msamaha lakini akamkanyagia.
Zamani tulikuwa tuna msemo kwamba mlinzi Mmakonde akikukuta sehemu ya lindo anasema "Ukichimama nchale, ukikimbia nchale".CCM wameona tunawauliza kuhusu supika wetu wameamua kumwanika kwenye uzinduzi wa chanjo ili wafiche kuhusu kufichika kwa huyu mzee.
Hapa tunafurahisha genge tu, don't take everything so serious.Hakuna ntu serikalin mwenye uwezo wa kumficha Job Ndugai.
Job ana system kali sana kwenye mifumo ya usalama duniani.