Ukiomba msamaha ni sawa na kukiri kosa.Kosa kubwa la ndugai ni kuomba msamaha.
CCM hawanaga ustaarabu wa kusamehe. One mistake maji ya kunywa.
Ukiomba msamaha ni sawa na kukiri kosa.Kosa kubwa la ndugai ni kuomba msamaha.
Nimetukana ,Aliyekuwa spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania Job Yustino Ndugai akishiriki uzunduzi wa chanjo ya mifungo jimboni kongwa
Hongera kwake kwa kutulia
USSR View attachment 2184385
😂😂😂Kwa mbele
Samia kamkanyagia vipi wakati mtu kujiuzulu mwenyewe?Rais Samia kamfanyia mbaya sana huyu mzee wa mnada.pamoja na kumuomba msamaha lakini akamkanyagia.
Do not commit to anyone-Law No:20 (The 48 Laws of Power)Kosa kubwa la ndugai ni kuomba msamaha.
Ila Lissu hapana aisee....jamaa walimtwisha masasi kumi na mnane ila jamaa kichwa bado kinacharge hakuna mfano...aisee ingekuwa mm sijui kwa sasa ningekuweje tu..Pamoja na kumtwisha masasi yote Yale akili Ina charge,vipi ingekuwa akili ugali kama mwenzetu na sie,usingekuwa unazingumzia afya ya akili,ila ingekuwa unatembelea jalala Moja baada ya jingine🤭
Bora hajakutwa jalalani🤔Lost and found
unajua lakini maana ya kukanyagia?,huko kujiuzuru kwa mzee Job ni baada ya kukanyagiwa na b michambo.sijui umenielewa kaka mkubwa?Samia kamkanyagia vipi wakati mtu kujiuzulu mwenyewe?
Samia ana uwezo gani wa kumtoa Spika?
Alikimbizwa na mizimu ya alowatenda ndivyo sivyo🤭unajua lakini maana ya kukanyagia?,huko kujiuzuru kwa mzee Job ni baada ya kukanyagiwa na b michambo.sijui umenielewa kaka mkubwa
Sawa.unajua lakini maana ya kukanyagia?,huko kujiuzuru kwa mzee Job ni baada ya kukanyagiwa na b michambo.sijui umenielewa kaka mkubwa?
Tumefurahi kumwona Rais wetu ajaye!! Angalau kwa maoni yangu!Hatimaye mmempata na kumuona!.
Wewe huenda ungejinyea kabisa! Achaneni kabisa na mamlaka ya urais!?!Kosa kubwa la ndugai ni kuomba msamaha.
Mashujaa wa chato labdaNdugai atabakia kuwa ni mmoja wa mashujaa wa Tanganyika.