johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,031
- 142,090
Spika mstaafu Mhe. Job Ndugai amesema walijisikia vibaya sana Kocha wao Juma Mgunda alivyofananishwa na andazi.
Ndugai amesema lakini walifurahishwa kwa jinsi Juma alivyojibu kwa hekima.
Ndugai hajasema lolote kuhusu CCM kulinganishwa na ANDAZI 😂😂
===
Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Kongwa ambaye ni Shabiki wa Simba, Job Ndugai amesema Mashabiki wa Klabu hiyo walijisikia vibaya Kocha wao Juma Mgunda alipofananishwa na andazi lakini walifurahi jinsi Mgunda alivyojibu kwa busara.
Ndugai amesema hayo leo katika hafla ya chakula cha usiku iliyoandaliwa na Wanachama wa Simba ambao ni Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
“Tulijisikia vibaya kocha wetu Juma Mgunda alivyofananishwa na andazi lakini tulifurahi alivyojibu kwa busara, hongera sana Mgunda"
Ndugai amesema lakini walifurahishwa kwa jinsi Juma alivyojibu kwa hekima.
Ndugai hajasema lolote kuhusu CCM kulinganishwa na ANDAZI 😂😂
===
Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Kongwa ambaye ni Shabiki wa Simba, Job Ndugai amesema Mashabiki wa Klabu hiyo walijisikia vibaya Kocha wao Juma Mgunda alipofananishwa na andazi lakini walifurahi jinsi Mgunda alivyojibu kwa busara.
Ndugai amesema hayo leo katika hafla ya chakula cha usiku iliyoandaliwa na Wanachama wa Simba ambao ni Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
“Tulijisikia vibaya kocha wetu Juma Mgunda alivyofananishwa na andazi lakini tulifurahi alivyojibu kwa busara, hongera sana Mgunda"